Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kikeke ni mswahili sn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamuulize aliyekwambia hayo.Sasa story za kumsingizia Jk zinatoka wapi?
Ili wamfanye kama Azory Gwanda?Kama mpinzani wa kweli arudi nchini sio kupiga kelele tu akiwa nchi za watu.
Mwenyekiti wa chadema alizungumzia wanachama wao waliokimbia Tanzania na sio Watanzania wote waliokimbia Tanzania kwa sababu ya vitisho kwa hiyo kila Mtanzania atatajiju mwenyewe alipo. Huo ndio ukweli wa Watanzania hakuna umoja wala huruma kutesana kwa zamu.Watanzania wengi ni wanafiki sn ndiyo maana CCM wanafanya wanavyotaka
[emoji871]#Lema anapaswa kujua kwamba wao ndio walikosa busara ya Subira.
[emoji871]DW-Swahili pia wanao utaratibu wao wa kuratibu vipindi,yeye Lema asiwapangie.
[emoji871]Lissu hakutumia busara maana ndani ya masaa 48 tangia alipotoka kuongea na Rais Samia.
[emoji871]Yeye alimaliza media zote akitafuta umaarufu,kwa kutangaza walichokiongea na Mh Rais Samia.
[emoji871]Pia...pamoja na Samia kuhojiwa na DW-Swahili,bado hakuongelea chochote kuhusu opinion yake.
[emoji871]Ni Lissu aliyepyuka siri zote walizoongea ili apate Credit kwa mataifa yanayomfadhili.
[emoji871]Lissu aliyageuza maombi yake kuwa kama maelekezo au amri kwa Rais Samia.
[emoji871]Alishindwa nini kusubiri Mh Raisi arejee nyumbani na kutulia kwanza ili aone atachukua hatua gani?
[emoji871]#Lema nae aelewe sio kila mtanzania aliyeko Ulaya au Marekani amefuata au anataka siasa.
[emoji871]Diaspora wengi wa Tanzania walioko huko wamekwenda kwa juhudi zao binafsi na wanao utashi wa kuamua nini kinawafaa au hakiwafai.
[emoji871]Wako huko kutafuta maisha na kuzisaidia familia zao.Hawakwenda huko kama wanaharakati.
Kama ilivyo kwa lema na Lissu.
[emoji871]Wengine huenda wanaweza hata kupoteza ajira zao endapo wataonekana kufanya siasa.
[emoji871]#Lema aelewe kwamba sio kila Diaspora wa Tanzania[emoji1241] aliyeko European Union[emoji1099] na America [emoji631] .
[emoji871]Kwamba wote wanaichukia CCM.
Aelewe siasa kila mtu anao mtazamo wake hivyo asiwalazimishe u-Chadema.
[emoji871]Tunaandika humu kuhusu Chadema kutotumia Busara katika baadhi ya maamuzi.ila huwa tunaambulia matusi tu.Ila ukweli unawaumbua.
Kutafuta haki lazima mtu uwe na chama??"...DW wametumika kufanya propaganda kwa kuchelewesha kwa makusudi kurusha hewani kipindi cha mahojiano ya mwandishi wao na Rais Samia na ajabu baada ya kikao cha Tundu na Rais Samia ambacho kilikuwa cha siri na eti wao pia wakaachia ile video clip."
"...alianza Kikeke kutumika na sasa DW nao wamekuwa sehemu ya."
"...tukifanya mchezo CCM watamvalisha nguo za orange Mbowe.Hawa watu wamedhamiria kumfunga!"
"...Watanzania wengi mliopo huku ng'ambo mmejaa unafiki kwa sababu mmeshindwa kuandamana kuidai haki inayoporwa na CCM na ajabu tunazidiwa na Warundi na Waganda."
Amesema Lema.
Ifike hatua chadema wawe wanakatazana kila mtu kuropoka na kuamini wao ndio wako sahihi kuliko mtanzania anaewapinga"...DW wametumika kufanya propaganda kwa kuchelewesha kwa makusudi kurusha hewani kipindi cha mahojiano ya mwandishi wao na Rais Samia na ajabu baada ya kikao cha Tundu na Rais Samia ambacho kilikuwa cha siri na eti wao pia wakaachia ile video clip."
"...alianza Kikeke kutumika na sasa DW nao wamekuwa sehemu ya."
"...tukifanya mchezo CCM watamvalisha nguo za orange Mbowe.Hawa watu wamedhamiria kumfunga!"
"...Watanzania wengi mliopo huku ng'ambo mmejaa unafiki kwa sababu mmeshindwa kuandamana kuidai haki inayoporwa na CCM na ajabu tunazidiwa na Warundi na Waganda."
Amesema Lema.
Kama mtu ametungiwa kesi na hana chama haki yake ataipatia wapi??!!!Wakati watu wameomba suluhu ya mazungumzo Lemaa na TL wakatia ujeuri haya sasa haya yanatokea wapi?
Tutafute namna ya kumaliza haya mambo jamani.Kama mtu ametungiwa kesi na hana chama haki yake ataipatia wapi??!!!
Lema naye si yuko ng'ambo mbn hajaandama
Kama ambavyo cdm ilivyohadaa wjingaWatanzania wengi ni wanafiki sn ndiyo maana CCM wanafanya wanavyotaka
Ukweli ni kwamba, kwa sasa adui namba moja wa TANZANIA ni CCM
Tuumize vichwa kwa namna yoyote ile, huyu adui bila kuondolewa tusahau maendeleo na uhuru wa kweli
Kama ni Mandela atafia kizuizini, maana Mandela org alifia kizuizini alafu wasouth wakaletewa Mandela copy. Kwahiyo Mbowe hatorud tutaletewa copy ya Mbowe.Kwani si tulikubaliana kuwa Mbowe ni Mandela wa Tanzania, akifungwa atakuwa amekipaisha sana chama na hatimae kuja kuwa Rais kama Mandela halisi au yule Mandela wa Zambia?
Kaka Godbless hofu ya nini tena?
CCM ni hovyo snKama ambavyo cdm ilivyohadaa wjinga
🤣🤣🤣🤣🤣Acha usen. Siyo kila Mchagga ni chadema ww mbw