Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tundu lisu akitoka hospital atawanyoosha bila ganziHahahahahaha Polisi wetu bhana halafu kesho anatokea Nanihii flani hivi anasema POLITHI HAWATUMIKI KITHIASA; Nyoo macho kama kisiasa. Mniombee jamani
Mgosi usihofu, hata kizazi chetu kikipotea wapenda mageuzi hawatakwisha bali wanazaliwa mapacha mapacha. Mbinu zinazotumika kuutokomeza upinzani wa regime hii ni mbovu kwani ndio zinaujenga kabisa. Juzi nimekaa na vijana wetu walio likizo vyuoni mahali nikawauliza mna maoni gani kuhusu kushambuliwa kwa Lissu? Majibu niliyopata yaliniacha mdomo wazi! Waliosema hivi, mzee Chakaza hivi unadhani nyie kum maliza yule mtetezi wetu ndio mmeshinda? Kwa taarifa yenu sasa ndio mumezalisha Lissu zaidi ya 1000 jee muziki wake mtauweza?Hahahahahaha Polisi wetu bhana halafu kesho anatokea Nanihii flani hivi anasema POLITHI HAWATUMIKI KITHIASA; Nyoo macho kama kisiasa. Mniombee jamani
Wa ngazi za juu ni wa kanda ya ziwa ndio maana wanavunja sheria bila uogaInawezekana polis wengi ni makada wa CCM si kwa manyanyaso haya
Rejea kikao cha ma-IGP wastaafu specifically MAHITA na IGP wa sasa, possibly we can get some hints from withinWanachokifanya polis wetu ni sawa na kufunika shimo la panya kwa kutumia kipande cha nyama
Mshauri wa jeshi la polis kwenye kusimamia sheria kwenye mambo yanayohusu demkrasia ni nani?
Je lengo la jeshi la polis ni kufuta mfumo vya vyama vya siasa kabla ya kubadilisha katiba yetu?
Jeshi la polis linautambua mfumo wa vyama vyingi vya siasa?
Jeshi la polis linatambua kuwa mfumo wa vyama vyingi vya siasa ni halali kikatiba?
Je jeshi la polis linataka kuangamiza vyama vya upinzani kwa sababu viongozi wote wa juu wa jeshi ni ndugu zake rais magufuli,na viongozi wengi serekalini wanatoka kanda ya ziwa kama alivyosema mh tundu lisu?
Mwenye majibu tafadhali?
Hahahaaa awanyofoe "ndeke" zaoTundu lisu akitoka hospital atawanyoosha bila ganzi
Very true MgosingwaMgosi usihofu, hata kizazi chetu kikipotea wapenda mageuzi hawatakwisha bali wanazaliwa mapacha mapacha. Mbinu zinazotumika kuutokomeza upinzani wa regime hii ni mbovu kwani ndio zinaujenga kabisa. Juzi nimekaa na vijana wetu walio likizo vyuoni mahali nikawauliza mna maoni gani kuhusu kushambuliwa kwa Lissu? Majibu niliyopata yaliniacha mdomo wazi! Waliosema hivi, mzee Chakaza hivi unadhani nyie kum maliza yule mtetezi wetu ndio mmeshinda? Kwa taarifa yenu sasa ndio mumezalisha Lissu zaidi ya 1000 jee muziki wake mtauweza?
Nikawajibu jamani mie simo kwa hao watu 'wasiojulikana', nao wakasema ole wao wale wanaoona vijana Tumenyamaza, hatuko kimya bure bali ni kwa vile bado wapo wazee wanaotusemea kiungwana wakishindwa wao kueleweka sisi tutakuja kishenzi.
Hapo ndio sikuelewa wanamaanisha nini, labda wewe mpwa waweza kutafsiri.
Umoja wetu uko hatarini kiwango cha mwisho cha kutokea kwa hali ya hatari
Watu wasiojulikanaWanachokifanya polis wetu ni sawa na kufunika shimo la panya kwa kutumia kipande cha nyama
Mshauri wa jeshi la polis kwenye kusimamia sheria kwenye mambo yanayohusu demkrasia ni nani?
Je lengo la jeshi la polis ni kufuta mfumo vya vyama vya siasa kabla ya kubadilisha katiba yetu?
Jeshi la polis linautambua mfumo wa vyama vyingi vya siasa?
Jeshi la polis linatambua kuwa mfumo wa vyama vyingi vya siasa ni halali kikatiba?
Je jeshi la polis linataka kuangamiza vyama vya upinzani kwa sababu viongozi wote wa juu wa jeshi ni ndugu zake rais magufuli,na viongozi wengi serekalini wanatoka kanda ya ziwa kama alivyosema mh tundu lisu?
Mwenye majibu tafadhali?
Hawajapatikana mpaka leo?Watu wasiojulikana