Tetesi: Lema kutimkia CCM

Tetesi: Lema kutimkia CCM

kupokelewa muda wowote tangu sasa, maandalizi yote muhimu yamekamilika...

maombi yake ya kujiunga CCM yalipokelewa mda mrefu sana tu, ni taratibu za kichama tu ndio zilikua zikisubiriwa zikamilike na apokelewe rasmi...

ataambatana na viongozi waandamizi wenzie kadhaa kutoka kanda ya kaskazini na kuna moja kutoka kanda ya nyasa, na wengine wawili ni wa chama kingine tofauti na chadema
mnyetishaji alidokeza...

kilicho chochea uamuzi huo ni mgawanyiko ndani ya Chadema, inayochochewa na viongozi wakuu kutokubaliana katika baadhi ya mambo ya ndani ya chama, hususani nafasi ya uenyekiti wa chama Taifa, rushwa, upendeleo na matumizi mabaya ya fedha kwenye chaguzi wa kanda, wabunge 19 wa COVID-19, na mgombea urasi kupitia chadema 2025....

baada ya kutathimini hali hiyo ya mvutano na kuona kwamba haitakua na mwisho mwema, lema alianza kujiweka pembeni na baadae akajitenga kabisa na shughuli za chama pamoja na uongozi wa juu chadema, na ndipo sasa baada ya kutafakari kwa kina, uamuzi wa kujiunga CCM ukaibuka na kupewa kipaumbele na umuhimu wa kipekee, na akaamua kuchukua hatua...

mnyetishaji alidokeza na kuendelea kueleza kwamba...

ndipo kamanda lema akaamua kuandika barua kupitia mwandamizi moja wa CCM taifa, na kwa kupitia tawi la CCM la karibu aliloko Lema, alimshauri awasilishe maombi yake huko, kwa mujibu wa kanuni, taratibu na sheria za chama kupokea wanachama wapya, kwa ahadi kwamba muandamizi huyo atapushi jambo lake na kumuandalia mapokezi ya heshima ndugu lema....

muda utaongea zaidi,
lema atalamba dume ccm kama wengine au atalamba garasa? 🐒
Dhambi hiyo ya usaliti kwa wafuasi Wake ataitubu wapi na lini? Je atasema Chadema mbaya? Kwan hakuna vyama vingine lazima iwe CCM? Ataunga mkono kuuzwa bandari? Siamini kabisa. Maneno yake aliyokuwa anayasema kuhusu CCM atayafuta? Katiba nayo itakuwa imebadilika huko anakokwenda? Tume huru je? Nina maswali kibao .............. Najua ana akili timamu hawezi
 
kupokelewa muda wowote tangu sasa, maandalizi yote muhimu yamekamilika...

maombi yake ya kujiunga CCM yalipokelewa mda mrefu sana tu, ni taratibu za kichama tu ndio zilikua zikisubiriwa zikamilike na apokelewe rasmi...

ataambatana na viongozi waandamizi wenzie kadhaa kutoka kanda ya kaskazini na kuna moja kutoka kanda ya nyasa, na wengine wawili ni wa chama kingine tofauti na chadema
mnyetishaji alidokeza...

kilicho chochea uamuzi huo ni mgawanyiko ndani ya Chadema, inayochochewa na viongozi wakuu kutokubaliana katika baadhi ya mambo ya ndani ya chama, hususani nafasi ya uenyekiti wa chama Taifa, maridhiano na CCM, rushwa, upendeleo na matumizi mabaya ya fedha kwenye chaguzi wa kanda, wabunge 19 wa COVID-19, na mgombea urasi kupitia chadema 2025....

baada ya kutathimini hali hiyo ya mvutano na kuona kwamba haitakua na mwisho mwema, lema alianza kujiweka pembeni na baadae akajitenga kabisa na shughuli za chama pamoja na uongozi wa juu chadema, na ndipo sasa baada ya kutafakari kwa kina, uamuzi wa kujiunga CCM ukaibuka na kupewa kipaumbele na umuhimu wa kipekee, na akaamua kuchukua hatua...

mnyetishaji alidokeza na kuendelea kueleza kwamba...

ndipo kamanda lema akaamua kuandika barua kupitia mwandamizi moja wa CCM taifa, na kwa kupitia tawi la CCM la karibu aliloko Lema, alimshauri awasilishe maombi yake huko, kwa mujibu wa kanuni, taratibu na sheria za chama kupokea wanachama wapya, kwa ahadi kwamba muandamizi huyo atapushi jambo lake na kumuandalia mapokezi ya heshima ndugu lema kwa platform ya kitaifa kupitia tawi hilo....

muda utaongea zaidi,
lema atalamba dume ccm kama wengine au atalamba garasa? 🐒
Lemma hakukubaliana na maridhiano na CCM halafu yeye anahamia huko CCM,what a contradiction!!!
 
