Lema awataka wana Chadema kususia biashara za billionea wa Arusha

Lema awataka wana Chadema kususia biashara za billionea wa Arusha

mr gentleman

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2012
Posts
3,222
Reaction score
4,689
Siku moja baada ya kamati kuu ya Chadema kutoka ikulu kuonana na viongozi wa CCM.

Mwanasiasa wa Chadema na mjumbe wa kamati kuu Godbless Lema amewataka wanachama wa Chadema kususia bidhaa za billionea Sunda.

IMG_20220522_050858.jpg
 
Sijui Chadema walitegemea nini kwenda kukodisha ukumbi kwa mtu mwenye vinasaba na CCM.

Hawa watu ni walewale, mambo ya kihuni yapo kwenye DNA zao, kukaa nao mezani ni kupoteza muda tu.
 
Wao kuondolewa ukumbini .
Huoni kama ni zaidi ya ujinga ?!. Hivi wafuasi wa watawala hamna hata fikra !
Kwa kujifanya kote huko hujui matumizi ya hili neno kwenye biashara??

"Management reserves the right for admission"

Au kwakua ni Chadema basi kila mtu afanye mnachokitaka???
 
Siku moja baada ya kamati kuu ya Chadema kutoka ikulu kuonana na viongozi wa CCM.

Mwanasiasa wa Chadema na mjumbe wa kamati kuu Godbless Lema amewataka wanachama wa Chadema kususia bidhaa za billionea Sunda.

View attachment 2233659
Sasa kama kaambiwa na mamlaka huyu Lema Alitaka mfanya biashara afanyaje ? mpuuzi sana huyu Lema
 
Itakuwa hawakulipia ukumbi. Iweje wakodishiwe halafu wafukuzwe
 
Back
Top Bottom