Hii aliiweza tu Odinga na muda si mrefu inatazamiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Kenya. Kwa mazingira ya kenya kususa inawezekana si hapa Bongoland. Kuna mmoja kashauri chdema wajenge ofisi na kumbi zao kuondoa hizi inconveniencesSiku moja baada ya kamati kuu ya Chadema kutoka ikulu kuonana na viongozi wa CCM.
Mwanasiasa wa Chadema na mjumbe wa kamati kuu Godbless Lema amewataka wanachama wa Chadema kususia bidhaa za billionea Sunda.
View attachment 2233659
Sunda ni mmiliki kivuli wa hiyo hoteli. Ina wenyewe. Naishia hapa
Kiukwel Lema huwa anaakl ndogo sana basi tu wafuasi kuwapata nchi hii ni jambo rahisiSiku moja baada ya kamati kuu ya Chadema kutoka ikulu kuonana na viongozi wa CCM.
Mwanasiasa wa Chadema na mjumbe wa kamati kuu Godbless Lema amewataka wanachama wa Chadema kususia bidhaa za billionea Sunda.
View attachment 2233659
Yupo Canada, anakula kuku Kwa mrija, anatuambia tulio motoni huku tususe!
Mjinga Sana! Arudi tuje tususe Kwa pamoja!
Kama ofisi tu wameshindwa kujenga,huo ukumbi wataweza!!? Tena amefanya vizuri kuwatimua pimbi nyny mnashindwa kujenga ofisi ya kueleweka miaka na miaka!!Badala ya kususia ni wkt muafaka cdm kujenga kumbi zake
Tupeane habari zaidi Mkuu, wengi tumeshajiuliza sana. Kuna wanaosema ni uwekezaji wa mstaafu Raisi mmoja kutoka ughaibuni.Sunda ni mmiliki kivuli wa hiyo hoteli. Ina wenyewe. Naishia hapa
Mimi naamini Chadema wana kesi nzuri tena ya ushindi dhidi ya huyo Gabachori na hotel yake kwa kuvunja na kuvuruga mkataba wa ukodishajiKwa kujifanya kote huko hujui matumizi ya hili neno kwenye biashara??
"Management reserves the right for admission"
Au kwakua ni Chadema basi kila mtu afanye mnachokitaka???
Kwani walitoa pesa ya kulipia ukumbi??Mimi naamini Chadema wana kesi nzuri tena ya ushindi dhidi ya huyo Gabachori na hotel yake kwa kuvunja na kuvuruga mkataba wa ukodishaji
Lema ana usela wa kizamani sanaKiukwel Lema huwa anaakl ndogo sana basi tu wafuasi kuwapata nchi hii ni jambo rahisi
Yaani umsusie aliewatoa ukumbini kwa vle kapokea maelekezo somewhere badala mumsusie hyo mamlaka iliyompa hayo maelekezo
Na toka aanze hizi kampeni zake za kuhamasisha watu wasuse amefanikiwa ipi maana hadi mtandao wa Simu fulani alihamasisha watu waususie.
Hapana. Chadema haitakiwi kujenga Kumbi zake. Hizo ni Siasa za Kikomunisti. Wanachama na Wapenzi wa Chadema ndio wanaotakiwa kujenga Kumbi za Biashara, ili siku Viongozi wa Chadema wakienda kuzikodi, yasitokee haya yaliyotokea.Badala ya kususia ni wkt muafaka cdm kujenga kumbi zake
Canada alikwenda kunusuru maisha yake mlitaka kumuua. Hata hivyo anatia team muda si mrefu kuna dalili serikali hii ikaacha kuwaua na kuwateka wapinzani.Yupo Canada, anakula kuku Kwa mrija, anatuambia tulio motoni huku tususe!
Mjinga Sana! Arudi tuje tususe Kwa pamoja!
CCM ni joka ndumilakuwili.Urafiki na ccm hauna tofauti na urafiki na nyoka. Muda wowote anajisahau kama ni mwana anakung'ata.