Dhambi hiyo ya usaliti kwa wafuasi Wake ataitubu wapi na lini? Je atasema Chadema mbaya? Kwan hakuna vyama vingine lazima iwe CCM? Ataunga mkono kuuzwa bandari? Siamini kabisa. Maneno yake aliyokuwa anayasema kuhusu CCM atayafuta? Katiba nayo itakuwa imebadilika huko anakokwenda? Tume huru je? Nina maswali kibao .............. Najua ana akili timamu hawezi
Atapokewa na Bodaboda?
 
kupokelewa muda wowote tangu sasa, maandalizi yote muhimu yamekamilika...

maombi yake ya kujiunga CCM yalipokelewa mda mrefu sana tu, ni taratibu za kichama tu ndio zilikua zikisubiriwa zikamilike na apokelewe rasmi...

ataambatana na viongozi waandamizi wenzie kadhaa kutoka kanda ya kaskazini na kuna moja kutoka kanda ya nyasa, na wengine wawili ni wa chama kingine tofauti na chadema
mnyetishaji alidokeza...

kilicho chochea uamuzi huo ni mgawanyiko ndani ya Chadema, inayochochewa na viongozi wakuu kutokubaliana katika baadhi ya mambo ya ndani ya chama, hususani nafasi ya uenyekiti wa chama Taifa, rushwa, upendeleo na matumizi mabaya ya fedha kwenye chaguzi wa kanda, wabunge 19 wa COVID-19, na mgombea urasi kupitia chadema 2025....

baada ya kutathimini hali hiyo ya mvutano na kuona kwamba haitakua na mwisho mwema, lema alianza kujiweka pembeni na baadae akajitenga kabisa na shughuli za chama pamoja na uongozi wa juu chadema, na ndipo sasa baada ya kutafakari kwa kina, uamuzi wa kujiunga CCM ukaibuka na kupewa kipaumbele na umuhimu wa kipekee, na akaamua kuchukua hatua...

mnyetishaji alidokeza na kuendelea kueleza kwamba...

ndipo kamanda lema akaamua kuandika barua kupitia mwandamizi moja wa CCM taifa, na kwa kupitia tawi la CCM la karibu aliloko Lema, alimshauri awasilishe maombi yake huko, kwa mujibu wa kanuni, taratibu na sheria za chama kupokea wanachama wapya, kwa ahadi kwamba muandamizi huyo atapushi jambo lake na kumuandalia mapokezi ya heshima ndugu lema....

muda utaongea zaidi,
lema atalamba dume ccm kama wengine au atalamba garasa? 🐒
Kuhusu CHADEMA ninaamini taarifa anazotoa Erythrocyte na si vinginevyo
 
kupokelewa muda wowote tangu sasa, maandalizi yote muhimu yamekamilika...

maombi yake ya kujiunga CCM yalipokelewa mda mrefu sana tu, ni taratibu za kichama tu ndio zilikua zikisubiriwa zikamilike na apokelewe rasmi...

ataambatana na viongozi waandamizi wenzie kadhaa kutoka kanda ya kaskazini na kuna moja kutoka kanda ya nyasa, na wengine wawili ni wa chama kingine tofauti na chadema
mnyetishaji alidokeza...

kilicho chochea uamuzi huo ni mgawanyiko ndani ya Chadema, inayochochewa na viongozi wakuu kutokubaliana katika baadhi ya mambo ya ndani ya chama, hususani nafasi ya uenyekiti wa chama Taifa, maridhiano na CCM, rushwa, upendeleo na matumizi mabaya ya fedha kwenye chaguzi wa kanda, wabunge 19 wa COVID-19, na mgombea urasi kupitia chadema 2025....

baada ya kutathimini hali hiyo ya mvutano na kuona kwamba haitakua na mwisho mwema, lema alianza kujiweka pembeni na baadae akajitenga kabisa na shughuli za chama pamoja na uongozi wa juu chadema, na ndipo sasa baada ya kutafakari kwa kina, uamuzi wa kujiunga CCM ukaibuka na kupewa kipaumbele na umuhimu wa kipekee, na akaamua kuchukua hatua...

mnyetishaji alidokeza na kuendelea kueleza kwamba...

ndipo kamanda lema akaamua kuandika barua kupitia mwandamizi moja wa CCM taifa, na kwa kupitia tawi la CCM la karibu aliloko Lema, alimshauri awasilishe maombi yake huko, kwa mujibu wa kanuni, taratibu na sheria za chama kupokea wanachama wapya, kwa ahadi kwamba muandamizi huyo atapushi jambo lake na kumuandalia mapokezi ya heshima ndugu lema kwa platform ya kitaifa kupitia tawi hilo....

muda utaongea zaidi,
lema atalamba dume ccm kama wengine au atalamba garasa? 🐒
Propaganda za kijinga sana tena duni mno! Tangu uingie JF wewe ni tetesi tu, hivi hujawahi kuwa na habari zingine?

Hakika ccm ina vijana Wajinga sana!

Sasa hapa unatafuta Posho au unataka "LIKE" za jf?

