Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
mkuu 2020 ni uchaguzi very tricky , hata jiwe mwenyewe hajui itakuwaje , wapinzani kususia huu uchafu wa serikali za mitaa umeifanya dunia ielewe uchafu wa Tanzania na kuwasha tochi kali sana !Lema kasahau Kuwa
Jiwe ndio tume?
Unaugua ugonjwa unaitwa Tanga_phobiaNawaamini sana wana Apollo wa Arusha,sio legelege kama wanaume wa Tanga au Jiji kuu.
Lema anajiamini sana kutokana na hulka ya vijana wa Arusha.Hawazulumiki ukiwaibia lazima wakinukishe kisawasawa...
Tumekuwekea video ya polepole pale juu , hebu itazameLema asijilinganishe na polepole sio size yake
State agent
Siyo rahisi kama unavyodhani .2020 hakutasalia hata kiti kimoja cha upinzani nchini maana hakuna uchaguzi ila kupita bila kupingwa, mbele ya jiwe ni bora wafe watu ushindi upatikane. Jiandae Lema.
Wewe umepoteza uwezo wa kufikiriLema amepoteza mwelekeo
Ajiandae kustaafu ubunge tu
Chakubanga ni mshamba sana anategemea mbelekoLema asijilinganishe na polepole sio size yake
State agent
Nyinyiemu ni wepesi sana, tena mshukuru mnapewa msaada na tume + policcm otherwise ni aibu..hamkubaliki, mnalazimisha tuuLema asijilinganishe na polepole sio size yake
State agent
Umemsikiliza kwanza polepole alichokuwa anaongea asubui??au unakurupukatu.Lema amechamganyikiwa
Lema asijilinganishe na polepole sio size yake
State agent
endeleeni kuwafundisha hawa watu jamaniUmemsikiliza kwanza polepole alichokuwa anaongea asubui??au unakurupukatu.