Sumu ishakuwa diluted atakapoinywa isimdhuru. Wait and see.Huyu atakuwa amechoka na maisha, anataka kui test sumu kwa kuionja!. Sasa hivi tutamsahau!.
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sumu ishakuwa diluted atakapoinywa isimdhuru. Wait and see.Huyu atakuwa amechoka na maisha, anataka kui test sumu kwa kuionja!. Sasa hivi tutamsahau!.
P
Duuuuuuuuu!!Huyu atakuwa amechoka na maisha, anataka kui test sumu kwa kuionja!. Sasa hivi tutamsahau!.
P
Makamba, Jafo, Mchengerwa, Aweso, Ummy, Mwigulu, Mbarawa na Nape ni watoto wa Rais na siyo mawaziriMwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema anesema hivi karibuni atatoa Onyo kali kwa January Makamba
Lema akiwa amepost picha aliyopiga Yeye, January Makamba na Nape Nnauye wakijadili jambo msibani kwa Membe amesema January ni Waziri siyo First born wa SSH hivyo kiburi chake kitashushwa
Lema ametoa angalizo hili kupitia ukurasa wake wa twitter
Hatari na nusu!
Hili ndio jambo la maanaKatiba mpya ni mhimu zaidi
Una manisha kwamba?Huyu atakuwa amechoka na maisha, anataka kui test sumu kwa kuionja!. Sasa hivi tutamsahau!.
P
Kama dikteta alimshindwa kuna mtu atamuweza?Huyu atakuwa amechoka na maisha, anataka kui test sumu kwa kuionja!. Sasa hivi tutamsahau!.
P
Inaonekana kwa hii photo January alikuwa na hasira kama kuna jambo anamuonya Lema.
Kwamba Makamba atamkorimba Lema?Huyu atakuwa amechoka na maisha, anataka kui test sumu kwa kuionja!. Sasa hivi tutamsahau!.
P
Siasa zimeshabadilika ujueMakamba, Jafo, Mchengerwa, Aweso, Ummy, Mwigulu, Mbarawa na Nape ni watoto wa Rais na siyo mawaziri
Hao niliwataja ndiyo mwenye nchi nowSiasa zimeshabadilika ujue
Huyu Mwamba wa Kusini aliyelala Ilikuwa ndio injini ya CCM
Itakuwa lema alitaka buyu la asali kutoka kwa makamba ila akamtolea njeHahahah vita ya walamba asali kulikoni milukuwa pamoja kwenye sherehe ya Membe imekuwaje tena?
Hebu tueleze vizuri mkuu inaonekana una hoja usikilizwe...Huyu atakuwa amechoka na maisha, anataka kui test sumu kwa kuionja!. Sasa hivi tutamsahau!.
P
Lema ni Shemeji wa Makamba na MwiguluInaonekana kwa hii photo January alikuwa na hasira kama kuna jambo anamuonya Lema.
Lema anaonekana amekaa kinyonge akitafuta huruma ya Nape.
Kuna jambo kubwa.
Hiyo picha nasikia Nape na Kipara walikuwa wanamchana aache ushamba wa kuvaa gwanda za CDM hadi misibani
😅😅😅amewakilisha chama kama Chongoro alivyofanta alivaa Nguo za ccmHiyo picha nasikia Nape na Kipara walikuwa wanamchana aache ushamba wa kuvaa gwanda za CDM hadi misibani
🤣🤣🤣 unajua siasa zina utoto sana wakati mwingine😅😅😅amewakilisha chama kama Chongoro alivyofanta alivaa Nguo za ccm