johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #41
UmekaririHao niliwataja ndiyo mwenye nchi now
Kanisa Moja Takatifu la Mitume
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UmekaririHao niliwataja ndiyo mwenye nchi now
Hiyo posture yake inaonekana kapoteza confidence.. . Hapo ukute anaelekezwa na kupewa maagizo na maonyo.. 🤣 🤣
Nabii Lema🤣Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema anesema hivi karibuni atatoa Onyo kali kwa January Makamba
Lema akiwa amepost picha aliyopiga Yeye, January Makamba na Nape Nnauye wakijadili jambo msibani kwa Membe amesema January ni Waziri siyo First born wa SSH hivyo kiburi chake kitashushwa
Lema ametoa angalizo hili kupitia ukurasa wake wa twitter
Hatari na nusu!
Huyu atakuwa amechoka na maisha, anataka kui test sumu kwa kuionja!. Sasa hivi tutamsahau!.
P
Katika Ubora wakeNabii Lema🤣
😂😂😂Hiyo posture yake inaonekana kapoteza confidence.. . Hapo ukute anaelekezwa na kupewa maagizo na maonyo.. 🤣 🤣
January ni lini alikuwa juu??Yaani mnavyozidi kumchukia ndivyo atazidi kuwa Juu..
Kwani Lema yeye ni nani hasa Hadi ajitwalie mamlaka ya kuhukumu? Atashushwa yeye,anajikutaga special sana huyo.
Kupiga deal ni sifa pia!january anatakiwa kujua kuwa anabebwa sana lkn kichwani sio mzuri kabisa.
Hana kitu cha kujisifia kuwa amekifanya zaidi ya kuwa 'mpiga deal'
Wakufanya hivyo Nani huyu January ebu tuacheni vitisho jamaniHuyu atakuwa amechoka na maisha, anataka kui test sumu kwa kuionja!. Sasa hivi tutamsahau!.
P
Unabii waUwe na subira!
Maonyo ya Siku hizi ni hatari na nusu Bwashee!
Your not serious yanii Lema kupiga picha na January na kwenyewe kunaitaji jitihada??Mimi sio team January, ila ninakemea kitendo cha Lema kwenda msibani na kufanya jitihada zote ili apigwe picha akiwa na January ili baadae aje amseme vibaya kwenye mitanda
Hakika asali ilikuwa inagombewa na imewagombanisha hahahahah
Atapata Ubunge wa Nusu mkateLema hana chochote kipya sasa hivi.Anazidi kusahaulika.Na hata ubunge sidhani kama atapata tena.