Pre GE2025 Lema: Nape mpumbavu wewe sisi tunaweza kumuiba mkeo na kukaa nae chumbani kwetu

Pre GE2025 Lema: Nape mpumbavu wewe sisi tunaweza kumuiba mkeo na kukaa nae chumbani kwetu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ujumbe umfikie Nape, People's Power!✌️

This time hatutaki mchezo iba kura tunamuiba Mkeo.
 
Tumekosa sisi , tumekosa sana si vizuri kuhusisha mambo yetu watu ambao hayawahusu .

Binafsi nliomba picha na namba ya shemeji yetu - nimekosa sana

Soma hapa



Tulistahili kuwa Banned
 
LEMA HATUMIAGI AKILI , KILA AKIFUNGUA KINYWA ANAROPOKA MITUSI . CHADEMA KAZI MNAYO ..

TUKUTANENI ULINGONI , SERA WAMEISHIWA . CCM MBELE KWA MBELE
 
Mbona Mashangazi waliahidiwa kipigo na Magufuli Kasimu na Nape wakawa wanampigia na makofi?!
 
Watajuana hata wakipasuana hatujali.

Wote hao wanasiasa na hawana faida yeyote.
INa maana hadi leo, pamoja na bidii zote za elimu bure, hujui uwiano wa siasa na maisha yako!
Umeniangusha kama mwana jf
 
Lema should from Mbowe on how to limit his tongue…..! He acts like looter!
 
Back
Top Bottom