Uchaguzi 2020 Leila Sheikh: Marekani wana kizabinazabina kwa matamko yao kuhusu uchaguzi wa Tanzania

Uchaguzi 2020 Leila Sheikh: Marekani wana kizabinazabina kwa matamko yao kuhusu uchaguzi wa Tanzania

Wao mambo yao yapo automatic.
Hawana mawazo ya kuibiwa kura.....

Kinachofurahisha raia takriban lak 2 washapiga kura...
Wao sku yotote unafanya maamuzi na kura yako unaiona inakokwenda....
Wao ni probability aidha Trump aondoke au abakie wananchi wataamua kama ambavyo washa anza kuamua mdo mdo...
Ila nikujulishe kuwa Marekani hakuna the so called POPULAR VOTE AU PEOPLES' VOTE! Wizi wa kura ni kama kazi kiasi ambacho hata wababe wenzao wanawaingilia, unakumbuka wizi wa kura enzi za Bush Jr au hata juzi za Mama Clinton? Hawa nao ni watu usiwaone kama malaika.
 
Kweli hamuwezi uchambuzi wa mijadala mipana kwenye vyombo vya habari.

Nami pia nimemsikiliza kwa umakini ni kada wa CCM kindaki ndaki ijapo anajifanya haegemei upande wowote ila maneno yake yameonesha wazi wazi.
 
Ni shombe la kiarabu umri utakua umeenda nakumbuka alikua ile Tume ya Ukimwi miaka ya 90s mwishoni au 2000s mwanzoni alimshtaki Mwenyekiti wa Tume Major General Mbogo kwamba alimdharirisha kijinsia bila kusema kivipi
Unakumbuka vizuri!
 
Shemeji yake na akina mwapachu ndio wanamuweka mjini hapa dada mmoja hivi kwao Tanga mvuta sigara mzuri,familia yao wamesoma sana kakaa Ulaya miaka kibao karudi na begi la nguo tu,aliwahi kuwa TAMWA au Tawla anakiofisi chake kinondoni kinaitwa calabash studio
Usisahau TACAIDS
 
Unakumbuka vizuri!
Utamani ushombe Madam T?
Labda wa kununua kwenye krimu na Brazilian weaves 😅.
Mie chotara kweli.
Mweupeeee...
Manywele nayakalia.
Sasa wewe mwenzangu kinyonyoke?
Tena huyo dayuzz kakosea.
Mie Mbondei na Mjeremani.
Capice?
 
Utabaki kusema ovyo.
Mwanaume hapendezi kuwa muongo tena na wivu wa Mafanikio ya wenzake.
Huna sera wala dira.
Utaishia kurusha uongo nyuma ya jina bandia.
Mimi,
Leila Sheikh
Mwanahabari mwandamizi
Huna mafanikio wewe!
 
Back
Top Bottom