Legend Salama Jabir afunguka, " Hajawai tokea msanii wa kike hodari kumzidi Zuchu kwenye bongofleva"

Legend Salama Jabir afunguka, " Hajawai tokea msanii wa kike hodari kumzidi Zuchu kwenye bongofleva"

Hivi Zuchu anaimba nyimbo Gani? Siamini kama Salama nayeye ni chawa njaa njaa kama wale wanaume wa kigoma.......Stara Thomas,Ray C,Jaydee..........hawa unaweza wafananisha na huyu bado ananuka maziwa ya mama yake bado?
Anammendea afanye yake.... Si unajua Salama J anakulaga kimya kimya.
 
Kazuchu bhana,napenda nyimbo zake sana ila kwenye video huwa natoa macho sana,siunajua mimi ni muumini wa vitoto vidogo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Zuchu hata Hispania hajulikan,. Ndo umfananishe na Vanessa anayejulikana worldwide? Khaaaah
IMG_20220619_134735.jpg

Unaijua Spain wewe?
Vanessa hata Tanga hapo watu hawamjui unazungumzia Spain wanaomuita Zuchu ni Beyonce wa Africa. Vanessa kakimbia muziki sababu alishindwa kutoboa akaishia kwenye depression.
 
Duh unamtaja mpaka Vanessa aliyekimbia muziki kwa kushindwa kutengeneza hitsong hata moja kwenye career yake 🥺

kasikilize ladha za pwani kama raha na wana kwa amani zote bro..

Vitu kama closer, come over, nobody but me, uniroge, bambino, wet, moyo.. Sio vya watu wote "njomba"
 
kasikilize ladha za pwani kama raha na wana kwa amani zote bro..

Vitu kama closer, come over, nobody but me, uniroge, bambino, wet, moyo.. Sio vya watu wote "njomba"
"No body but me" ni hatareeeeeeeh
Ila "Never Ever" ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
View attachment 2265641
Unaijua Spain wewe?
Vanessa hata Tanga hapo watu hawamjui unazungumzia Spain wanaomuita Zuchu ni Beyonce wa Africa. Vanessa kakimbia muziki sababu alishindwa kutoboa akaishia kwenye depression.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo Zuchu afanye kazi kumfika Vanessa, hata yeye anajua hilo.
 
kasikilize ladha za pwani kama raha na wana kwa amani zote bro..

Vitu kama closer, come over, nobody but me, uniroge, bambino, wet, moyo.. Sio vya watu wote "njomba"
Wet ni ngoma yangu pendwa, unikute siku nina vibe langu la weekend, sheesha ipo kichwani sio kwa kutwerk huko [emoji119]
Tena ngoja niisikilize
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo Zuchu afanye kazi kumfika Vanessa, hata yeye anajua hilo.
Hana akili huyo si unajua ili uwe chawa lazima nyuzi kadhaa kichwani zifyatuke,

Mwingine anajiita Dulla Makabila katunga wimbo anamlilia Almasi, sijui hua anawafanya vitu gani hao vijana, bora Noel anakula Bata Dubai
 
Ila wee shost una tabu mnooo, Salama kasema Zuhura n muandishi bora wa kike, na sio mwanamuziki, uwage unaelewa kwan, sio kukurupuka na kuleta threads hapa, ulivyo jinga sasa ukaleta na Ref ambayo inakupinga na unachokusudia kutujulisha,

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], poleeeeeeh sanaaaaa.
Kaweka mapenzi mbele huyo.

Yani hata kuandika kwenyewe hawezi kufika kwa jide, labda Kama jide alikuwa anaandikiwa.

Nyimbo zenyewe sijui babu juma kasimama, nyimbo za hovyo.
 
Hivi Zuchu anaimba nyimbo Gani? Siamini kama Salama nayeye ni chawa njaa njaa kama wale wanaume wa kigoma.......Stara Thomas,Ray C,Jaydee..........hawa unaweza wafananisha na huyu bado ananuka maziwa ya mama yake bado?
Salama amejaa udin na uzenji sana ukieelewa hilo unamaliza kazi huumizi kichwa, mfano kila anapomhoji mkristo mchunguze lazima ahoji din utasikia unadin sana au hauna, but akihojiwa muislam hukuti swali kama hilo wala la din chunguza, na kama mkristo akihojiwa akionekana anapenda dini utasikia unapenda din sana wewe huku kama akichukiachukia mchunguzeni nawapeni sili hiyo kwenye kipindi chake mtapata majibu
 
Nitajie hit song 5 za ray c
Afu huu upuuzi wenu skuizi wa hit song ndio unaharibu maana ya neno mziki mzuri.

