Tatizo watanzania wengi hawajielewi, pamoja na matatizo yote haya yanayosababishwa na serikali ya ccm bado huendelea kuichagua! Siku bunge letu likiwa na idadi kubwa ya wabunge wa upinzani ndio itakuwa mwisho wa maringo na majivuno ya watawala wa ccm! Hawa wachache kina Esta na Halima wanawapanikisha kina Job kiasi hiki, wangekuwa wengi hakika tungeheshimiana! Wameshatuona wa tz mazoba!
Eti wanasema mataifa mengine ikiwemo na Kenya wanamuomba Baba J akawe rais wao! Huyo hapo Kenya hawezi kuongoza hata kwa wiki 2, wakenya wanajiamini, sio waoga, sio wanafiki na wengi wao wameelimika vya kutosha! yeye hapendi kuongoza watu wa aina hiyo.