Lema: ACT Wazalendo hawakujenga ofisi. Wamechukua iliyokuwa ya CUF. Hii ni mpya hii ofisi ya Act imewauma sana Chadema

Lema: ACT Wazalendo hawakujenga ofisi. Wamechukua iliyokuwa ya CUF. Hii ni mpya hii ofisi ya Act imewauma sana Chadema

Lengo kuu la chama Cha siasa ni kuchukua madaraka ya nchi .
Zingine mbwembwe tu.
Na chama chenye idadi kubwa ya wanachama kinamafanikio zaidi haijalishi kina miundombinu ya aina gani.
 
Chadema ni matapeli fulani hivi , Jiuluze chama kinakuaje na ofisi Gest House Kinondoni?

Aibu sana hawa ndg zangu
 
Back
Top Bottom