Lema asema hakubali mtu kuuawa kwa kuwa ni shoga

Lema asema hakubali mtu kuuawa kwa kuwa ni shoga

Usitegemee chochote kutoka kwa Lema kupinga hili jambo in public kwa sababu kule alipo kimbilia kutafuta asylum ili uqualify kupema asylum seeker ni either uwe mkimbizi wa kisiasa au mtu ambaye usalama wake upo hatari kutokana na kujihusisha na vitendo vya usodoma katika nchi husika ,hivyo kwa Lema ku condemn matendo haya in public kutatoa tafsiri kwamba kumbe na yeye ni mkiukaji wa haki za binadamu.

Ingawa usodoma Africa haukubaliki wengi wenye mlengo kama Lema kwa sababu za masilahi binafsi hawawezi kukemea vitendo hivi wazi wazi au kuonesha msimamo wao ni upi kwa jambo hili ambalo clearly kwa tamaduni dini na desturi za kiafrica havikubaliani navyo badala yake watakuwa wakifanya danadana.

Kwahiyo unataka watu wote wanaoingiliana kinyume na maumbile wauwe?
 
Nisiongee mengi video ya interview yake pale star tv hio apo chini.

===
Lema aliulizwa na Aloyce Nyanda kuhusu ushoga katika kipindi cha StarTV amesema yeye anaamini katika biblia na kama dunia nzima itaamini katika biblia basi suala la ushoga halitakuwa tatizo.

Hata hivyo amesema haukubaliani na sheria au mtu yeyote anayetaka kumuua mtu kwa kuwa ni shoga. Amesema kitu mtu anachokifanya katika maisha yake ni kitu chake.


Lema atakuwa si mkristo au haijui biblia yake kwani imeandikwa ndani ya biblia

Kill Homosexuals
“If a man lies with a male as with a women, both of them shall be put to death for their abominable deed; they have forfeited their lives.” (Leviticus 20:13 NAB)

FF6PP3jXEAMbXbp.jpg



Bwana Yesu kasema hakuja kuondoa sheria


17-22
 
Lema atakuwa si mkristo au haijui biblia yake kwani imeandikwa ndani ya biblia

Kill Homosexuals
“If a man lies with a male as with a women, both of them shall be put to death for their abominable deed; they have forfeited their lives.” (Leviticus 20:13 NAB)

FF6PP3jXEAMbXbp.jpg



Bwana Yesu kasema hakuja kuondoa sheria


17-22

Vita yetu si juu ya nyama wala damu,bali ni dhidi ya ufalme wa giza,pia kumbuka usihukumu usije kuuhukumiwa mana kipimo umpimiacho mtu ndicho hicho hicho nawe itapimiwa.

Kristo alionyesha mfano mzuri kwa kusema wazima hawahitaji daktari bali wagonjwa,ndio mana alikula na kunywa na makahaba na kuwa hubiria habari njema ya wokovu.

Kama moto wa sodoma ulishindwa kuwamalisa mashoga unadhani hiyo approach itafanya kazi?
 
Vita yetu si juu ya nyama wala damu,bali ni dhidi ya ufalme wa giza,pia kumbuka usihukumu usije kuuhukumiwa mana kipimo umpimiacho mtu ndicho hicho hicho nawe itapimiwa.

Kristo alionyesha mfano mzuri kwa kusema wazima hawahitaji daktari bali wagonjwa,ndio mana alikula na kunywa na makahaba na kuwa hubiria habari njema ya wokovu.

Kama moto wa sodoma ulishindwa kuwamalisa mashoga unadhani hiyo approach itafanya kazi?

Yesu anawaamuru Wakristo kufuata Sheria ya Musa katika Agano la Kale:

"Msidhani ya kuwa mimi [Yesu] nalikuja kuitangua Torati au Manabii; sikuja kutangua, bali kutimiliza. Nawaambia iliyo kweli , mpaka mbingu na nchi zitakapotoweka, hata herufi ndogo kabisa, hata nukta moja, wala kalamu, haitatoweka kwa njia yo yote katika Torati, hata yote yatimie.” ( Mathayo 23:1-3; Mathayo 5:17-18 ) ni wazi kabisa kutokana na aya hizi za Agano Jipya kwamba Yesu amani iwe juu yake aliheshimu Agano la Kale na alisema kwamba kila "herufi" moja yake inapaswa kuheshimiwa, kufuatwa na kutimizwa.

