Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 590
- 1,648
Lema amewaambia waislamu wasitetee mtu sababu ya Ushungi na Kanzu, teteeni mtu sababu ya Haki.
Huku akiwaambia Wakristo wasitetee mtu sababu ya uchungaji bali wamtetee sababu ya haki.
Akisema kuwa wengi wanaleta mambo ya udini sababu hawamjui Mungu, Maandiko wala haki, na kwamba wangekuwa wanajua haki wasingekuwa wanachonganisha watu kwa sababu ya udini.
Lema ameyasema hayo katika mkutano wa kupinga mkataba wa bandari unaofanyika Temeke leo tarehe 23/7/2023.
Huku akiwaambia Wakristo wasitetee mtu sababu ya uchungaji bali wamtetee sababu ya haki.
Akisema kuwa wengi wanaleta mambo ya udini sababu hawamjui Mungu, Maandiko wala haki, na kwamba wangekuwa wanajua haki wasingekuwa wanachonganisha watu kwa sababu ya udini.
Lema ameyasema hayo katika mkutano wa kupinga mkataba wa bandari unaofanyika Temeke leo tarehe 23/7/2023.