Uchaguzi 2020 Leila Sheikh: Marekani wana kizabinazabina kwa matamko yao kuhusu uchaguzi wa Tanzania

Uchaguzi 2020 Leila Sheikh: Marekani wana kizabinazabina kwa matamko yao kuhusu uchaguzi wa Tanzania

Vipi kuhusu ubaguzi na udhalilishaji wa wanawake unaofanywa na mgombea wa CCM! Hilo kalitolea maelezo? Kama hakulijadili, ni haki zipi za wanawake anazozitetea? Kwa maneno mengine Hana haki ya kujitanabaisha na kujitambulisha Kama mtetezi wa wanawake wenzake na naomba wanawake mpuuzeni na kumdharau huyu mchumia tumbo!
 
Inasikitisha wakoloni wale wale wanarudi kupitia CHADEMA na Lisu.

Yaani siamini CHADEMA hii hii ya mtaa wa ufipa pale Kinondoni inataka kutuuza utumwani , siamini kabisa.
 
Inasikitisha wakoloni wale wale wanarudi kupitia Chadema na Lisu.

Yaani siamini Chadema hii hii ya mtaa wa ufipa pale kinondoni inataka kutuuza utumwani , siamini kabisa.

Kuna CHADEMA hapo unamuona?

2020-10-03 11.21.32.png
 
Inasikitisha wakoloni wale wale wanarudi kupitia Chadema na Lisu.

Yaani siamini Chadema hii hii ya mtaa wa ufipa pale kinondoni inataka kutuuza utumwani , siamini kabisa.
Wewe Kada wa Lumumba, ushaingia hofu kuwa CHADEMA wanaingia Ikulu mwisho wa mwezi huu?

Jiandaeni kisaikolojia kukabidhi madaraka, hakuna namna..................
 
Kama siyo kazabinazabina cha wamarekani huo uandishi wa habari wala hizo haki za wanawake anazozitetea asingizijua.

Kuna uwezekano nati zake zimelegea.
 
Nimesikiliza huo mjadala, huyo Leila Sheikh hata kujieleza kwa ufasaha ni shida. Alikuwa ni kama kada wa ccm zaidi kuliko muandishi wa habari.
Mwendesha mjadala nae niliona kama aligundua hili ni geresha akawa hajisumbui nae[emoji3][emoji3]
Maswali alokuwa anaulizwa sio anayoyajibu....anachanganya mambo.....anajikanyaga kanyaga kutetea hata ambavyo ni vigumu kutetewa.
Daaaah yaani nmeshangaa mno
 
Vipi kuhusu ubaguzi na udhalilishaji wa wanawake unaofanywa na mgombea wa ccm! Hilo kalitolea maelezo? Kama hakulijadili, ni haki zipi za wanawake anazozitetea? Kwa maneno mengine Hana haki ya kujitanabaisha na kujitambulisha Kama mtetezi wa wanawake wenzake na naomba wanawake mpuuzeni na kumdharau huyu mchumia tumbo!
Kasema anawapigia chapuo wachaguliwe kwenye uchaguzi mkuu bila kujali vyama vyao.
Kiujumla alikuwa anaruka ruka tu..hata haelewi alichokuwa anajadili
 
..Leila Sheikh ana mtizamo gani kuhusu wagombea wa upinzani ambao mpaka leo hii bado hawajaruhusiwa na wasimamizi kuanza kampeni?

..Masuala kama haya ilipaswa yakemewe na kila anayeitakia mema nchi yetu. Haiwezekani tufanye uchaguzi halafu baadhi ya wagombea wanapata nafasi kufanya kampeni kwa miezi miwili, na wengine wanapewa nafasi kufanya kampeni kwa wiki 2.
Hawajui kujaza fomu!
 
Back
Top Bottom