sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
- Thread starter
- #61
Watu mnaojua muziki.Zuchu anastahili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu mnaojua muziki.Zuchu anastahili
Unajiaibisha mkuu, mjini umekuja lini?Afu huu upuuzi wenu skuizi wa hit song ndio unaharibu maana ya neno mziki mzuri.
Hits song siku hizi zinatengenezwa kwa mambo mengi, mfano: kiki, mitandao, promo kubwa kwasababu ya hela, ushabiki.
Nyimbo nyingi ni mbaya ila zimekuwa hit kwasababu ya hayo mambo.
kwa mfano, nyimbo ya baba lao, Kuna hizi za hawa sijui mabantu,
Zamani kulikuwa hakuna insta, sijui tiktok, hakuna hizo challenge mnazochezeshwa Kama wehu ili kupush nyimbo..
Kuna hizi chache za ray c
1.mapenzi matamu
2.uko wapi
3.mahaba ya dhati
4. Na wewe milele
5.watanionaje ft barnaba
6.mahaba ya dhati.
7. Umenikataa
8. Nihurumie ft chid benz
N.k.
Hapo kulikuwa hakuna kiki wala Nini, redio chache, tv mtaa mzima iko moja but still zilisikika.
Ukija kwa jide, dah [emoji3]
1.siwema
2. understanding ft tid
3. Siri yangu
4.silimba, jide and ngoni
5. Single boy, jide and kiba
6.mawazo
7. Kuna Ile anaimba lugha nyingi za east Africa (distance)
Huyo zuchu kwanza ashindane na akina nand na maua sama then ndio aje kwa hao.
N.b kulikuwa hakuna label miaka ya 2000+ na hata Kama ilikuwepo sio yenye fan base kubwa Kama wcb, so walifight kwa jasho na damu kufika hapo... Imagine wangekuwa kwenye peak muda huu! Ukiskia neno komando jide unafikiri limekuja kifala?
Zuchu is way ahead of themHivi Zuchu anaimba nyimbo Gani? Siamini kama Salama nayeye ni chawa njaa njaa kama wale wanaume wa kigoma.......Stara Thomas,Ray C,Jaydee..........hawa unaweza wafananisha na huyu bado ananuka maziwa ya mama yake bado?
Ni kweliZuchu anastahili
Hana akili huyo si unajua ili uwe chawa lazima nyuzi kadhaa kichwani zifyatuke,
Mwingine anajiita Dulla Makabila katunga wimbo anamlilia Almasi, sijui hua anawafanya vitu gani hao vijana, bora Noel anakula Bata Dubai
halafu kuna mtu anakuja kukuambia hiyo sio hitsong 😁😁😁Wet ni ngoma yangu pendwa, unikute siku nina vibe langu la weekend, sheesha ipo kichwani sio kwa kutwerk huko [emoji119]
Tena ngoja niisikilize
"No body but me" ni hatareeeeeeeh
Ila "Never Ever" ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Zuchu is way ahead of them
Kwa umri wa zuchu, kwshawapita wote
Huwezi hata siku moja ukawa msanii mzuri au mkubwa af eti huna hit song hilo sahau! Mafanikio na tamaa ya msanii yeyote ni kutengeneza hit song mzee!!Afu huu upuuzi wenu skuizi wa hit song ndio unaharibu maana ya neno mziki mzuri.
Hits song siku hizi zinatengenezwa kwa mambo mengi, mfano: kiki, mitandao, promo kubwa kwasababu ya hela, ushabiki.
Nyimbo nyingi ni mbaya ila zimekuwa hit kwasababu ya hayo mambo.
kwa mfano, nyimbo ya baba lao, Kuna hizi za hawa sijui mabantu,
Zamani kulikuwa hakuna insta, sijui tiktok, hakuna hizo challenge mnazochezeshwa Kama wehu ili kupush nyimbo..
Kuna hizi chache za ray c
1.mapenzi matamu
2.uko wapi
3.mahaba ya dhati
4. Na wewe milele
5.watanionaje ft barnaba
6.mahaba ya dhati.
7. Umenikataa
8. Nihurumie ft chid benz
N.k.
Hapo kulikuwa hakuna kiki wala Nini, redio chache, tv mtaa mzima iko moja but still zilisikika.
Ukija kwa jide, dah [emoji3]
1.siwema
2. understanding ft tid
3. Siri yangu
4.silimba, jide and ngoni
5. Single boy, jide and kiba
6.mawazo
7. Kuna Ile anaimba lugha nyingi za east Africa (distance)
Huyo zuchu kwanza ashindane na akina nand na maua sama then ndio aje kwa hao.
N.b kulikuwa hakuna label miaka ya 2000+ na hata Kama ilikuwepo sio yenye fan base kubwa Kama wcb, so walifight kwa jasho na damu kufika hapo... Imagine wangekuwa kwenye peak muda huu! Ukiskia neno komando jide unafikiri limekuja kifala?
Unajua maana ya hit song kaka???Upo serious mkuu
1. Wanitafutia nini
2. Uko wapi
3. Milele
4. Sogea sogea
5. Mapenzi yangu
Unajua maana ya hit song kaka???
Siwezi bishana na watoto wa 2005+Wewe unaujua muziki kumzidi Salama?
Roho mbaya chuki na umaskini vinafanya kila anaezungumza ukweli kwa watu unaotamani waanguke kuwaona machawa.
Hapo nimekuelewaSalama amejaa udin na uzenji sana ukieelewa hilo unamaliza kazi huumizi kichwa, mfano kila anapomhoji mkristo mchunguze lazima ahoji din utasikia unadin sana au hauna, but akihojiwa muislam hukuti swali kama hilo wala la din chunguza, na kama mkristo akihojiwa akionekana anapenda dini utasikia unapenda din sana wewe huku kama akichukiachukia mchunguzeni nawapeni sili hiyo kwenye kipindi chake mtapata majibu
Watu wengi hawafahamu maana ya hitsong.Unajua maana ya hit song kaka???
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dea wee hapanaNamuona anavyojikomentisha kwa Zuu,
Nikasema kiharage cha Mtu kinawindwa [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Noel kaachika kwa Sheikh. Huna habari dea?Hana akili huyo si unajua ili uwe chawa lazima nyuzi kadhaa kichwani zifyatuke,
Mwingine anajiita Dulla Makabila katunga wimbo anamlilia Almasi, sijui hua anawafanya vitu gani hao vijana, bora Noel anakula Bata Dubai
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyimbo za Zuchu zinasikilizwa na wapemba na wa unguja, yaan mchiriku km taarabu.. Woiiiiiih.Kaweka mapenzi mbele huyo.
Yani hata kuandika kwenyewe hawezi kufika kwa jide, labda Kama jide alikuwa anaandikiwa.
Nyimbo zenyewe sijui babu juma kasimama, nyimbo za hovyo.