Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Lema ingekuwa amezaliwa huko alikotoka halafu iwe ndo mara yake ya kwanza kufika Tanzania angetuua kwa presha kwa haya Mambo aliyoyakuta, yaani Lema wakutuona sisi tunaishi kama wadudu kweli.........!
Huyu jamaa toka ametoka ulaya anawaona watanganyika wote ni wajinga, yeye na Lisu tu ndio wanaakili.Mjumbe wa kamati kuu ya Chadema, Godbless Lema ambaye wengine hupendelea kumwita Nabii ametua jijini Tanga na kushikwa na mshangao mkuu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Lema ingekuwa amezaliwa huko alikotoka halafu iwe ndo mara yake ya kwanza kufika Tanzania angetuua kwa presha kwa haya Mambo aliyoyakuta, yaani Lema wakutuona sisi tunaishi kama wadudu kweli.........!
Yesu alianza kitambo sana,hiyo mitatu ndo alianza vita na wanachadema.Miaka 3 ni Mingi sana ndio ya Utumishi wa Yesu hapa duniani!
Watamweka ndani kwa kuelezea umaskini wa watu wetu? Umaskini siyo sifa.Sijajua huyu jamaa anafanya kampeni au ametumwa! Dah hii nchi ngumu sana.
Anapoelekea sio, soon watamsweka ndani halafu muanze oh huyu mama hafai.
Ushirombo ni mkoa gani bwashee?Kwa ujumla nchi hii ina umaskini mkubwa sana. Kuna maeneo ukienda, unajiuliza maswali mengi bila kupata majibu.
Waafrika wengi wanaishi katika umaskini mkubwa wakiwa wameridhika kwa sababu hawana exposure, hivyo wanafikiri watu wote Duniani wanaishi kwa namna hiyohiyo au inayokaribiana na hiyo.
Kuna wakati, nakumbuka tulikofi ndege kwaajili ya kufanya airborne survey, tulipotua kijiji kimoja, wale wazungu ambao ilikuwa mara yao ya kwanza kuja Afrika, walisema kuwa japo hawakuwepo wakati wa karne ya 18, lakini kwa kupitia maandiko ya kihistoria, ni dhahiri maisha ya barani kwao wakati wa karne ya 18 yalikuwa bora maradufu kuliko yale waliyokuwa wanayashudia kwenye vijiji vingi vya Tanzania.
Kuna baadi ya mikoa, vijijini ni balaa kubwa. Mpaka leo watu wanaishi kwenye tembe, nyumba za tope au mabanda ya miti na nyasi. Niliwahi kwenda hifadhi ya Kigosi, huko Ushirombo, nilichokiona kwenye vijiji vya njiani ilikuwa ngumu kuamini. Watu wanaishi kwenye mashimo. Banda linakuwa halina ukuta, paa linasimama juu ya ardhi. Katikati ya hilo paa la nyasi na miti wanachimba shimo. Hilo shimo ndiyo nyumba..
Lema anaongea utadhani ndiyo mara yake ya kwanza kuiona na kufika TanzaniaSijajua huyu jamaa anafanya kampeni au ametumwa! Dah hii nchi ngumu sana.
Anapoelekea sio, soon watamsweka ndani halafu muanze oh huyu mama hafai.
Kwani Mkuu wewe unatuona onaje labda,Mbona Kilimanjaro, Arusha, Mwanza, Manyara imewezekana?
Tanga imejaa watu wavivu na wajinga haswaKwani Mkuu wewe unatuona onaje labda,
Kwamba tunaendana na umasikini na tunaupenda.............!
Kwahiyo nyie mashoga umaskini ni dili kwenu?Lema ingekuwa amezaliwa huko alikotoka halafu iwe ndo mara yake ya kwanza kufika Tanzania angetuua kwa presha kwa haya Mambo aliyoyakuta, yaani Lema wakutuona sisi tunaishi kama wadudu kweli.........!
Shoga unajulikana kwa tembea yako na hata maneno yako.Kwahiyo nyie mashoga umaskini ni dili kwenu?
Usiseme tuna sema unaTunàvyoishi Ni zaidi ya wadudu.
Hapo miaka miwili tu Canada. Angeishi 10 angesema sisi ni wadudu 🤣🤣🤣Lema ingekuwa amezaliwa huko alikotoka halafu iwe ndo mara yake ya kwanza kufika Tanzania angetuua kwa presha kwa haya Mambo aliyoyakuta, yaani Lema wakutuona sisi tunaishi kama wadudu kweli.........!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] unamaanisha kweny sekta ya kuruka na ungo?hao watanga unawaona ni masikini kwenye ulimwengu wa nyama ila kwenye ulimwengu wa roho ni mabillionea usipime, na wamerizika kwa ilo
Eti wamachame. Mbona tunao wengi ni masikini na tumewaajiri mashambani kwetu?Kuna wakati mnamuongelea kama kajitu flani kalichotokea kwenye umaskini totoro na kakaibukia ughaibuni ns kuwa na nyodo🤣🤣🤣
Lema ni mmchame wa pale Machame, wamachame wako juu na sio haba kivile.
Ukweli mchaga wa Machame akienda mikos mingine hasa vijijini huwa wanashangaa makazi mabovu na umasikini totoro
🤩🤩Lema yuko sahihi! Shida yake sasa anataka awe mgeni kabisaa wa hii nchi
Kitendo cha yeye leo awashangae hao wanatanga kwamba mpaka leo wanaishi kwa mapango kana kwamba Lema hajawahi kuwepo/kuzaliwa Tanzania na kwamba ndo jana kashuka toka huko ughaibuni
Huku ni kudhalauliana bhana
Waja leo waondoka leo kwenye Gofu!Wanajua mapenz tu
Hakuna mahali nimesema wamachame wote ni matajiri.Eti wamachame. Mbona tunao wengi ni masikini na tumewaajiri mashambani kwetu?