[emoji871]#Lema anapaswa kujua kwamba wao ndio walikosa busara ya Subira.
[emoji871]DW-Swahili pia wanao utaratibu wao wa kuratibu vipindi,yeye Lema asiwapangie.
[emoji871]Lissu hakutumia busara maana ndani ya masaa 48 tangia alipotoka kuongea na Rais Samia.
[emoji871]Yeye alimaliza media zote akitafuta umaarufu,kwa kutangaza walichokiongea na Mh Rais Samia.
[emoji871]Pia...pamoja na Samia kuhojiwa na DW-Swahili,bado hakuongelea chochote kuhusu opinion yake.
[emoji871]Ni Lissu aliyepyuka siri zote walizoongea ili apate Credit kwa mataifa yanayomfadhili.
[emoji871]Lissu aliyageuza maombi yake kuwa kama maelekezo au amri kwa Rais Samia.
[emoji871]Alishindwa nini kusubiri Mh Raisi arejee nyumbani na kutulia kwanza ili aone atachukua hatua gani?
[emoji871]#Lema nae aelewe sio kila mtanzania aliyeko Ulaya au Marekani amefuata au anataka siasa.
[emoji871]Diaspora wengi wa Tanzania walioko huko wamekwenda kwa juhudi zao binafsi na wanao utashi wa kuamua nini kinawafaa au hakiwafai.
[emoji871]Wako huko kutafuta maisha na kuzisaidia familia zao.Hawakwenda huko kama wanaharakati.
Kama ilivyo kwa
lema na
Lissu.
[emoji871]Wengine huenda wanaweza hata kupoteza ajira zao endapo wataonekana kufanya siasa.
[emoji871]#Lema aelewe kwamba sio kila Diaspora wa Tanzania[emoji1241] aliyeko European Union[emoji1099] na America [emoji631] .
[emoji871]Kwamba wote wanaichukia CCM.
Aelewe siasa kila mtu anao mtazamo wake hivyo asiwalazimishe u-Chadema.
[emoji871]Tunaandika humu kuhusu Chadema kutotumia Busara katika baadhi ya maamuzi.ila huwa tunaambulia matusi tu.Ila ukweli unawaumbua.