Uchaguzi 2020 Lema amtaka Humphrey Polepole kugombea ubunge Arusha Mjini

Uchaguzi 2020 Lema amtaka Humphrey Polepole kugombea ubunge Arusha Mjini

Erythrocyte,
Ningeunga mkono kauri ya Godbless Lema, kama Serekali ya JPM inaheshimu kura za waliopiga kura. Figisu ya kwanza je Lema atapewa from ya yeye kuiombea? Pili kama atapewa from je baada ya kujazwa itapokelewa? Tatu baada ya kuijaza kwa usahihi na kupkelewa je msimamizi wa uchaguzi ambaye ni kada wa CCM na ana maagizo na onyo kali la kuhakikisha mpinzani wa CCM hashindi. Lakini pia amepewa mamlaka yote ya kuhakikisha Polepole anashinda! Je Lema hata kama atapigiwa kura zote na wapigakura wa Arusha anaweza kutangazwa mshindi?
 
Lema asijilinganishe na polepole sio size yake

State agent
Ni kweli mkuu Polepole sio size ya Lema kwa kuwa Polepole hajitambui na anaongea asicho kiamini. Ktk mapendekezo ya katiba mpya polepole alitoa mapovu ktk kila kona na ya nchi na mwenzie propesa Kibudu akidai vyeo vya ukuu wa Wilaya na ukuu wa mkoa ni mzigo kwa taifa na havina tija. Lakini polepole yule yule aliteuliwa kuwa mkuu wa wilaya ya Ubungo na akakubali cheo alichotwambia ni mzigo kwa taifa na hakina tija.
 
Ningeunga mkono kauri ya Godbless Lema, kama Serekali ya JPM inaheshimu kura za waliopiga kura. Figisu ya kwanza je Lema atapewa from ya yeye kuiombea? Pili kama atapewa from je baada ya kujazwa itapokelewa? Tatu baada ya kuijaza kwa usahihi na kupkelewa je msimamizi wa uchaguzi ambaye ni kada wa CCM na ana maagizo na onyo kali la kuhakikisha mpinzani wa CCM hashindi. Lakini pia amepewa mamlaka yote ya kuhakikisha Polepole anashinda! Je Lema hata kama atapigiwa kura zote na wapigakura wa Arusha anaweza kutangazwa mshindi?
2020 si lelemama , nchi inaenda kuishia hapo .
 
Erythrocyte,
Mheshimiwa mbona una jazba! Kwani amekwambia kuwa anataka kugombea ubunge? Tulia tuu mheshimiwa wangu kwani mchezo huu hautaki hasira!!!!
 
Mheshimiwa mbona una jazba! Kwani amekwambia kuwa anataka kugombea ubunge? Tulia tuu mheshimiwa wangu kwani mchezo huu hautaki hasira!!!!
mkuu habari za Temeke mikoroshini
 
Wataalam wanasema kuvuta bangi pafu moja hukaa kwenye ubongo miaka saba(7) sasa nimeamini.
"Nyani haoni Kunduole!" Kama Lema aliwahi kuvuta Bangi alivuta akinuwizia zimpe akili na kujiamini. Lakini wewe ulivuta Bangi bila kunuwizia kitu, matokeo yake umekuwa zezeta la CCM kuwasumbua watu wenye akili mitandaoni.
 
2020 si lelemama , nchi inaenda kuishia hapo .
JPM,ana uhakika wa kuendesha chafuzi badala ya chaguzi. Chafuzi Ni mfumo aliouna ukifanyika Uganda, Zanzibar, Ruwanda, Burundi, na Zimbabwe kwamafanikio bila jumuiya za mataifa kuchukua hatua yoyote. Hivyo JPM haoni sababu ya kumzuia kuuendesha Uchafuzi 2020.
 
Arusha ; Mbeya, Hai; Iringa CCM wakitaka kushinda wakodi JWTZ mwanzo mwisho...maana hata Tume ya uchaguzi haiwezi.
 
Hii ni baada ya Polepole kuropoka kwamba ccm itashinda ubunge Arusha Mjini .

Lema amemtaka Polepole kuchukua fomu yeye mwenyewe binafsi na apande jukwaani ili kupambana naye kwa lengo la kukata mzizi wa fitna , Polepole pia ameombwa kuchukua polisi wote wa Arusha wamlinde yeye tu na kura zote za polisi apewe polepole , halafu tuone mwisho wa siku nani ataibuka mshindi
sasa kwa hali kama hiyo halafu aje ashinde huyo lema si atakuwa ametumia ile kazi yake ya zamani kupata hizo kura aache ujinga huyo lema
 
sasa kwa hali kama hiyo halafu aje ashinde huyo lema si atakuwa ametumia ile kazi yake ya zamani kupata hizo kura aache ujinga huyo lema
Mchukulieni fomu Polepole Arusha Mjini
 
Wataalam wanasema kuvuta bangi pafu moja hukaa kwenye ubongo miaka saba(7) sasa nimeamini.
Sasa wewe unapokwenda siko, unafahamu yule aliyefukuzwa seminari sababu ilikuwa nini? Kwa taarifa yako alikuwa kayaman! Sasa alivuta pafu ngapi hatujui, ukizidisha mara miaka 7 unaweza kukuta hiyo one decade kama akichakachua ikaisha bado moshi upo tuu kichwani. Akigundua unamsema kiaina atakufanya aliyo mfanya mzee wa goli la Diego Amandus
 
Back
Top Bottom