Pre GE2025 Lema amtaka Lissu atoke katika vikao vya Baraza Kuu aende Makao Makuu ya Chama

Pre GE2025 Lema amtaka Lissu atoke katika vikao vya Baraza Kuu aende Makao Makuu ya Chama

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sina chama, bali ni mzalendo na napenda haki.

Niwe mkweli, matendo anayoyafanya huyu Mzee Mbowe na watu walimwamini na wengine kutoa uhai wao kumbe anawahadaa!

Naumia sana na kinaniumiza sana! Watanganyika wamemfanyia nini mpaka anawafanyia hivi?
Nadhani Meddy huko aliko anajuta 🐼
 
Nadhani Meddy huko aliko anajuta 🐼
Sitaki kuandika Kiswahili! Ila huu ndiyo msimamo wangu!

لو كنت أمتلك السلطة، لأمرت بمعاقبة أشخاص مثل هذا الرجل المسن الذي يخدع الناس، وإذا وصل الأمر إلى فقدان حياتهم، فإنه سيُحكم عليه بالإعدام!
 
Sitaki kuandika Kiswahili! Ila huu ndiyo msimamo wangu!

لو كنت أمتلك السلطة، لأمرت بمعاقبة أشخاص مثل هذا الرجل المسن الذي يخدع الناس، وإذا وصل الأمر إلى فقدان حياتهم، فإنه سيُحكم عليه بالإعدام!
Tafsir: Trump akimshinda Kamala Harris, mimi nahamia Burundi.
 
Kambi ya kampeni ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Freeman Mbowe anayewania kutetea kiti chake, imeripotiwa kudhibiti kura zaidi ya 700 za wajumbe wa mkutano mkuu wa chama hicho huku jumla ya wajumbe wote wanatarajiwa kufikia 1328.

Uchaguzi huo unatarajiwa kufanyika kesho, tarehe 21 Januari 2025, katika ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya timu ya kampeni ya Mbowe, wajumbe hao halali na wenye sifa za kupiga kura wamewekwa katika kambi mbalimbali jijini Dar es Salaam, zikiwemo maeneo ya Ubungo, Manzese, na Buguruni.

Hatua hiyo inalenga kuhakikisha uaminifu wa wajumbe hao katika kumpigia kura mgombea huyo.

Mmoja wa wajumbe walioko kwenye moja ya kambi hizo ameithibitishia Jambo TV kupitia ujumbe mfupi wa maandishi kwamba wapo chini ya uangalizi maalum, na hawaruhusiwi kutoka nje ya maeneo waliyopo.

Ameeleza kuwa ulinzi umeimarishwa na unasimamiwa na moja ya kampuni za ulinzi jijini Dar es Salaam.

Chanzo hicho kiliongeza kuwa huduma zote, ikiwemo chakula, malazi, na vinywaji, zinatolewa bure kwa wajumbe walioko kambini.

Aidha, wajumbe hao wameahidiwa zawadi maalum endapo Freeman Mbowe atashinda uchaguzi huo.

Usiku wa leo, Freeman Mbowe anatarajiwa kutembelea kambi hizo na kuzungumza na wajumbe wake katika hatua ya mwisho ya kampeni.

Jambo TV imesambaza waandishi wake katika maeneo mbalimbali ya jijini Dar es Salaam kufuatilia kwa karibu mwenendo wa uchaguzi huu wa CHADEMA, ambao umekuwa gumzo nchini.
Duuh, kwa nini anatumia nguvu nyingi sana? Ni huo uenyekiti tuu? Au kuna jingine?
 
Mbowe ndo kiongozi sahihi kwa chama kinachojifia CHADEMA
Sasa Mbowe Sultan akiwa yeye mwenyekiti anafanya upinzani gani kwa Sa100 yaan ana nini zaidi ya kumuunga mkono sa100?

Hana cha kumpinga atachokua nacho ni kumsifu km mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM anaekamilisha idadi ya wajumbe 1625 alievaa kofia ya CDM, nani halijui hilo?
 
huu ni uchaguzi msiaze kutafuta sababu za kujitetea , maana kuna dalili za upande mmoja kutafuta kichaka ,sasa kama hii ndio mnasema ndio cream ya chadema alafu mnahongeka kirahisi hivi sasa kuna haja gani ya kuipinga ccm . Jambo la msingi uchaguzi ufanyike katika mazingira ya uwazi ,kura zihesabiwe peupe na atakaye shindwa asihame chama bali waondoe tofauti zao wajielekeze kushinda kwenye uchaguzi ujao wa Rais,wabunge na madiwani.
 
Jaman kwa nn mnatunga uongo uharibu uchaguzi mpaka jana lisu alikili mchakato unaenda vyema wajumbe ni 1328 ni digital hata lissu anajua
 
Back
Top Bottom