mr gentleman
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,222
- 4,689
kwa ushauri huu utakula mwenyewe sumu uliyosaga!Badala ya kususia ni wkt muafaka cdm kujenga kumbi zake
Kama hata kiwanja tu cha kujenga ofisi ya makao makuu hawana, hizo kumbi watazijenga wapi, hewani?Badala ya kususia ni wkt muafaka cdm kujenga kumbi zake
Siku moja baada ya kamati kuu ya Chadema kutoka ikulu kuonana na viongozi wa CCM.
Mwanasiasa wa Chadema na mjumbe wa kamati kuu Godbless Lema amewataka wanachama wa Chadema kususia bidhaa za billionea Sunda.
View attachment 2233659
Wao kuondolewa ukumbini .Huyu kaharibu sana mji wa Arusha kwa mambo yake ya kijinga.
Kuwa na heshima basi na mkuu wa nchi. Mabosi zako Mbowe na Mnyika wanamfata ikulu waonjeshwe keki ya taifa.Nchi iko chini ya aliyekuwa msaidizi wa dikteta aliyetangulia jehanamu. Unategemea nini?
Kwa kujifanya kote huko hujui matumizi ya hili neno kwenye biashara??Wao kuondolewa ukumbini .
Huoni kama ni zaidi ya ujinga ?!. Hivi wafuasi wa watawala hamna hata fikra !
Badala ya kususia ni wkt muafaka cdm kujenga kumbi zake
Sasa kama kaambiwa na mamlaka huyu Lema Alitaka mfanya biashara afanyaje ? mpuuzi sana huyu LemaSiku moja baada ya kamati kuu ya Chadema kutoka ikulu kuonana na viongozi wa CCM.
Mwanasiasa wa Chadema na mjumbe wa kamati kuu Godbless Lema amewataka wanachama wa Chadema kususia bidhaa za billionea Sunda.
View attachment 2233659