Lema awataka wana Chadema kususia biashara za billionea wa Arusha

Lema awataka wana Chadema kususia biashara za billionea wa Arusha

Canada alikwenda kunusuru maisha yake mlitaka kumuua. Hata hivyo anatia team muda si mrefu kuna dalili serikali hii ikaacha kuwaua na kuwateka wapinzani.

Acha utoto nani alitaka kumuua? Na je huko Canada mtu akitaka kukua anashindwa nini? Kila siku unaskia Mzungu kaua mwafrika na maisha yanaendelea. So atashindwa mtu mwenye hela kukodi Mercenary kwenye darkweb?
 
Huyu kaharibu sana mji wa Arusha kwa mambo yake ya kijinga.
Ameharibujeee

Embu tuambie maana kipindi chake ndio barabara unazoziona zimejengwa hata huyo kiredio anayeishi kea kiki sijuiagi anafanya nini
 
Acha utoto nani alitaka kumuua? Na je huko Canada mtu akitaka kukua anashindwa nini? Kila siku unaskia Mzungu kaua mwafrika na maisha yanaendelea. So atashindwa mtu mwenye hela kukodi Mercenary kwenye darkweb?
Kwani walioliwa nani kawaua?
 
Canada alikwenda kunusuru maisha yake mlitaka kumuua. Hata hivyo anatia team muda si mrefu kuna dalili serikali hii ikaacha kuwaua na kuwateka wapinzani.
Sasa kama alikimbilia Canada kunusuru maisha yake anawatukana vipi waliofuata maagizo toka juu kunusuru maisha yao?akili mgando.
 
Tupeane habari zaidi Mkuu, wengi tumeshajiuliza sana. Kuna wanaosema ni uwekezaji wa mstaafu Raisi mmoja kutoka ughaibuni.
Kuna bwana. Kitomari hapo Arusha; aliwahi kuwa Deputy Governor wa Bot, muulizeni yeye anajua juu ya umiliki wa hiyo Mount Meru hotel.
 
kwa hela ipi kama walishindwa kujenga ofisi na hela za kujengea wanapewa wanakula mbowe noma mwizi
Kuna tajiri mmoja Dar. aliwapa hela nyingi tu wajenge makao makuu wakazila!
 
Back
Top Bottom