Pre GE2025 Lema amtaka Lissu atoke katika vikao vya Baraza Kuu aende Makao Makuu ya Chama

Pre GE2025 Lema amtaka Lissu atoke katika vikao vya Baraza Kuu aende Makao Makuu ya Chama

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Kaka , toka hapo Baraza Kuu. Nenda Makao Makuu ya Chama , kuna malalamiko ya watu wengi wanaweza kukosa vitambulisho !

Mod hii ipo account yake ya twitter katembeeleni.

Swali. Kama Lissu anaendeshwa hivi na Lema. Mwenyekiti ataumudu?

Lissu.png
 
Kaka , toka hapo Baraza Kuu. Nenda Makao Makuu ya Chama , kuna malalamiko ya watu wengi wanaweza kukosa vitambulisho !

Mod hii ipo account yake ya twitter katembeeleni.
Swali. Kama Lissu anaendeshwa hivi na Lema. Mwenyekiti ataumudu?
Hii tangia saa 11 ndugu? Imeshapitwa na wakati
 
Kaka , toka hapo Baraza Kuu. Nenda Makao Makuu ya Chama , kuna malalamiko ya watu wengi wanaweza kukosa vitambulisho !

Mod hii ipo account yake ya twitter katembeeleni.

Swali. Kama Lissu anaendeshwa hivi na Lema. Mwenyekiti ataumudu?

View attachment 3207888
Huyu Lema anatatizo la afya ya akili na atachanganyikiwa zaidi Mbowe akishinda uenyekiti
 
Huyu jamaa ndiyo kawaingiza mkenge Lissu na Heche.
Hana lolote.
 
Back
Top Bottom