Hits song siku hizi zinatengenezwa kwa mambo mengi, mfano: kiki, mitandao, promo kubwa kwasababu ya hela, ushabiki.

Nyimbo nyingi ni mbaya ila zimekuwa hit kwasababu ya hayo mambo.
kwa mfano, nyimbo ya baba lao, Kuna hizi za hawa sijui mabantu,

Zamani kulikuwa hakuna insta, sijui tiktok, hakuna hizo challenge mnazochezeshwa Kama wehu ili kupush nyimbo..


Kuna hizi chache za ray c
1.mapenzi matamu
2.uko wapi
3.mahaba ya dhati
4. Na wewe milele
5.watanionaje ft barnaba
6.mahaba ya dhati.
7. Umenikataa
8. Nihurumie ft chid benz
N.k.

Hapo kulikuwa hakuna kiki wala Nini, redio chache, tv mtaa mzima iko moja but still zilisikika.

Ukija kwa jide, dah [emoji3]
1.siwema
2. understanding ft tid
3. Siri yangu
4.silimba, jide and ngoni
5. Single boy, jide and kiba
6.mawazo
7. Kuna Ile anaimba lugha nyingi za east Africa (distance)

Huyo zuchu kwanza ashindane na akina nand na maua sama then ndio aje kwa hao.

N.b kulikuwa hakuna label miaka ya 2000+ na hata Kama ilikuwepo sio yenye fan base kubwa Kama wcb, so walifight kwa jasho na damu kufika hapo... Imagine wangekuwa kwenye peak muda huu! Ukiskia neno komando jide unafikiri limekuja kifala?
 
Wewe unaujua muziki kumzidi Salama?
Roho mbaya chuki na umaskini vinafanya kila anaezungumza ukweli kwa watu unaotamani waanguke kuwaona machawa.
Kwani salama anajua nini kuhusu mziki??!!yaani mtu atoke zenji aje bara kwenye mziki eti anaujua na nyie ming'ombe mnatepeta??!!🙄🙄🙄ameshindwaje kwao kuupambania huko huko zenji??!!jiongeze wewe kiazi
 
Siku nyingine msiwe mnakurupuka, kwenye sanaa kuna uandishi na kuimba. Unaweza kuwa mzuri upande mmoja au ukawa mzuri kote.

Ray C anaweza kuwa mwimbaji mzuri lakini sio mwandishi mzuri, mfano halisi;

Christian Bella huwa anasema wazi kuwa yeye si mwandishi mzuri ila kwa kuimba hakuna mtu anamuweza bongo.

Salama amesema Zuchu ni mwandishi bora na sio mwimbaji bora au mwanamuziki bora. Mmenielewa watoto wadogo?
Na zuchu haandiki yeye bali anaandikiwa na baba yake na mama yake sasa sifa hizo za nini??!!
 
View attachment 2264455

Huu ni mtazamo wa nguli na gwiji wa entertainment industry hapa bongo Salama Jabir.

Na mimi namuunga mkono toka day one uwa nasema hii kitu nikaishia kupewa majina mabaya na wenye wivu, chuki, roho mbaya, husda na nyeg*.

Tukisema waliotangulia hawamfikii Zuchu kwenye idara zote hatumvunjii dada yoyote heshima.
Zuchu anastahili
 
Siamini ila ndio uhalisia. Wewe unapenda muziki wa Nandy ila mwanamuziki wa kike wa muda wote kwenye bongofleva ni Zuchu kwa mujibu wa nguli Salama Jabir.
Hiyo yeye salama na uzenji mwingi sasa kama zuchu ni bora mbona hajatokea zenji huko huko kaja bara??!!halafu salama amejaa udin na uzenji ukijua hili haikupi shida fatilia kipindi hicho utapata majibu
 
Back
Top Bottom