Lema: DW wametumiwa na CCM kufanya propaganda

Lema: DW wametumiwa na CCM kufanya propaganda

Watanzania wengi ni wanafiki sn ndiyo maana CCM wanafanya wanavyotaka
Mwenyekiti wa chadema alizungumzia wanachama wao waliokimbia Tanzania na sio Watanzania wote waliokimbia Tanzania kwa sababu ya vitisho kwa hiyo kila Mtanzania atatajiju mwenyewe alipo. Huo ndio ukweli wa Watanzania hakuna umoja wala huruma kutesana kwa zamu.
 
[emoji871]#Lema anapaswa kujua kwamba wao ndio walikosa busara ya Subira.

[emoji871]DW-Swahili pia wanao utaratibu wao wa kuratibu vipindi,yeye Lema asiwapangie.

[emoji871]Lissu hakutumia busara maana ndani ya masaa 48 tangia alipotoka kuongea na Rais Samia.

[emoji871]Yeye alimaliza media zote akitafuta umaarufu,kwa kutangaza walichokiongea na Mh Rais Samia.

[emoji871]Pia...pamoja na Samia kuhojiwa na DW-Swahili,bado hakuongelea chochote kuhusu opinion yake.

[emoji871]Ni Lissu aliyepyuka siri zote walizoongea ili apate Credit kwa mataifa yanayomfadhili.

[emoji871]Lissu aliyageuza maombi yake kuwa kama maelekezo au amri kwa Rais Samia.

[emoji871]Alishindwa nini kusubiri Mh Raisi arejee nyumbani na kutulia kwanza ili aone atachukua hatua gani?

[emoji871]#Lema nae aelewe sio kila mtanzania aliyeko Ulaya au Marekani amefuata au anataka siasa.

[emoji871]Diaspora wengi wa Tanzania walioko huko wamekwenda kwa juhudi zao binafsi na wanao utashi wa kuamua nini kinawafaa au hakiwafai.

[emoji871]Wako huko kutafuta maisha na kuzisaidia familia zao.Hawakwenda huko kama wanaharakati.
Kama ilivyo kwa lema na Lissu.

[emoji871]Wengine huenda wanaweza hata kupoteza ajira zao endapo wataonekana kufanya siasa.

[emoji871]#Lema aelewe kwamba sio kila Diaspora wa Tanzania[emoji1241] aliyeko European Union[emoji1099] na America [emoji631] .

[emoji871]Kwamba wote wanaichukia CCM.
Aelewe siasa kila mtu anao mtazamo wake hivyo asiwalazimishe u-Chadema.

[emoji871]Tunaandika humu kuhusu Chadema kutotumia Busara katika baadhi ya maamuzi.ila huwa tunaambulia matusi tu.Ila ukweli unawaumbua.


Umeandika vizuri Kabisa
 
"...DW wametumika kufanya propaganda kwa kuchelewesha kwa makusudi kurusha hewani kipindi cha mahojiano ya mwandishi wao na Rais Samia na ajabu baada ya kikao cha Tundu na Rais Samia ambacho kilikuwa cha siri na eti wao pia wakaachia ile video clip."

"...alianza Kikeke kutumika na sasa DW nao wamekuwa sehemu ya."

"...tukifanya mchezo CCM watamvalisha nguo za orange Mbowe.Hawa watu wamedhamiria kumfunga!"

"...Watanzania wengi mliopo huku ng'ambo mmejaa unafiki kwa sababu mmeshindwa kuandamana kuidai haki inayoporwa na CCM na ajabu tunazidiwa na Warundi na Waganda."

Amesema Lema.
Kutafuta haki lazima mtu uwe na chama??
 
Wakati watu wameomba suluhu ya mazungumzo Lemaa na TL wakatia ujeuri haya sasa haya yanatokea wapi?
 
"...DW wametumika kufanya propaganda kwa kuchelewesha kwa makusudi kurusha hewani kipindi cha mahojiano ya mwandishi wao na Rais Samia na ajabu baada ya kikao cha Tundu na Rais Samia ambacho kilikuwa cha siri na eti wao pia wakaachia ile video clip."

"...alianza Kikeke kutumika na sasa DW nao wamekuwa sehemu ya."

"...tukifanya mchezo CCM watamvalisha nguo za orange Mbowe.Hawa watu wamedhamiria kumfunga!"

"...Watanzania wengi mliopo huku ng'ambo mmejaa unafiki kwa sababu mmeshindwa kuandamana kuidai haki inayoporwa na CCM na ajabu tunazidiwa na Warundi na Waganda."

Amesema Lema.
Ifike hatua chadema wawe wanakatazana kila mtu kuropoka na kuamini wao ndio wako sahihi kuliko mtanzania anaewapinga

Kama tunavyoona CCM wana madhaifu na ndivyo vyama vingine vina madhaifu pia

Hivi unatarajia hao watanzania walioenda kujitafutia kipato wafanye mambo kisa kumfurahisha lema na Chadema

Leo waandamane kwa kuipinga CCM ambayo inao baadhi ya viongozi wake wanaotoa maamuzi yanayopelekea tuwe na manung'uniko kadhaa kila leo

Halafu kesho chama iko iko kije kiseme yule alisingiziwa kwahyo tumuungeni mkono hana uchafu wowote hapa

Mfano wangu mkubwa ni Lowasa na Nyalandu namna walivyochafuliwa na Chadema na mwisho wakasafishwa na hao hao Chadema

Demokrasia wanayohubiri wanatakiwa waiishi maana hata hao diaspora wanachokifanya ni demokrasia pia

Lakini la muhimu zaidi wajifunze kauli za kuwasilisha katika jamii ya wenye akili timamu huyu lema ndio alimwambia mwenzie mtandaoni FUTA

Kina lema wajifunze maneno anayotoa Mbowe hata kama akiwa na hasira ila anajua kauli za kutumia simaanishi kuwa Mbowe hana madhaifu hapana yeye ni binadamu hakosi madhaifu

Lakini yule mwamba(Mbowe) kawazidi sana uwezo wa akili wanasiasa wengi sana nchini.
 
Ukweli ni kwamba, kwa sasa adui namba moja wa TANZANIA ni CCM

Tuumize vichwa kwa namna yoyote ile, huyu adui bila kuondolewa tusahau maendeleo na uhuru wa kweli
 
Sema wazenji wa Didabliuu wanazingua...nikama mzenji kekeke nakinà yunusi wa bibisii!!
Watu wanaandaa mazingira wapewe kazi!!
 
Ukweli ni kwamba, kwa sasa adui namba moja wa TANZANIA ni CCM

Tuumize vichwa kwa namna yoyote ile, huyu adui bila kuondolewa tusahau maendeleo na uhuru wa kweli

Naunga mkono hoja. Hata huyu mama amekuwa wa hovyo, mara tu alipoanza kuingia kwenye siasa za chama! Na hasa alipoonesha nia ya kugombea 2025!

Kabla yapo alikuwa ni mama bora sana. Ila kwa sasa, binafsi hanivutii hata kidogo. 😔
 
Kwani si tulikubaliana kuwa Mbowe ni Mandela wa Tanzania, akifungwa atakuwa amekipaisha sana chama na hatimae kuja kuwa Rais kama Mandela halisi au yule Mandela wa Zambia?
Kaka Godbless hofu ya nini tena?
Kama ni Mandela atafia kizuizini, maana Mandela org alifia kizuizini alafu wasouth wakaletewa Mandela copy. Kwahiyo Mbowe hatorud tutaletewa copy ya Mbowe.
 
Back
Top Bottom