Mtoto wa Tanga
Member
- Apr 18, 2016
- 38
- 4
Your nemesisWho is that Leila!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Your nemesisWho is that Leila!!
Ila nikujulishe kuwa Marekani hakuna the so called POPULAR VOTE AU PEOPLES' VOTE! Wizi wa kura ni kama kazi kiasi ambacho hata wababe wenzao wanawaingilia, unakumbuka wizi wa kura enzi za Bush Jr au hata juzi za Mama Clinton? Hawa nao ni watu usiwaone kama malaika.Wao mambo yao yapo automatic.
Hawana mawazo ya kuibiwa kura.....
Kinachofurahisha raia takriban lak 2 washapiga kura...
Wao sku yotote unafanya maamuzi na kura yako unaiona inakokwenda....
Wao ni probability aidha Trump aondoke au abakie wananchi wataamua kama ambavyo washa anza kuamua mdo mdo...
Nami pia nimemsikiliza kwa umakini ni kada wa CCM kindaki ndaki ijapo anajifanya haegemei upande wowote ila maneno yake yameonesha wazi wazi.
Nitakutafuta Tanga nikuone... mitaa gani unapatikana kikazi i.e ofisi yako iko wapi?Ni mimi,
Mwanahabari mwandamizi,
Ndiyo!
Nimesema kwenye mjadala wa wanahabari waandamizi wa Afrika Mashariki majuzi,
"Kura zetu ndiyo turufu kuu kwenye chaguzi za 2020..."
Leila Sheikh View attachment 1597585
Mtoto wa Tanga hapa ndipo uliponiacha hoi. It seems una maslahi na serikali hii, vinginevyo yo are not well in rational judgments!Alikanusha kutokuwepo uhuru wa habari kipindi hiki cha uchaguzi.
education yako vipi, mwanahabari kwa viwango vya Tz hata ukiwa darasa la zero unaweza kuwa mwanahabariMwanahabari mwandamizi
Nipo Dar kwa sasa.Nitakutafuta Tanga nikuone... mitaa gani unapatikana kikazi i.e ofisi yako iko wapi?
Hallo!education yako vipi, mwanahabari kwa viwango vya Tz hata ukiwa darasa la zero unaweza kuwa mwanahabari
🙋♀️😅😎Mtoto wa Tanga hapa ndipo uliponiacha hoi. It seems una maslahi na serikali hii, vinginevyo yo are not well in rational judgments!
Na hivi amefubaa!Anatafuta uteuzi
Unakumbuka vizuri!Ni shombe la kiarabu umri utakua umeenda nakumbuka alikua ile Tume ya Ukimwi miaka ya 90s mwishoni au 2000s mwanzoni alimshtaki Mwenyekiti wa Tume Major General Mbogo kwamba alimdharirisha kijinsia bila kusema kivipi
Usisahau TACAIDSShemeji yake na akina mwapachu ndio wanamuweka mjini hapa dada mmoja hivi kwao Tanga mvuta sigara mzuri,familia yao wamesoma sana kakaa Ulaya miaka kibao karudi na begi la nguo tu,aliwahi kuwa TAMWA au Tawla anakiofisi chake kinondoni kinaitwa calabash studio
Utamani ushombe Madam T?Unakumbuka vizuri!
Huna mafanikio wewe!Utabaki kusema ovyo.
Mwanaume hapendezi kuwa muongo tena na wivu wa Mafanikio ya wenzake.
Huna sera wala dira.
Utaishia kurusha uongo nyuma ya jina bandia.
Mimi,
Leila Sheikh
Mwanahabari mwandamizi
Shwaini lakike wewe.Post bwana!
Kama uyogaNa hivi amefubaa!
Wewe uniburuze mimi!Shwaini lakike wewe.
Jaribu niwaburuze mahakamani.
Mnafikiri hatuwajui mnavyojificha nyuma ya majina bandia?
🥳😅🙋♀️Kama uyoga
🥳Huna mafanikio wewe!