Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 4,503
- 6,861
"sorry if I will offend you with my strong language" DO YOU THINK I CARE? DO YOU THINK EVERYONE IS EMOTIONAL, WHIMSICAL AND WHINY LITTLE BRAT GIRL LIKE YOU'RE? DID YOU READ MY LAST COMMENT CAREFULLY OR YOU JUST SKIM THROUGH IT?Kwani Kuna mtu miongoni mwetu hapa anasema ushoga na usagaji sio uchafu?
Tofauti yako na wengine ni moja tu.
Wewe unaona mashoga na wasagaji tu kuwa ndiyo wachafu na wanastahili kuadhibiwa...
Wewe labda sio SHOGA au MSAGAJI............it's okay...
lakini una dhambi na una uchafu wako mbaya zaidi pengine kuliko hata hao mashoga na wasagaji..!!
Sasa wewe unapokimbilia kuhukumu wenzako Kwa makosa yao wakati hata wewe umebeba hukumu ya dhambi na uchafu wako, ndo mtu aseme wewe Andrew Tate una akili timamu kweli au una tope kichwani kwako...?
Yaani kama na hapa hutaelewa, basi wewe ndiyo utakuwa mjinga wa mwisho ktk ulimwengu huu...
I am sorry if you will be offended with my strong language towards you...
MIMI SINA DHAMBI, NA BILA SHAKA KATIKA WATU WASAFI HAPA DUNIANI MIMI NI MMOJA WAO. KAMA HAPO HAUPO SAHIHI MAANA YAKE ARGUMENT YAKO YOTE IMEFAIL KITU KINACHONIFANYA MIMI NIWE SAHIHI. HIVYO KIFO NI HALALI YAKO.