Lema: DW wametumiwa na CCM kufanya propaganda

Lema: DW wametumiwa na CCM kufanya propaganda

Huyu Lema naye analialia mno sasa, Hakuna redio ya kimataifa inayorusha habari za upinzani na mijadala yao kama DW...

Halafu anavyosema watanzania wote walioko Ulaya ni Wanafiki kisa hawajaandamana ana uhakika gani kama wote ni Chadema.

Binafsi naona yeye ndio mnafiki zaidi maana amekimbia yeye na familia yake halafu anasakizia wenzake kuandamana.

Kama mpinzani wa kweli arudi nchini sio kupiga kelele tu akiwa nchi za watu.

Hizi ni dalili za kuchanganyikiwa na kukata tamaa...
Uwe unaanzisha uzi kuwambia ukweli kuwa wote hamuwezi kuwa chadema
 
Kwani si tulikubaliana kuwa Mbowe ni Mandela wa Tanzania, akifungwa atakuwa amekipaisha sana chama na hatimae kuja kuwa Rais kama Mandela halisi au yule Mandela wa Zambia?
Kaka Godbless hofu ya nini tena?
Asante umetoa maneno kinywani mwangu
 
Huyu Lema naye analialia mno sasa, Hakuna redio ya kimataifa inayorusha habari za upinzani na mijadala yao kama DW...

Halafu anavyosema watanzania wote walioko Ulaya ni Wanafiki kisa hawajaandamana ana uhakika gani kama wote ni Chadema.

Binafsi naona yeye ndio mnafiki zaidi maana amekimbia yeye na familia yake halafu anasakizia wenzake kuandamana.

Kama mpinzani wa kweli arudi nchini sio kupiga kelele tu akiwa nchi za watu.

Hizi ni dalili za kuchanganyikiwa na kukata tamaa...
nakubaliana na weww

pia viongozi wa chadema hawaweki akilinzao katika kukabiliana na kesi ya mbowe ila wanapambana na chama cha CCM na kuilaum serikali tu kila kukicha

wanashindwa kuwa na mipango mikakati ya kutafuta suluhu ila wanatafuta relief kwa kuitupia lawama serikali na kuwachonganisha wananchi ambao ni wanachama wao na serikali yao ikiwa wao wapo mbali na eneo la tukio,,, wanawafanya wafuasi wao kama kete kwenye draft wanawaendesha watakavyo bila mipangilio...
 
Mabeberu ukishayapa kinyeo hata ukitaka kumnyonga Mbowe hamna shida
 
"...DW wametumika kufanya propaganda kwa kuchelewesha kwa makusudi kurusha hewani kipindi cha mahojiano ya mwandishi wao na Rais Samia na ajabu baada ya kikao cha Tundu na Rais Samia ambacho kilikuwa cha siri na eti wao pia wakaachia ile video clip."

"...alianza Kikeke kutumika na sasa DW nao wamekuwa sehemu ya."

"...tukifanya mchezo CCM watamvalisha nguo za orange Mbowe.Hawa watu wamedhamiria kumfunga!"

"...Watanzania wengi mliopo huku ng'ambo mmejaa unafiki kwa sababu mmeshindwa kuandamana kuidai haki inayoporwa na CCM na ajabu tunazidiwa na Warundi na Waganda."

Amesema Lema.
lema CCM haijamshtaki mbowe wala CCM haijasimama mahakamani kutoa ushahidi wala CCM sio mwendesha mashtaka mkuu wa kesi ya mbowe wala CCM sio jaji wa kesi hiyo,,, usipotoshe uma na kuleta mtafaruku ndani ya taifa,,, democracy haipo hivyo hiyo ni misleading na inawalenga wananchi wa taifa hili...
 
Hawa jamaa kiboko yao alikuwa Magu

Jamaa alijifanya mjanja baada ya uchaguzi wa 2020 akarudi Ubeberuni…alipofika German wazalendo wakachukua hati yake ya kusafiria na kuirudisha 'zizini' baada ya hapo akajikuta yupo Mahabusu ughaibuni

Sasa hivi wanamzulia uongo JK wakati ni wao waliposhauriwa wafanye kama walivyofanya Masheikh wa Uamsho ili jambo lao limalizwe kwa usalama wakakataa
Ndugu yangu,
Kwa hiyo mnachotamani sana ni Mwamba Mbowe aombe kusamehewa kosa ambalo hakulitenda?
Nyie ambao bado mko kulekule kwenye kujivunia mambo ya HOVYO ya kulazimisha wasio na hatia kulipa mihela ili kunyamazisha sauti za haki, mnaugua ugonjwa wa MAGUFULEGACY unaofifisha uwezo WENU wa kufikiri kama BINADAMU mtimilifu. KATIBA MPYA yaja, kuwapa tiba. AMEN
 
Hatutaki aombe tunataka tusubiri hukumu ya Mahakama
Ndugu yangu,
Kwa hiyo mnachotamani sana ni Mwamba Mbowe aombe kusamehewa kosa ambalo hakulitenda?
Nyie ambao bado mko kulekule kwenye kujivunia mambo ya HOVYO ya kulazimisha wasio na hatia kulipa mihela ili kunyamazisha sauti za haki, mnaugua ugonjwa wa MAGUFULEGACY unaofifisha uwezo WENU wa kufikiri kama BINADAMU mtimilifu. KATIBA MPYA yaja, kuwapa tiba. AMEN
 
Kwanza tujue hicho kipindi kilirekodiwa lini na kikarushwa lini? kwa wale wenye uelewa wa hayo mambo hiyo kazi huchukua siku ngapi?

Inawezekana madai ya Lema yakawa sahihi au yasiwe sahihi, japo kimsingi kwa ujumla wake haipingiki kwamba serikali ya Samia imedhamiria kwa makusudi kumfunga Mbowe kama asipoomba msamaha.
Wewe unashauri Nini, aombe msamaha asifungwe au asiombe msamaha asifungwe?
 
Huyu Lema naye analialia mno sasa, Hakuna redio ya kimataifa inayorusha habari za upinzani na mijadala yao kama DW...

Halafu anavyosema watanzania wote walioko Ulaya ni Wanafiki kisa hawajaandamana ana uhakika gani kama wote ni Chadema.

Binafsi naona yeye ndio mnafiki zaidi maana amekimbia yeye na familia yake halafu anasakizia wenzake kuandamana.

Kama mpinzani wa kweli arudi nchini sio kupiga kelele tu akiwa nchi za watu.

Hizi ni dalili za kuchanganyikiwa na kukata tamaa...
Kama watanzania wote waishio ulaya ni wanafiki maana ya wote ni pamoja na yeye.
 
"...DW wametumika kufanya propaganda kwa kuchelewesha kwa makusudi kurusha hewani kipindi cha mahojiano ya mwandishi wao na Rais Samia na ajabu baada ya kikao cha Tundu na Rais Samia ambacho kilikuwa cha siri na eti wao pia wakaachia ile video clip."

"...alianza Kikeke kutumika na sasa DW nao wamekuwa sehemu ya."

"...tukifanya mchezo CCM watamvalisha nguo za orange Mbowe.Hawa watu wamedhamiria kumfunga!"

"...Watanzania wengi mliopo huku ng'ambo mmejaa unafiki kwa sababu mmeshindwa kuandamana kuidai haki inayoporwa na CCM na ajabu tunazidiwa na Warundi na Waganda."

Amesema Lema.
Watanzania wengi ni wanafiki sn ndiyo maana CCM wanafanya wanavyotaka
 
Back
Top Bottom