SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
Nanj kakudanganya mie ajuza kama weweKitambi Sina, Mimi sio mzeee kama ww
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nanj kakudanganya mie ajuza kama weweKitambi Sina, Mimi sio mzeee kama ww
Akili za kuelewa zipo? Mbona inatumika lugha rahisi sanaAisee sielewi
We dada sijui una matatizo gn? Huwezi Kupita kimya kimya bila kuandika upuuzi wako?Nanj kakudanganya mie ajuza kama wewe
Ahaaaa nimependa tu umeuzikaWe dada sijui una matatizo gn? Huwezi Kupita kimya kimya bila kuandika upuuzi wako?
Haina nomaAhaaaa nimependa tu umeuzika
Fasihi ni kitu chema sana
Jana imepigwa fasihi na wazee wa kuokoteza wamebaki na kauli
Walio na D mbili wachache sana wanaweza kumuelewa
Mwingine alisema yeye jiwe…. Wenye D mbili wakastruggle Sana
Wa mwanzo alijiita Musa naye alieleweka kwa shida sana
Allah aendelee kuobariki fasihi… na mambo yake yote
Na ndio raha ya fasihiYah right. Watakuwa akina Nape hao .....!!
Lakini hata Mtoa FASIHI alitoka na hizo D mbili ... ndiyo maana akaanzia UKATIBU MASIJALA!!
Na ndio raha ya fasihi
Na kamwe uwezo na busara husimama kwa aliyepewa karama za kuwa fanani
Na miye Nina D mbiliKwa hiyo usidharau hizo D mbili.
Ndio tusi na propaganda ya Uvccm iliyobaki !Kila anayeenda nje anaenda kuolewa, hao mabalozi wetu wa kiume huko ni wake za nani? Punguza utoto dogo.
Lema ana Akili nzuri ,Sina hakika kama Lema aliwahi kupinga uwekezaji bandari, yeye na wadau wengine walipinga Mkataba ulivyo!
Usipomwelewa unaweza kudhani amefinywa na wale na wale jamaa ili atetee mkataba.