Abuu Kauthar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 4,296
- 6,492
Kweli ulitoa ushauri mzur maana sasa hivi ana adabu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu umepatwa na nini? Kimya sana.Magufuli ataishi milele?
Lema ashitakiwe kwa kusema ndoto?
Ni rahisi sana kujua kama ndoto ile ya kimungu au kishetani.
Nimeota maumivu ya watanzania yataisha pale sizonje atakapoondolewa kwa kura au kifo!! kamwambie!! we we()))#$$$$$$$$$$$ wa headWadau heshima kwenu,
Hivi scorpion akisema nimeota nakutoboa macho utajiskiaje? Kwanza scorpion anamwamini mungu, inaweza kuwa ni ganja analopata kabla ya kuingia mtaani lakini ndio inaweza kuwa imani yake.
Inapotokea mtuhumiwa wa vitendo viovu, kwamba kihistoria mtu huyu aliwahi kukamata chuma akakuotea kuwa kazi anairudia, utajiskiaje?
Hiyo ni utangulizi, lakini sema kweli ndoto zote tungekuwa tunaziweka hadharani basi dunia hii isingeishika.
Naiomba mamlaka imchukulie hatua kali ili iwe fundisho, haiwezekani mnaamua tu kumsingizia Mungu tutajuaje kama mnasuka mpango dhidi ya Rais wetu.
Binafsi nasema hapana, enough is enough. This is too much, bado tunamhtaji sana Rais Magufuli, yeye kama miradi yake haiendi basi aiweke ktk mfumo mzuri alipe kodi basi.
Maneno anayoendelea kuyaongea yanatia hofu na lengo lake hasa ni nini,
19/10/2019Wadau heshima kwenu,
Hivi scorpion akisema nimeota nakutoboa macho utajiskiaje? Kwanza scorpion anamwamini mungu, inaweza kuwa ni ganja analopata kabla ya kuingia mtaani lakini ndio inaweza kuwa imani yake.
Inapotokea mtuhumiwa wa vitendo viovu, kwamba kihistoria mtu huyu aliwahi kukamata chuma akakuotea kuwa kazi anairudia, utajiskiaje?
Hiyo ni utangulizi, lakini sema kweli ndoto zote tungekuwa tunaziweka hadharani basi dunia hii isingeishika.
Naiomba mamlaka imchukulie hatua kali ili iwe fundisho, haiwezekani mnaamua tu kumsingizia Mungu tutajuaje kama mnasuka mpango dhidi ya Rais wetu.
Binafsi nasema hapana, enough is enough. This is too much, bado tunamhtaji sana Rais Magufuli, yeye kama miradi yake haiendi basi aiweke ktk mfumo mzuri alipe kodi basi.
Maneno anayoendelea kuyaongea yanatia hofu na lengo lake hasa ni nini,
Duh!Nimeota maumivu ya watanzania yataisha pale sizonje atakapoondolewa kwa kura au kifo!! kamwambie!! we we()))#$$$$$$$$$$$ wa head
Mkuu wewe tuu ndio hujaleta uzi kuhusu hiliYerwwiii
Mungu anaenda kutenda miujizaNimeota maumivu ya watanzania yataisha pale sizonje atakapoondolewa kwa kura au kifo!! kamwambie!! we we()))#$$$$$$$$$$$ wa head
We reversed it,by the name of Jesus Christ.Mungu anaenda kutenda miujiza
[emoji848]Nasikia anasusa chakula huko lupango kwa kisingizio cha kuwa karibu na Mungu. Inawezekana pia Mungu anataka kummaliza kwa njaa maana alisema rais atakufa kabla ya 2020, sasa ataisoma namba
DuhNimeota maumivu ya watanzania yataisha pale sizonje atakapoondolewa kwa kura au kifo!! kamwambie!! we we()))#$$$$$$$$$$$ wa head
[emoji848][emoji848]Lema dawa yake iko namna hii either kupotezwa kimazingara, au kufungwa miaka kadhaa kama kumi , basi, visiwa vyetu vya kizuizi siku hizi vimewamiss watu
Nasikia anasusa chakula huko lupango kwa kisingizio cha kuwa karibu na Mungu. Inawezekana pia Mungu anataka kummaliza kwa njaa maana alisema rais atakufa kabla ya 2020, sasa ataisoma namba