Legend Salama Jabir afunguka, " Hajawai tokea msanii wa kike hodari kumzidi Zuchu kwenye bongofleva"

Legend Salama Jabir afunguka, " Hajawai tokea msanii wa kike hodari kumzidi Zuchu kwenye bongofleva"

Afu huu upuuzi wenu skuizi wa hit song ndio unaharibu maana ya neno mziki mzuri.

Hits song siku hizi zinatengenezwa kwa mambo mengi, mfano: kiki, mitandao, promo kubwa kwasababu ya hela, ushabiki.

Nyimbo nyingi ni mbaya ila zimekuwa hit kwasababu ya hayo mambo.
kwa mfano, nyimbo ya baba lao, Kuna hizi za hawa sijui mabantu,

Zamani kulikuwa hakuna insta, sijui tiktok, hakuna hizo challenge mnazochezeshwa Kama wehu ili kupush nyimbo..


Kuna hizi chache za ray c
1.mapenzi matamu
2.uko wapi
3.mahaba ya dhati
4. Na wewe milele
5.watanionaje ft barnaba
6.mahaba ya dhati.
7. Umenikataa
8. Nihurumie ft chid benz
N.k.

Hapo kulikuwa hakuna kiki wala Nini, redio chache, tv mtaa mzima iko moja but still zilisikika.

Ukija kwa jide, dah [emoji3]
1.siwema
2. understanding ft tid
3. Siri yangu
4.silimba, jide and ngoni
5. Single boy, jide and kiba
6.mawazo
7. Kuna Ile anaimba lugha nyingi za east Africa (distance)

Huyo zuchu kwanza ashindane na akina nand na maua sama then ndio aje kwa hao.

N.b kulikuwa hakuna label miaka ya 2000+ na hata Kama ilikuwepo sio yenye fan base kubwa Kama wcb, so walifight kwa jasho na damu kufika hapo... Imagine wangekuwa kwenye peak muda huu! Ukiskia neno komando jide unafikiri limekuja kifala?
Unajiaibisha mkuu, mjini umekuja lini?
 
Hivi Zuchu anaimba nyimbo Gani? Siamini kama Salama nayeye ni chawa njaa njaa kama wale wanaume wa kigoma.......Stara Thomas,Ray C,Jaydee..........hawa unaweza wafananisha na huyu bado ananuka maziwa ya mama yake bado?
Zuchu is way ahead of them

Kwa umri wa zuchu, kwshawapita wote
 
Hana akili huyo si unajua ili uwe chawa lazima nyuzi kadhaa kichwani zifyatuke,

Mwingine anajiita Dulla Makabila katunga wimbo anamlilia Almasi, sijui hua anawafanya vitu gani hao vijana, bora Noel anakula Bata Dubai

Si ni kama wewe nyuzi zote kwenye malinda washamaliza wahuni wamekuachia ulemavu hauna linda ata moja.
 
Wet ni ngoma yangu pendwa, unikute siku nina vibe langu la weekend, sheesha ipo kichwani sio kwa kutwerk huko [emoji119]
Tena ngoja niisikilize
halafu kuna mtu anakuja kukuambia hiyo sio hitsong 😁😁😁
 
"No body but me" ni hatareeeeeeeh
Ila "Never Ever" ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]

Never ever sikuikubali sana ila nobody but me hata leo naiskia kama imetoka jana.. Timeless classic 🔥🔥🔥
 
Zuchu is way ahead of them

Kwa umri wa zuchu, kwshawapita wote

Zuchu kuvunja record za waliopita ni kitu cha kugusa tu maana anayo back up kubwa na pia anapita katika njia ambazo ameshatengenezewa na hao unaosema kawapita

Zuchu kufikia stage za jide, ray c au vanessa anatakiwa kuteka international market maana kutawala East Africa tushazoea.

Najua anaweza kwa team aliyonayo ila kwa sasa bado sana
 
Afu huu upuuzi wenu skuizi wa hit song ndio unaharibu maana ya neno mziki mzuri.

Hits song siku hizi zinatengenezwa kwa mambo mengi, mfano: kiki, mitandao, promo kubwa kwasababu ya hela, ushabiki.

Nyimbo nyingi ni mbaya ila zimekuwa hit kwasababu ya hayo mambo.
kwa mfano, nyimbo ya baba lao, Kuna hizi za hawa sijui mabantu,

Zamani kulikuwa hakuna insta, sijui tiktok, hakuna hizo challenge mnazochezeshwa Kama wehu ili kupush nyimbo..


Kuna hizi chache za ray c
1.mapenzi matamu
2.uko wapi
3.mahaba ya dhati
4. Na wewe milele
5.watanionaje ft barnaba
6.mahaba ya dhati.
7. Umenikataa
8. Nihurumie ft chid benz
N.k.

Hapo kulikuwa hakuna kiki wala Nini, redio chache, tv mtaa mzima iko moja but still zilisikika.

Ukija kwa jide, dah [emoji3]
1.siwema
2. understanding ft tid
3. Siri yangu
4.silimba, jide and ngoni
5. Single boy, jide and kiba
6.mawazo
7. Kuna Ile anaimba lugha nyingi za east Africa (distance)

Huyo zuchu kwanza ashindane na akina nand na maua sama then ndio aje kwa hao.

N.b kulikuwa hakuna label miaka ya 2000+ na hata Kama ilikuwepo sio yenye fan base kubwa Kama wcb, so walifight kwa jasho na damu kufika hapo... Imagine wangekuwa kwenye peak muda huu! Ukiskia neno komando jide unafikiri limekuja kifala?
Huwezi hata siku moja ukawa msanii mzuri au mkubwa af eti huna hit song hilo sahau! Mafanikio na tamaa ya msanii yeyote ni kutengeneza hit song mzee!!
 
Salama amejaa udin na uzenji sana ukieelewa hilo unamaliza kazi huumizi kichwa, mfano kila anapomhoji mkristo mchunguze lazima ahoji din utasikia unadin sana au hauna, but akihojiwa muislam hukuti swali kama hilo wala la din chunguza, na kama mkristo akihojiwa akionekana anapenda dini utasikia unapenda din sana wewe huku kama akichukiachukia mchunguzeni nawapeni sili hiyo kwenye kipindi chake mtapata majibu
Hapo nimekuelewa
 
Hana akili huyo si unajua ili uwe chawa lazima nyuzi kadhaa kichwani zifyatuke,

Mwingine anajiita Dulla Makabila katunga wimbo anamlilia Almasi, sijui hua anawafanya vitu gani hao vijana, bora Noel anakula Bata Dubai
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Noel kaachika kwa Sheikh. Huna habari dea?
 
Kaweka mapenzi mbele huyo.

Yani hata kuandika kwenyewe hawezi kufika kwa jide, labda Kama jide alikuwa anaandikiwa.

Nyimbo zenyewe sijui babu juma kasimama, nyimbo za hovyo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyimbo za Zuchu zinasikilizwa na wapemba na wa unguja, yaan mchiriku km taarabu.. Woiiiiiih.
 
Back
Top Bottom