900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
Hawakuzaliwa kwa ajili ya chadema, kuna nguvu mpya inakuja chadema bado imara sanaChama tunapoteza watu makini so sad
soon anaenda kuyafutia machozi CCM πMwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema amesema ameumia sana kuona mchungaji Msigwa anahamia CCM
Lema ametoa machozi akiwa ukurasani X
soon anaenda kuyafutia machozi CCM πMwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema amesema ameumia sana kuona mchungaji Msigwa anahamia CCM
Lema ametoa machozi akiwa ukurasani X
Mbowe ajitafakari Msigwa amefanya maamuzi sahihi Msigwa amefanyiwa hujuma sana kwenye uchaguzi wa Kanda ya nyasa Msigwa kama angekuwa pandikizi angeshakuwa ameondoka kipindi Cha manunuzi ya Polepole na kupewa cheoMsigwa alikataa ccm wakati wa magu because of his respect to chagadomozβ¦. Hakujua hiyo ni family business
chama cha mbowe kile hata wakubali wakatae huo ndio ukweli, chama kilikuwa cuf ingawa lipumba alikibomoa , now chama bora chenye kubeba sura ya wananchi ni ccm tu ikifuatiwa na actMwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema amesema ameumia sana kuona mchungaji Msigwa anahamia CCM
Lema ametoa machozi akiwa ukurasani X
Mkiambiwa Mbowe ni tatizo kila siku hamtaki kuelewaChama tunapoteza watu makini so sad
NI kuhamisha magoli tu, unafikiri ndani ya CCM ukiondoa hela kuna demokrasia walau chembe?Msigwa alikataa ccm wakati wa magu because of his respect to chagadomozβ¦. Hakujua hiyo ni family business
Aangalie tu asiloanishe kurasa zetu za ex zikachanika. Tuna kaz nazoLema ametoa machozi akiwa ukurasani X
Siyo chama cha ajabu sema kiongozi wa ajabu.Sasa kitakuwa chama cha ajabu sana Yani ukikosa uongozi kwenye chama chako ndio ukimbie Kuna namna msigwa asituone sisi watoto wadogo
Yaani anajutaMsigwa alikataa ccm wakati wa magu because of his respect to chagadomozβ¦. Hakujua hiyo ni family business
Lazima aungane na nyumbu wengine kumshambulia msigwa kwa kauli za hovyo.Kwani Erythrocyte anasemaje?π
AiseeJiwe alimalizaga hii biashara mapema.saana, lilikiwa ni suala la muda tu.
Kosa uongozi kihalali,siyo unazidiwa kura moja na mgombea wa mwenyekiti aliye dhidi yakoSasa kitakuwa chama cha ajabu sana Yani ukikosa uongozi kwenye chama chako ndio ukimbie Kuna namna msigwa asituone sisi watoto wadogo
Chadema ni TAASISI wengi wameondoka kuanzia Kaburu,Kafulila,Kitila,Gekur, Pendo, Zitto etc.....lakini kinadunda tu,ni chuo kizuri cha kupika wana siasa kwa karne hiiKamuulkze Jiwe, kwa sisi wenye D mbili tunajua biashara ilisha ishaga kitambo saana enzi zake.
Lilikiwa suala la muda gani kitu kichomoke.
Na yeye akihama watakuwepo wa kumlilia ποΈποΈποΈποΈποΈMwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema amesema ameumia sana kuona mchungaji Msigwa anahamia CCM
Lema ametoa machozi akiwa ukurasani X
Hakika. Chadema ni chuo cha CCM kinachoendeshwa kwa mgongo wa upinzani malipo yao ruzuku. CCM nimewainulia mikono ποΈποΈποΈποΈChadema ni TAASISI wengi wameondoka kuanzia Kaburu,Kafulila,Kitila,Gekur, Pendo, Zitto etc.....lakini kinadunda tu,ni chuo kizuri cha kupika wana siasa kwa karne hii
Machozi? ........ usimwamini mwanasiasaMwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema amesema ameumia sana kuona mchungaji Msigwa anahamia CCM
Lema ametoa machozi akiwa ukurasani X