Kimalingano
JF-Expert Member
- Mar 27, 2023
- 709
- 919
we're getting very close ,2 more minutes!!Huyu atakuwa amechoka na maisha, anataka kui test sumu kwa kuionja! Sasa hivi tutamsahau!
P
Hapo jafo umemsingizia !!Makamba, Jafo, Mchengerwa, Aweso, Ummy, Mwigulu, Mbarawa na Nape ni watoto wa Rais na siyo mawaziri
Sorry Unamanisha Nini?Huyu atakuwa amechoka na maisha, anataka kui test sumu kwa kuionja! Sasa hivi tutamsahau!
P
Na nyie huko Bumbuli mumekosa mtu wa maana miaka 15 mnachagua hilo tutusa la kihaya.Anashindwa kumlaumu mama anayemdekeza mtoto anakalia kumlaumu mtoto.
Alichodai Lema ni kuwa January anajiona kama vile yeye ni First born wa Maza.Yaani mnavyozidi kumchukia ndivyo atazidi kuwa Juu..
Kwani Lema yeye ni nani hasa Hadi ajitwalie mamlaka ya kuhukumu? Atashushwa yeye,anajikutaga special sana huyo.
Kwa hiyo anataka ajione yeye Lema au?Alichodai Lema ni kuwa January anajiona kama vile yeye ni First born wa Maza.
Swali ni..... Kweli ana si kweli?
MsambaaNa nyie huko Bumbuli mumekosa mtu wa maana miaka 15 mnachagua hilo tutusa la kihaya.
Usicheze na mtu wa Mungu (Yeremia 1:19).Yaani mnavyozidi kumchukia ndivyo atazidi kuwa Juu..
Kwani Lema yeye ni nani hasa Hadi ajitwalie mamlaka ya kuhukumu? Atashushwa yeye,anajikutaga special sana huyo.
Pumbafu wewe nani utishie watu? Utatishia wengine si watu wa Mungu kama LemaMa
Maneno mazito haya
hawa jamaa ni wachokozi sana ni asili yao CDMHuyu atakuwa amechoka na maisha, anataka kui test sumu kwa kuionja! Sasa hivi tutamsahau!
P
Mkuu matusi ya nini?Pumbafu wewe nani utishie watu? Utatishia wengine si watu wa Mungu kama Lema
Labda anataka kwenda Ngende kule Lindi, au Mlingotini (Pwani) kwanza halafu ndiyo akitoka huko anatoa hilo onyo. Kwani unadhani lema hajui kuwa januari ni Mtanga?Lema anasubiri nini kutoa hilo onyo? kama Makamba amekosea amuweke sawa mapema, sioni sababu ya maandalizi.
Tanga ilikuwaga enzi za Mandondo siyo leo!Labda anataka kwenda Ngende kule Lindi, au Mlingotini (Pwani) kwanza halafu ndiyo akitoka huko anatoa hilo onyo. Kwani unadhani lema hajui kuwa januari ni Mtanga?
Basi Ngende na Mlingotini kwa kwenda mbele!Tanga ilikuwaga enzi za Mandondo siyo leo!
Muulize SabayaYaani mnavyozidi kumchukia ndivyo atazidi kuwa Juu..
Kwani Lema yeye ni nani hasa Hadi ajitwalie mamlaka ya kuhukumu? Atashushwa yeye,anajikutaga special sana huyo.
Lakini mkumbuke kufukia mzoga ayo mambo ya kushushana ni yenu sisi hayatuhusuMwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema anesema hivi karibuni atatoa Onyo kali kwa January Makamba
Lema akiwa amepost picha aliyopiga Yeye, January Makamba na Nape Nnauye wakijadili jambo msibani kwa Membe amesema January ni Waziri siyo First born wa SSH hivyo kiburi chake kitashushwa
Lema ametoa angalizo hili kupitia ukurasa wake wa twitter
Hatari na nusu!
=========