Tetesi: Lema kutimkia CCM

uzur tusha expience uzi ukiletwa na watu kama Tlaatlaah hakuna jipya!!
 
Si la kushangaza alikuwa rasta, akanyoa, dalali wa magari, nccr mageuzi kwenda cdm, kwenda ccm inawezekana pia
 
Mnyeti we mnyeti mwenye nyeti zenye M Pox acha kulala na nyati utaangamiza taifa!
 
Huyo Lema ameshiba miguu ya kuku, hakawii kurukia Canada mambo yakimfika shingoni.
Akae huko huko!
 
Mkuu siasa inalipa siku hizi, mkifikiana bei tu mnafanya biashara.

Watu wameacha familia zao ughaibuni wao wamerudi,familia zitaishi vipi kule?
kwahivyo unataka kusemaje kwa mfano, hebu nenda kwenye point moja kwa moja usiogope 🀣
 
kwahivyo unataka kusemaje kwa mfano, hebu nenda kwenye point moja kwa moja usiogope 🀣
Nataka kusema mkuu.

Siasa imekuwa biashara na kila mwanasiasa ana price tag yake, ukiona wana kuwa active mitandaoni siyo kupigania maslahi ya wananchi hapo wanaji brand kama biashara nyingine.
 
hii haiwezi kutokea huyu mhuni apokelewe ccm? akipokelewa tunapishana yeye anaingia mimi natoka ccm
 
Wewe hunaga tetesi ni majungu tu
 
hii haiwezi kutokea huyu mhuni apokelewe ccm? akipokelewa tunapishana yeye anaingia mimi natoka ccm
Mwalimu Nyerere aliwahi kuisema CCM, na hivi majuzi Makamu mwenyekiti wa Chadema Lisu kasema kwamba chadema si mama yake anaweza kuondoka,

who is you and Lema kutoka chama kimoja na kuhamia kingine, politically speaking? πŸ’
 
Kwahiyo mleta mada na WanaCCM wenzake watabubujikwa na Uharo Lema kuhamia huko, wanajua atapewa uongozi wa juu.πŸ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…