Lema: January Makamba, Wewe ni waziri siyo first born wa Rais Samia

Lema: January Makamba, Wewe ni waziri siyo first born wa Rais Samia

Mbona umekwazika sana, Kunani?
Linapokuja issue yoyote ya chadema, huwa anakuwa irritated to the very sensitive nerve very negatively! Chuki ambayo ni rooted! Wewe ni CCM lakini upinzani wako kwa chadema ni wa siasa na si vinginevyo. Pascal Mayalla ana inborn chuki. Hii siyo sawa, akipata madaraka atafanya ya magufuli.
 
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema anesema hivi karibuni atatoa Onyo kali kwa January Makamba

Lema akiwa amepost picha aliyopiga Yeye, January Makamba na Nape Nnauye wakijadili jambo msibani kwa Membe amesema January ni Waziri siyo First born wa SSH hivyo kiburi chake kitashushwa

Lema ametoa angalizo hili kupitia ukurasa wake wa twitter

Hatari na nusu!

=========

Lema ni mmoja kati ya watu wanaotumia jicho la tatu kwa hiyo inawezekana
 
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema anesema hivi karibuni atatoa Onyo kali kwa January Makamba

Lema akiwa amepost picha aliyopiga Yeye, January Makamba na Nape Nnauye wakijadili jambo msibani kwa Membe amesema January ni Waziri siyo First born wa SSH hivyo kiburi chake kitashushwa

Lema ametoa angalizo hili kupitia ukurasa wake wa twitter

Hatari na nusu!

=========

Kanyimwa asali?
 
Lema si mwema baba na Futa kwenye Mkeka
B4z5jrdIAAI8Lft.jpg
 
Yaani mnavyozidi kumchukia ndivyo atazidi kuwa Juu..
Kwani Lema yeye ni nani hasa Hadi ajitwalie mamlaka ya kuhukumu? Atashushwa yeye,anajikutaga special sana huyo.
Ni kweli tulimchukia Membe,tena sana, kwa sababu alimfanyia hila Magufuli,lakini pamoja na hila zake, yuko wapi leo?Ogopa sana maneno na machozi ya watu wanyonge wanaolia kwa haki,Mungu anayajibu kwa wakati.
 
Back
Top Bottom