johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema mh Godbless Lema amesema maisha yamekuwa magumu sana kiasi kwamba kula Wali Nyama imekuwa ni jambo la kuvizia
Lema amesema Serikali iwaangalie kwa jicho la Tatu Wananchi kwani Leo hii kula Wali Nyama ni hadi Uvizie buffet kwenye Misiba ya Matajiri
Lema amesema Serikali iwaangalie kwa jicho la Tatu Wananchi kwani Leo hii kula Wali Nyama ni hadi Uvizie buffet kwenye Misiba ya Matajiri