johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #81
Mbona umekwazika sana, Kunani?Exactly, kama kuna mtu wa hovyo ni huyu Pascal Mayalla sijui kama huwa anafikiri kama msomi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona umekwazika sana, Kunani?Exactly, kama kuna mtu wa hovyo ni huyu Pascal Mayalla sijui kama huwa anafikiri kama msomi
Linapokuja issue yoyote ya chadema, huwa anakuwa irritated to the very sensitive nerve very negatively! Chuki ambayo ni rooted! Wewe ni CCM lakini upinzani wako kwa chadema ni wa siasa na si vinginevyo. Pascal Mayalla ana inborn chuki. Hii siyo sawa, akipata madaraka atafanya ya magufuli.Mbona umekwazika sana, Kunani?
Lema ni mmoja kati ya watu wanaotumia jicho la tatu kwa hiyo inawezekanaMwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema anesema hivi karibuni atatoa Onyo kali kwa January Makamba
Lema akiwa amepost picha aliyopiga Yeye, January Makamba na Nape Nnauye wakijadili jambo msibani kwa Membe amesema January ni Waziri siyo First born wa SSH hivyo kiburi chake kitashushwa
Lema ametoa angalizo hili kupitia ukurasa wake wa twitter
Hatari na nusu!
=========
Pascal Mayala huwa anadhani kupitia chadema huenda iko siku akatoboa serikalini... Anaandika ujinga asijue chadema wanaweza kuanza na yyExactly, kama kuna mtu wa hovyo ni huyu Pascal Mayalla sijui kama huwa anafikiri kama msomi
Kwani na wewe ni mdudu ganiYaani mnavyozidi kumchukia ndivyo atazidi kuwa Juu..
Kwani Lema yeye ni nani hasa Hadi ajitwalie mamlaka ya kuhukumu? Atashushwa yeye,anajikutaga special sana huyo.
Yaani mnavyozidi kumchukia ndivyo atazidi kuwa Juu..
Kwani Lema yeye ni nani hasa Hadi ajitwalie mamlaka ya kuhukumu? Atashushwa yeye,anajikutaga special sana huyo.
Kanyimwa asali?Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema anesema hivi karibuni atatoa Onyo kali kwa January Makamba
Lema akiwa amepost picha aliyopiga Yeye, January Makamba na Nape Nnauye wakijadili jambo msibani kwa Membe amesema January ni Waziri siyo First born wa SSH hivyo kiburi chake kitashushwa
Lema ametoa angalizo hili kupitia ukurasa wake wa twitter
Hatari na nusu!
=========
Exactly anadhani kwa kuonesha kuwa anaichukia chadema, upinzani for that matter, Samia atamuopoa kutoka jalalani aliko! ,Pascal Mayala huwa anadhani kupitia chadema huenda iko siku akatoboa serikalini... Anaandika ujinga asijue chadema wanaweza kuanza na yy
😀😀😀Pascal Mayala huwa anadhani kupitia chadema huenda iko siku akatoboa serikalini... Anaandika ujinga asijue chadema wanaweza kuanza na yy
Ni kweli tulimchukia Membe,tena sana, kwa sababu alimfanyia hila Magufuli,lakini pamoja na hila zake, yuko wapi leo?Ogopa sana maneno na machozi ya watu wanyonge wanaolia kwa haki,Mungu anayajibu kwa wakati.Yaani mnavyozidi kumchukia ndivyo atazidi kuwa Juu..
Kwani Lema yeye ni nani hasa Hadi ajitwalie mamlaka ya kuhukumu? Atashushwa yeye,anajikutaga special sana huyo.
Huyu mzee Mgosi Suti yake ni hiyo Hiyo?Lema si mwema baba na Futa kwenye Mkeka
View attachment 2622477
tulia tuombe uzimaLema ni chongo wa kisiasa! Jicho lake la pili labda ni lile tobo la kutolea uchafu, ila nina uhakia wa 💯% kuwa, hana jicho la tatu.
Ni mropokaji flani tu….
Wewe ni mtu mjinga na mpunbavu. Acha kuwaabudu kina-January..Huyu atakuwa amechoka na maisha, anataka kui test sumu kwa kuionja! Sasa hivi tutamsahau!
P
Yaani hapo unaongea kana kwamba wewe hutokufa na unapendwa sana 🤣🤣🤣🤣🤣Tulimchukia Membe,yuko wapi le😵gopa sana maneno na machozi ya watu wanaolia kwa haki.
Asifikiri ni ccm tu ndo wajuvi wa hiyo kitu ..Mbona unamtisha P?
Anajiandaa kutunga uzushiLema anasubiri nini kutoa hilo onyo? kama Makamba amekosea amuweke sawa mapema, sioni sababu ya maandalizi.
Wewe utaenda wapi?Yes, kama Magufuli tulivyomchukia alikwenda juu kabisa mawinguni
Sasa hivi tutamsahau![emoji3064][emoji848][emoji2827] Kumbe kutishiana uhai bado kupoHuyu atakuwa amechoka na maisha, anataka kui test sumu kwa kuionja! Sasa hivi tutamsahau!
P