Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani kama ana Muda wa ziada kufanya mambo ya Kijinga kama hayo Urais ni kazi ngumu sana.Bahati nzuri Sinzonje anamfuatilia ndio maana anamziba mdomo kwa kumuweka ndani
Lema fanya yako..Jimboni hakuna maji ya uhakika wala umeme!Miundo mbinu ya shida na vijana wengi hawana ajira!Ila kila siku una deal unarukia yasiyokuhusu..Fanya yako na shughulikia kero za wananchi wako!Period
Hata kama wakikumata, watakamata mwili na sio mawazo na fikra zako, fikra na ukweli vitabaki daima hata pale utakaporejea kwa muumba wakonatumaini Mh Rais sitakamatwa leo kwa ujumbe huu mfupi .
Sidhani kama ana Muda wa ziada kufanya mambo ya Kijinga kama hayo Urais ni kazi ngumu sana.
Mna kila kitu mpaka madawa ya kulevya..Hongereni😀😀😀😀😀😀😀weee hebu koma, Arusha sio Koromije, Arusha tuna kila kitu cha maana kasoro rais tu.
Hawawezi Kumkamata kwa sababu hajaropokaHata kama wakikumata, watakamata mwili na sio mawazo na fikra zako, fikra na ukweli vitabaki daima hata pale utakaporejea kwa muumba wako
Ila ana muda wa kuangalia clouds TV daily na kupiga simu mara kwa mara na bila kusahau wale wasela wa kipindi cha shilawadu?! Halafu anatuomba tupige magoti tumwombee wakati wao wanahubiri chuki na uzandiki?!Sidhani kama ana Muda wa ziada kufanya mambo ya Kijinga kama hayo Urais ni kazi ngumu sana.
Hujajiuliza chuki inatoka wapi? Inatoka kwenye miongozo kama hii.Na upinzani munawajibu wa kuhubiri haya uliyoyasema kwa wanachama wa wapenzi wenu, Chadema mna wanachama na wapenzi wenye chuki kwa serikali na dola kwaujumla. Kila mmoja anamuhitaji wenzake kwa njia moja au nyingine.
Halafu hichi ni kipindi cha kwaresma na jamaa anajiita mroman. Jaman mapdri acheni unafiki mwambieni ukwelUjumbe Muhimu sana. Ni na uhakika watu wake wameuso na kumfikishikia. Binafsi niliogopa sana niliposikia hii kauli kutoka kwa Mh. Rais wa Jamhuri.
Kwetu sisi Roman Catholic,kuwatembelea wafungwa/mahabusu kunaongeza rehema na baraka zaidi. Hapo naona Rais anataka kuwafundisha watu matendo gani ya huruma wafaanye. Mbinguni kila mtu ataenda peke yake. Asitake kuwafanya watu watende dhambi ya chuki kwa maslahi yake binafsi.