Mathayo 23:1-3

“Kisha Yesu akawaambia makutano na wanafunzi wake, Walimu wa sheria na Mafarisayo wameketi katika kiti cha Musa, kwa hiyo ninyi watiini na kufanya yote watakayowaambia. wanafanya, kwa maana hawatendi yale wanayohubiri.' (Mathayo 23:1-3)”

Tunaona wazi katika mistari hii kwamba Yesu amani iwe juu yake hakukataza Agano la Kale kufuatwa, bali aliwaonya wafuasi wake kutoifuata jinsi viongozi wa dini wa sasa wa Sheria. (Wanarabi wa Kiyahudi) walikuwa wakiifuata.
 
Vita yetu si juu ya nyama wala damu,bali ni dhidi ya ufalme wa giza,pia kumbuka usihukumu usije kuuhukumiwa mana kipimo umpimiacho mtu ndicho hicho hicho nawe itapimiwa.

Kristo alionyesha mfano mzuri kwa kusema wazima hawahitaji daktari bali wagonjwa,ndio mana alikula na kunywa na makahaba na kuwa hubiria habari njema ya wokovu.

Kama moto wa sodoma ulishindwa kuwamalisa mashoga unadhani hiyo approach itafanya kazi?

Agano Jipya lilikuwa na sheria ambazo zilirekebisha zile za Agano la Kale.

Sina tatizo na sheria hizo, na ndiyo nakubali kwamba Wakristo hawapaswi kufuata sheria za Agano la Kale ambazo zilirekebishwa na Agano Jipya.

Ninachokiona kinachanganya sana kutoka kwa Wakristo ni kwamba maisha yao yote yanategemea Agano Jipya, na Agano Jipya halina sheria nyingi ndani yake.

Haiangazii mada au suala lolote motomoto ambalo tunashughulikia maishani mwetu.

Kwa mfano, Agano la Kale lina sheria zake za urithi, lakini Agano Jipya halina.

Sasa, kama baba akifa na kuacha Sh 1,000,000 kwa familia ya mvulana 1, wasichana 2 na mke mjane.

Kulingana na Agano la Kale, ni mvulana pekee ndiye anayerithi yote, na binti wawili na mke mjane wanapaswa kuishi chini ya sheria na rehema za mwana kulingana na (Hesabu 27:1-11) katika Agano la Kale.

Sheria hii iliwekwa na Yesu mwenyewe (kwa kuwa Yesu ni mungu kulingana na imani ya Wakristo).
Swali langu ni kwamba, kwa kuwa Agano Jipya hata halizungumzii mada ya urithi, lakini Agano la Kale linazungumza, basi haingekuwa na maana zaidi kwa Wakristo kufuata sheria za Agano la Kale, kwa vile Agano Jipya na Agano la Kale liliongozwa na Yesu mwenyewe?

Inaonekana kwangu kwamba Agano Jipya si dini, bali ni hadithi ya maisha ya Yesu.
Ndiyo, mimi kama Muislamu nampenda na kumheshimu sana Yesu (amani iwe juu yake) kwa sababu sisi Waislamu (Isaya 56:5: Muislamu ni jina la waamini wajao. Majina ya wana na binti hayatakuwapo tena) tunaamini hivyo, yeye ni Mtume kutoka kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu.

Hata hivyo, hatuamini kwamba Biblia ya sasa ni neno la kweli la Mungu.

Tunaamini kwamba Biblia ya Asili bado ipo leo, lakini imepotea.

Ukijifunza Agano Jipya kwa makini, utaona kwamba mafundisho ya Yesu yanajumuisha safu moja na nusu tu ya gazeti la habari leo.

Yesu aliishi kati ya watu wake kwa miaka 33, na yote tuliyo nayo kutoka kwa maneno yake binafsi ni safu na nusu ya maneno kwenye gazeti la habari???!!!

Ukitazama Ulimwengu wa Magharibi leo (ambao wengi wao ni Wakristo), utaona kwamba katiba zao na mtindo wao wa maisha si wa Kibiblia hata kidogo.

Wanaepuka mafundisho ya Yesu katika Agano la Kale , na karibu hawana sheria yoyote inayohusu maisha katika Agano Jipya.

Swali langu katika kesi hii, dini ya Kikristo ina viwango vya aina gani?

