Kawaambia ukwel mnamtukanaKijana nape n mjinga sana
Kumb tunajisumbua kupig kura aseee
Bongo bhana 🤨🤨🤨
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawaambia ukwel mnamtukanaKijana nape n mjinga sana
Kumb tunajisumbua kupig kura aseee
Watajuana hata wakipasuana hatujali.Labda naye anatania kama yule MPUMBAVU
Huenda mtangaza matokeo atakuwa Jecha s.Jecha mwesabuji atakuwa Moses N.N.Lema asema Nape mpumbavu wewe sisi tunaweza kumuiba mkeo na kukaa nae chumbani kwetu, hii imekuja baada ya kauli ya Nape kuhusu ushindi kwenye chaguzi ambapo alisema ushindi unategemea nani anahesabu na nani anatangaza matokeo, zaidi soma hapa - Nape Nnauye: Kauli ya "Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza" ilikuwa ni ya utani
View attachment 3044546
Watamuiba mara ngapi??Hebu muibeni tuone🤣🤣🤣
Mwamba wa kaskaziniLema asema Nape mpumbavu wewe sisi tunaweza kumuiba mkeo na kukaa nae chumbani kwetu, hii imekuja baada ya kauli ya Nape kuhusu ushindi kwenye chaguzi ambapo alisema ushindi unategemea nani anahesabu na nani anatangaza matokeo, zaidi soma hapa - Nape Nnauye: Kauli ya "Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza" ilikuwa ni ya utani
View attachment 3044546
AahaaaaHebu muibeni tuone🤣🤣🤣
wasijawahi kumshusha hadhi nape kama sasa kutokana na kauli ile. sielewi ni kwanini bado anaaminiwa.
Kijana nape n mjinga sana
Kumb tunajisumbua kupig kura aseee
INa maana hadi leo, pamoja na bidii zote za elimu bure, hujui uwiano wa siasa na maisha yako!Watajuana hata wakipasuana hatujali.
Wote hao wanasiasa na hawana faida yeyote.
People's ✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️Lema asema Nape mpumbavu wewe sisi tunaweza kumuiba mkeo na kukaa nae chumbani kwetu, hii imekuja baada ya kauli ya Nape kuhusu ushindi kwenye chaguzi ambapo alisema ushindi unategemea nani anahesabu na nani anatangaza matokeo, zaidi soma hapa - Nape Nnauye: Kauli ya "Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza" ilikuwa ni ya utani
View attachment 3044546