Lema kamkimbia Makonda Arusha?

Mr. Shemale sorry...

Hata kama kupost ni free humu JF basi Mkuu ungekua hata unafikiria kidooogo ndio unabandika bandiko.
 
Amekwenda kupambana na Mbowe,amemaliza,sasa anarudi kuanza KESI na Makonda
 
Baada ya wewe kuolewa u adhani binadamu wote wanaolewa? Mnaolewa ninyi wanaume punguani. Usidhani mpo wengi, ni ninyi wachache tu mliopungukiwa akili.
Utakuwa upo sahihi ikiwa tu na id malaria2 ni ya kwako

Tangu trh 22 mleta hoja amekuwa na ugonjwa wa kisonona kilichosababishwa na ushindi wa TAL . Kwa siku anaanzisha thread zaidi ya kumi ambazo zote zinamlengo hasi kwa TAL na kwa wale wote walikuwa timu yake ya ushindi
 
Yupo Dar Kwa shughuli za kichama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…