Lema: Narudi Tanzania

Lema: Narudi Tanzania

Tulia kwanza dogo angalia upepo unaendaje!!! Vibaraka bado wana nguvu na kisasi kile kile!! Subiri watumbuliwe na covid make walikuwa karibu sana na marehemu.
 
Huna chembe ya uzalendo Lema. Baki hukohuko. Umeshaosha masufuria mangapi. Baki huko huko. Kama ukirudi nakushauri ukalime kule Nronga Machame
 
Ndo nani uyu tena ..mbona tusha wasahau sisi

SUBIRI KIDOGO
 
Wanafiki hawa na mwenzie Lissu wasifikirie tutasahau kejeli zao, utafika muda wao na wao watapata haki yao.
Ibilisi Mkuu yuko motoni, nyie vishetani vidogo vidogo hamna madhara. Nyie ni kama nyuki wa mashineni.
 
Ww unaumuhimu gani?
Ana umuhimu kwa familia na marafiki na kazi zake. Hivyo ndio hujenga nchi. Nchi ni watu, ni mtu mmoja mmoja ni kama shilingi na fedha. Nchi ni kama fedha na watu ndio shilingi.
 
akitua airport tu, moja kwa moja jela
Aaah wapi mtesi wake kapanda cheo mida hii yupo training jinsi ya kuongoza malaika.Vishetani vidogo vidogo havina madhara hata Mange December nyumbani kumenoga.
 
Back
Top Bottom