ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Kitu ambacho Salama amekisahau ni kwamba Zuchu amebebwa na brand ya wasafi. Hakusimama mwenyewe kama wengine kina V money and the likeView attachment 2264455
Huu ni mtazamo wa nguli na gwiji wa entertainment industry hapa bongo Salama Jabir.
Na mimi namuunga mkono toka day one uwa nasema hii kitu nikaishia kupewa majina mabaya na wenye wivu, chuki, roho mbaya, husda na nyeg*.
Tukisema waliotangulia hawamfikii Zuchu kwenye idara zote hatumvunjii dada yoyote heshima.
Hakuna msanii aliyesimama mwenyewe bila kubebwa hakuna. Acheni kudanganywaKitu ambacho Salama amekisahau ni kwamba Zuchu amebebwa na brand ya wasafi. Hakusimama mwenyewe kama wengine kina V money and the like
Tofautisha kati ya kubebwa na brand maarufu na brand coco ama bila brand kabisa. Alafu sisi ni watu wazima nani wakutudanganya!!Hakuna msanii aliyesimama mwenyewe bila kubebwa hakuna. Acheni kudanganywa
Ukishaona msanii umemfahamu basi ujue kuna watu wanambeba. WCB wamembeba Queen Darlin lakini ameshindwa kutoboa kama unafikiri Zuchu kuwa WCB ndio sababu pekee ya yeye kuwa mkali.Tofautisha kati ya kubebwa na brand maarufu na brand coco ama bila brand kabisa. Alafu sisi ni watu wazima nani wakutudanganya!!
Ww hatuelewani. Hebu tuishie hapahapa.Ukishaona msanii umemfahamu basi ujue kuna watu wanambeba. WCB wamembeba Queen Darlin lakini ameshindwa kutoboa kama unafikiri Zuchu kuwa WCB ndio sababu pekee ya yeye kuwa mkali.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Asante kwa taarifa!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umevurugwa hadi huruma, Maskini weee. LolSiamini ila ndio uhalisia. Wewe unapenda muziki wa Nandy ila mwanamuziki wa kike wa muda wote kwenye bongofleva ni Zuchu kwa mujibu wa nguli Salama Jabir.
Unaijua "Never Ever"Duh unamtaja mpaka Vanessa aliyekimbia muziki kwa kushindwa kutengeneza hitsong hata moja kwenye career yake [emoji3064]
Halafu alivyoona Cheed ameanza kuu-shine akaanza kumsifia.Usisahau huyo unae mwita gwiji na kumsifia anajua mziki ndie alie mwambia harmonize hajui kuimba
Never ever ni wimbo mzuri ila haujawai kuwa hitsong. Vanessa hana maajabu mbele ya Zuchu huo ndio ukweli.Unaijua "Never Ever"
Ilifanyiwa had Re - eims, Ulayaa. Poleeeeeeeeh.
Nitajie hit song 5 za ray cBro kasema muandishi wa nyimbo sio msanii bora wa kike wa muda wote..
Zuchu anatunga na sio kitu cha kushangaza maana ipo kwenye DNA plus team inayomzunguka hawezi kutoa boko kirahisi
Ila Kuwa msanii wa kike mwenye mafanikio kuliko wote inawezekana sana Ila kuwa msanii bora wa kike wa wakati wote.. bado sanaa
Hajafika hata levels za Vanessa na hajagusa kabisa za Lady jay dee ama Ray C..
Kwangu mimi itachukua miaka mingi Bongo flava kuzalisha Ray C mwingine, yaani package ya sexiness, fashion, influence, vocals, dance moves, drama na scandals, star Power etc
I love jide but Ray C was a real deal
Damn jide na rayc nyimbo zao were [emoji91]Bro kasema muandishi wa nyimbo sio msanii bora wa kike wa muda wote..
Zuchu anatunga na sio kitu cha kushangaza maana ipo kwenye DNA plus team inayomzunguka hawezi kutoa boko kirahisi
Ila Kuwa msanii wa kike mwenye mafanikio kuliko wote inawezekana sana Ila kuwa msanii bora wa kike wa wakati wote.. bado sanaa
Hajafika hata levels za Vanessa na hajagusa kabisa za Lady jay dee ama Ray C..
Kwangu mimi itachukua miaka mingi Bongo flava kuzalisha Ray C mwingine, yaani package ya sexiness, fashion, influence, vocals, dance moves, drama na scandals, star Power etc
I love jide but Ray C was a real deal
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Zuchu hata Hispania hajulikan,. Ndo umfananishe na Vanessa anayejulikana worldwide? KhaaaahNever ever ni wimbo mzuri ila haujawai kuwa hitsong. Vanessa hana maajabu mbele ya Zuchu huo ndio ukweli.
Umeniwahi na hii comment mkuu. Wengi wameamua kusoma na kuelewa walichotaka kuelewa na sio kilchodhamiriwa na salama.Siku nyingine msiwe mnakurupuka, kwenye sanaa kuna uandishi na kuimba. Unaweza kuwa mzuri upande mmoja au ukawa mzuri kote. Ray C anaweza kuwa mwimbaji mzuri lakini sio mwandishi mzuri, mfano halisi; Christian Bella huwa anasema wazi kuwa yeye si mwandishi mzuri ila kwa kuimba hakuna mtu anamuweza bongo. Salama amesema Zuchu ni mwandishi bora na sio mwimbaji bora au mwanamuziki bora. Mmenielewa watoto wadogo?