Lema: Narudi Tanzania

Na huyo apeleke unafiki wake huko hana umuhimu kwa taifa hili
Kila mtu ana umuhimu kwa taifa hili na kila mmoja ana haki ya kuishi. Magufuli alichofanya kimeifadhaisha nchi yetu, nchi imekuwa ya hovyo. Labda itarudi kama ilivyo, tunahitaji rais anayejali raia wake, anayejali sheria, anayejali katiba nk.
 
Usirudi malaya wewe

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Chupa ni ile ile kichobadilik ni wine tu haha wait and see CCM RANGI YAO KIJANI NA NJANO TU HUWEZI KIWABADIGISHA NGOJA AJE ATAJUA NYUMBANI NI NYUMBNI AU YYE CHITEMO MIMI MASKINI
 
Alikuwa amevuta cha Arusha. Anataka maridhiano kwenye nini, au anataka ajiunge na akina mdee[emoji16][emoji16]
 
Alikimbia madeni alizoea kukopa kwa mgongo wa ubunge ,bora arudi alipe madeni anayodaiwa na benk mbalimbali
 
Hapo ndipo nashangaa unafiki wa wapinzani wa Tanzania, mtu anakimbilia ughaibuni halafu anarudi kuomba kura! Waige mfano wa Bobi Wine. Kwakuwa tunashabikia upuuzi wao tunawasupport ila hawafai
 
Anarudi kama nani sio mbunge ujue aje alipe madeni aliyoyakimbia kwa mgongo wa kutishiwa maisha
 
Ambae hana umuhim ameshaamsha bwashee, amepanda cheo anaenda kuwa kiongozi rasmi wa malaika wa waovu.
Kwanini wewe hutakufa ? Au unaringia uhai huo kujiona wewe ni mwema sana kuwa hai usifurahi kifo cha mwezio wote tutakufa tena bora wenzetu wamepata nafasi ya kutubu pengine wewe nguchiro unaefurahi vifo vya wengine ukakosa nafasi ya kutubu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…