abudist
JF-Expert Member
- Oct 25, 2009
- 850
- 781
I wish Magufuli angekua active member wa jf......
Mh. Rais ni active invisible member wa JF ingawaje hachangii maoni. Kumbuka siku aliwaapisha wakurugenzi tarehe 12 July 2016 alisema kwenye mitandao watu walisema huyo 'Luhende' alimchagua kuwa mkurugenzi hana cheti cha master. (Hii tuhuma ilitolewa hapa Jf hivyo JPM aliisoma) Sikiliza hapa:
Lakini toka swala la Daudi Bashite kughushi vyeti kujulikana. Mh Rais sasa anadai eti hasomi habari za mitandao🙂 Alitoa kauli hii hapa chini kwenye hotuba yake ya Mtwara 5th March 2017
"Hata ndugu yako anaweza asikupende, saa zingine hata baba yako au hata mdogo wako anaweza asikupende, huwezi ukapendwa na kila mmoja, hata mitume hawakupendwa na wote na wengine walisulubiwa pamoja na kwamba walifanya mazuri. Kwa hiyo Prof. Muhongo wewe fanyakazi tena usihangaike hata kusoma ile mitandao, mimi sisomagi hiyo mitandao achana nayo watandae huko huko wenyewe wewe chapa kazi" alisisitiza Mhe. Rais Magufuli.
Sababu Mh. Rais anajua akisema anasoma mitandao basi tutajua kama anajua vizuri swala la RC Daudi Bashite ambalo amelifumbia macho mpaka leo.