Ikiwa Wakristo wanapaswa kuunda sheria zao wenyewe ili kusimamia kuishi maisha na masuala yake, basi rafiki yangu, je, hiyo haiwezi kufanya Ukristo kuwa dini isiyofaa na isiyo na maana?

Ni bahati mbaya na dhahiri kabisa kwamba Wakristo leo waliifanya Biblia yao kuwa dini isiyo na maana. Wanakataa kufuata Agano la Kale, ambalo linajumuisha sheria na masuala yote ya maisha, na wanashikilia tu Agano Jipya, wakijua kwamba

(1) Agano la Kale lilipuliziwa na Yesu mwenyewe, na

(2) Agano la Kale na Agano Jipya. Agano Jipya linaunda kile tulichoita leo "Biblia Takatifu". Ikiwa Agano la Kale lazima lisihesabiwe kwa Wakristo leo na hawapaswi kulifuata, basi kwa nini ni sehemu ya Kitabu chao Kitakatifu? na kwanini ufuate sehemu ya mafundisho ya Yesu na sio yote, maana yake, kwanini ufuate Agano Jipya pekee na sio Agano la Kale wakati Yesu mwenyewe ndiye mhusika wa vitabu vyote viwili?.
 
Unamshangaa Lema lakini hauishangai serikali kutotunga Sheria ya adhabu Kwa wanaojihusisha na ushoga, bila kutunga Sheria maana yake yameruhusiwa yafanyike tu

Tatizo ni kwamba watu wengi hawaelewi ni kitu gani kinamfanya binadamu kutenda dhambi(mfano uzinzi, uasharati etc), dini zetu zinafafanua vema na jinsi ya kujinasua huko dini zinaeleza na jinsi ya kutubu! Sasa shoga na msagaji wana kitu kiitwacho “spirit Man, Spirit Woman” tiba yake ipo na siyo kuwafunga au kuwanyonga bali ni wapelekwe kwenye huduma ambazo hutolewa bure, hakuna kulipa hata senti moja kabla au baada ya kunasuliwa kutoka hali hizo! - maombezi katika Synagogue Church of All Nations, au angalia Emmanuel Tv utaona mifano hai!! Uamuzi ni wako(it is your choice)!!!!
 
Mwambie Lema hivi Yeye ni Mkristo...na Kitabu chake kitakatifu cha Biblia ....Walawi 20.13 mwambie inamtaka kuwa bahasha na shoga wote wauae kama haamini Biblia Mwambie atuambie Yeye ni Imani Gani

Maelekezo ya Mwenyenzi Mungu Mtakatifu yanasema Hivyo na Yeye anapingana na Mwenyenzi Mungu Mtakatifu anayemuamini shida Nini?
 
Nisiongee mengi video ya interview yake pale star tv hio apo chini.

===
Lema aliulizwa na Aloyce Nyanda kuhusu ushoga katika kipindi cha StarTV amesema yeye anaamini katika biblia na kama dunia nzima itaamini katika biblia basi suala la ushoga halitakuwa tatizo.

Hata hivyo amesema haukubaliani na sheria au mtu yeyote anayetaka kumuua mtu kwa kuwa ni shoga. Amesema kitu mtu anachokifanya katika maisha yake ni kitu chake.
badilisha title yako, kwa nini unasisitiza tamko lake la ushoga wakati amezungumza vizuri tu kwa dhambi zote
 
Mambo ya Walawi 20:13 SRUV

Tena mwanamume akilala pamoja na mwanamume, kama alalavyo na mwanamke, wote wawili wamefanya machukizo; hakika watauawa; damu yao itakuwa juu yao.
 
Lev. 20:13 explicitly states: 'Both of them have committed an abomination; they shall be put to death. ' In its traditional interpretation the verse is to be understood as condemning a type of behaviour, not a sexual orientation.
 
Wakristo wengi sana wamekuwa sana Wivu kusoma vitabu

Hivyo vyote vimekatanzwa acheni Unafiki Wenu mkubwa huko
 
Leviticus 20:14, NLT: 'If a man marries both a woman and her mother, he has committed a wicked act. The man and both women must be burned to death to wipe out such wickedness from among you. Leviticus 20:14, If a man marries a woman and her mother, it is depraved.
 
What is the meaning of Leviticus 20 15?

If a man has sexual intercourse with an animal, he must be put to death; you are also to kill the animal. NLT 'If a man has sex with an animal, he must be put to death, and the animal must be killed.
 
Back
Top Bottom