Lema awataka wana Chadema kususia biashara za billionea wa Arusha

Lema awataka wana Chadema kususia biashara za billionea wa Arusha

Siku moja baada ya kamati kuu ya Chadema kutoka ikulu kuonana na viongozi wa CCM.

Mwanasiasa wa Chadema na mjumbe wa kamati kuu Godbless Lema amewataka wanachama wa Chadema kususia bidhaa za billionea Sunda.

View attachment 2233659
Hii aliiweza tu Odinga na muda si mrefu inatazamiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Kenya. Kwa mazingira ya kenya kususa inawezekana si hapa Bongoland. Kuna mmoja kashauri chdema wajenge ofisi na kumbi zao kuondoa hizi inconveniences

Miaka zaidi ya 25 bado chama kimekaa kiharakati na kuvaa mabuti kama mgambo, haijakaa sawa
 
Kama yeye kapokea maagizo analaumiwa vipi, mlitaka asitekeleze aandamwe na tra, rita,osha, tupawu, tarura, tff and the like?.

Alafu kwani yeye ni Mmiliki au Muendeshaji? maana kuna tofauti kubwa sana hapo ni vizuri kuweka kumbukumbu sawa.
 
Siku moja baada ya kamati kuu ya Chadema kutoka ikulu kuonana na viongozi wa CCM.

Mwanasiasa wa Chadema na mjumbe wa kamati kuu Godbless Lema amewataka wanachama wa Chadema kususia bidhaa za billionea Sunda.

View attachment 2233659
Kiukwel Lema huwa anaakl ndogo sana basi tu wafuasi kuwapata nchi hii ni jambo rahisi

Yaani umsusie aliewatoa ukumbini kwa vle kapokea maelekezo somewhere badala mumsusie hyo mamlaka iliyompa hayo maelekezo

Na toka aanze hizi kampeni zake za kuhamasisha watu wasuse amefanikiwa ipi maana hadi mtandao wa Simu fulani alihamasisha watu waususie.
 
Yupo Canada, anakula kuku Kwa mrija, anatuambia tulio motoni huku tususe!
Mjinga Sana! Arudi tuje tususe Kwa pamoja!

Itakuwa naye alitafutiwa huko kama Mwenyekiti alivyokiri kumuahidi yule mbunge kwa sharti la kuachia ubunge!
Kwahyo alimfundisha usaliti bila kudhania hatima ya wale wengine 18!
 
Dah,
Huyu jamaa anajua kususa sana,
Nina mashaka sana na makuzi yake, strugle kwa mtoto wa kiume ni kawaida, sasa kama alikuwa anasusasusa amekafikaje hapo?
 
Anakula pesa za ukimbizi halafu anadai Chadema wasusie.Tabia za kususasusa zimewasaidia nini Chadema?
Huyu anayetoa wazo hilo ni think tank ya Chadema.
Unajiuliza anazungumza kama yeye au kama mwakilishi wa Chadema?
Kuropoka hakusaidii suluhisho ni kujenga kumbi zao za mikutano.
Angehamasisha ujenzi wa kumbi za mikutano wengi wangemuelewa.
 
Badala ya kususia ni wkt muafaka cdm kujenga kumbi zake
Kama ofisi tu wameshindwa kujenga,huo ukumbi wataweza!!? Tena amefanya vizuri kuwatimua pimbi nyny mnashindwa kujenga ofisi ya kueleweka miaka na miaka!!
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Hiv MACHADEMA maskini mna nguvu gani kususia kitu. Yaani mnajikuna unga eti mtishie ma tajiri. Jinga Sana
 
Chadema ukimtoa mzee mtei,mbowe na tundu lissu,waliobaki wote wakapimwe akili kwanza .jitu linakurupuka tu kwa kujali hisia zake eti wasusie bidhaa za fulani kwa sababu ajajali hisia zao .acheni ujinga nyie chadema
 
Kipind Cha nyuma mlikuwa mnapata ruzuku had million 300 kwa mwez,bado misaada ya vyama rafiki,Germany, mkaishia kutafutana na kugawana na vimada wenu kina Joyce mukya,

Mkashindwa hata kununua kiwanja Cha million 200 ,hekari za kutosha ,mjenge Makao makuu na kumbi zenu

Leo mna mbunge mmoja ,ruzuku zimekata ,

Mnaanza kuwapangia watu kumbi zao,

Mlishindwa hata kuanzisha Gazet la chama,redio ya chama ,hata za online

Ruzuku mkatafuna wachache ,

Ndio maana nasema TZ upinzan Hakuna Kuna wasakatonge ,

Waliokuwa wanajifanya wapinzan haswa wapiga kelele ,karibu wote wametanguliza matumbo yao,

Kina Waitara,Mdee na kund lake,
 
Kwa kujifanya kote huko hujui matumizi ya hili neno kwenye biashara??

"Management reserves the right for admission"

Au kwakua ni Chadema basi kila mtu afanye mnachokitaka???
Mimi naamini Chadema wana kesi nzuri tena ya ushindi dhidi ya huyo Gabachori na hotel yake kwa kuvunja na kuvuruga mkataba wa ukodishaji
 
Kiukwel Lema huwa anaakl ndogo sana basi tu wafuasi kuwapata nchi hii ni jambo rahisi

Yaani umsusie aliewatoa ukumbini kwa vle kapokea maelekezo somewhere badala mumsusie hyo mamlaka iliyompa hayo maelekezo

Na toka aanze hizi kampeni zake za kuhamasisha watu wasuse amefanikiwa ipi maana hadi mtandao wa Simu fulani alihamasisha watu waususie.
Lema ana usela wa kizamani sana
 
Badala ya kususia ni wkt muafaka cdm kujenga kumbi zake
Hapana. Chadema haitakiwi kujenga Kumbi zake. Hizo ni Siasa za Kikomunisti. Wanachama na Wapenzi wa Chadema ndio wanaotakiwa kujenga Kumbi za Biashara, ili siku Viongozi wa Chadema wakienda kuzikodi, yasitokee haya yaliyotokea.
 
Yupo Canada, anakula kuku Kwa mrija, anatuambia tulio motoni huku tususe!
Mjinga Sana! Arudi tuje tususe Kwa pamoja!
Canada alikwenda kunusuru maisha yake mlitaka kumuua. Hata hivyo anatia team muda si mrefu kuna dalili serikali hii ikaacha kuwaua na kuwateka wapinzani.
 
Back
Top Bottom