Screenshot_2024-06-16-17-19-24-1.png
 
kupokelewa muda wowote tangu sasa, maandalizi yote muhimu yamekamilika...

maombi yake ya kujiunga CCM yalipokelewa mda mrefu sana tu, ni taratibu za kichama tu ndio zilikua zikisubiriwa zikamilike na apokelewe rasmi...

ataambatana na viongozi waandamizi wenzie kadhaa kutoka kanda ya kaskazini na kuna moja kutoka kanda ya nyasa, na wengine wawili ni wa chama kingine tofauti na chadema
mnyetishaji alidokeza...

kilicho chochea uamuzi huo ni mgawanyiko ndani ya Chadema, inayochochewa na viongozi wakuu kutokubaliana katika baadhi ya mambo ya ndani ya chama, hususani nafasi ya uenyekiti wa chama Taifa, maridhiano na CCM, rushwa, upendeleo na matumizi mabaya ya fedha kwenye chaguzi wa kanda, wabunge 19 wa COVID-19, na mgombea urasi kupitia chadema 2025....

baada ya kutathimini hali hiyo ya mvutano na kuona kwamba haitakua na mwisho mwema, lema alianza kujiweka pembeni na baadae akajitenga kabisa na shughuli za chama pamoja na uongozi wa juu chadema, na ndipo sasa baada ya kutafakari kwa kina, uamuzi wa kujiunga CCM ukaibuka na kupewa kipaumbele na umuhimu wa kipekee, na akaamua kuchukua hatua...

mnyetishaji alidokeza na kuendelea kueleza kwamba...

ndipo kamanda lema akaamua kuandika barua kupitia mwandamizi moja wa CCM taifa, na kwa kupitia tawi la CCM la karibu aliloko Lema, alimshauri awasilishe maombi yake huko, kwa mujibu wa kanuni, taratibu na sheria za chama kupokea wanachama wapya, kwa ahadi kwamba muandamizi huyo atapushi jambo lake na kumuandalia mapokezi ya heshima ndugu lema kwa platform ya kitaifa kupitia tawi hilo....

muda utaongea zaidi,
lema atalamba dume ccm kama wengine au atalamba garasa? 🐒
Hii itakuwa ndoto ya saa sita mchana🤣🤣
 
Maombi yake ya kujiunga CCM yalipokelewa muda mrefu sana tu, ni taratibu za kichama tu ndio zilikuwa zikisubiriwa zikamilike na apokelewe rasmi. Hapa sisi wasomi tuliokuwa huru kiakili ndio tunapata shaka. Lema aombe kujiunga usiku basi alfajiri mapema angalipokelewa tena kwa media zote kuwa live.
Wangempokea haraka kuogopa asije kubadili mawazo.
 
kupokelewa muda wowote tangu sasa, maandalizi yote muhimu yamekamilika...

maombi yake ya kujiunga CCM yalipokelewa mda mrefu sana tu, ni taratibu za kichama tu ndio zilikua zikisubiriwa zikamilike na apokelewe rasmi...

ataambatana na viongozi waandamizi wenzie kadhaa kutoka kanda ya kaskazini na kuna moja kutoka kanda ya nyasa, na wengine wawili ni wa chama kingine tofauti na chadema
mnyetishaji alidokeza...

kilicho chochea uamuzi huo ni mgawanyiko ndani ya Chadema, inayochochewa na viongozi wakuu kutokubaliana katika baadhi ya mambo ya ndani ya chama, hususani nafasi ya uenyekiti wa chama Taifa, maridhiano na CCM, rushwa, upendeleo na matumizi mabaya ya fedha kwenye chaguzi wa kanda, wabunge 19 wa COVID-19, na mgombea urasi kupitia chadema 2025....

baada ya kutathimini hali hiyo ya mvutano na kuona kwamba haitakua na mwisho mwema, lema alianza kujiweka pembeni na baadae akajitenga kabisa na shughuli za chama pamoja na uongozi wa juu chadema, na ndipo sasa baada ya kutafakari kwa kina, uamuzi wa kujiunga CCM ukaibuka na kupewa kipaumbele na umuhimu wa kipekee, na akaamua kuchukua hatua...

mnyetishaji alidokeza na kuendelea kueleza kwamba...

ndipo kamanda lema akaamua kuandika barua kupitia mwandamizi moja wa CCM taifa, na kwa kupitia tawi la CCM la karibu aliloko Lema, alimshauri awasilishe maombi yake huko, kwa mujibu wa kanuni, taratibu na sheria za chama kupokea wanachama wapya, kwa ahadi kwamba muandamizi huyo atapushi jambo lake na kumuandalia mapokezi ya heshima ndugu lema kwa platform ya kitaifa kupitia tawi hilo....

muda utaongea zaidi,
lema atalamba dume ccm kama wengine au atalamba garasa? 🐒
Ile ndoto ya LEMA iliyopelekea akaenda KISONGO ninyi wana CCM mnaichukuiliaje hasa baada ya kutimia kama alivyo tabiri kupitia ndoto ile?

Je,mnamchukua kama mtabiri ama kama mwanachama?

Je,mtakuwa mnaachiana maji mezani au hofu ya Kumu-mangula kila mmoja wenu itatawala?
 
Back
Top Bottom