Lema: ACT Wazalendo hawakujenga ofisi. Wamechukua iliyokuwa ya CUF. Hii ni mpya hii ofisi ya Act imewauma sana Chadema

Lema: ACT Wazalendo hawakujenga ofisi. Wamechukua iliyokuwa ya CUF. Hii ni mpya hii ofisi ya Act imewauma sana Chadema

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Sikiliza
Screenshot_20221029-182254.jpg
 
Kwani chadema wanafanya shughuli zao chini ya mti?nini maana ya ofisi
 
Kazi iendelee.....wajipange watafute eneo wajenge ofisi zao
 
Anajitetea ujinga. Chama kikuu Cha upinzani Haina ofisi na bado wanataka kuchukua nchi. Ofisi hiyo hiyo anakaa katibu na mwenyekiti na msaidiz wake. Mwenyekiti taifa Hana ofisi binafsi 😡
 
Nadhani Chama kikiwa kwenye myoyo ya watu ndiyo bottom line haya majengo ni kitu minor sana, you can have buildings even tomorrow but not royal [emoji146] members.
 
Back
Top Bottom