Kijana nape n mjinga sanaLema asema Nape mpumbavu wewe sisi tunaweza kumuiba mkeo na kukaa nae chumbani kwetu, hii imekuja baada ya kauli ya Nape kuhusu ushindi kwenye chaguzi ambapo alisema ushindi unategemea nani anahesabu na nani anatangaza matokeo, zaidi soma hapa - Nape Nnauye: Kauli ya "Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza" ilikuwa ni ya utani
View attachment 3044546
sijawahi kumshusha hadhi nape kama sasa kutokana na kauli ile. sielewi ni kwanini bado anaaminiwa.Lema asema Nape mpumbavu wewe sisi tunaweza kumuiba mkeo na kukaa nae chumbani kwetu, hii imekuja baada ya kauli ya Nape kuhusu ushindi kwenye chaguzi ambapo alisema ushindi unategemea nani anahesabu na nani anatangaza matokeo, zaidi soma hapa - Nape Nnauye: Kauli ya "Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza" ilikuwa ni ya utani
View attachment 3044546
Uko sawa mkuu, nape mpumbavu lema mjinga.Nape na Lema wote wanaUPUMBAVU mwingi kichwani.
Mtu mwenye akili timamu huwezi kujitamba kuwa unaweza kuiba mke wa mtu.
Labda naye anatania kama yule MPUMBAVULema katangaza vita na nepi.
Ila ajue tu mke wa mtu sumu.
Mke wa mtu jambo dogo sana!!Nape na Lema wote wanaUPUMBAVU mwingi kichwani.
Mtu mwenye akili timamu huwezi kujitamba kuwa unaweza kuiba mke wa mtu.
Si mjinga na ameongea lililo kweli.Kwani kuna uongo gani aliousema?Au kwa sababu ni Nape ndiye amesema?Kijana nape n mjinga sana
Kumb tunajisumbua kupig kura aseee