katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,124
- 5,745
Anaumuhimu kwa maana haaribu kilichofanywa kwa bidiii.Ww unaumuhimu gani?
Anajali yake na maisha yake Lema hutumia wananchi kwa manufaa yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaumuhimu kwa maana haaribu kilichofanywa kwa bidiii.Ww unaumuhimu gani?
Tena inawezekana we we ni mkwepaji mzuri Wa kulipa kodi.Na huyo apeleke unafiki wake huko hana umuhimu kwa taifa hili
Anahisi amani itarejea tz,kama mtu amesema rais anaumwa akapigwa ndani kwa kuwa yeye sio msemaji Wa serikali,wengine tunasemea huku kwa I'd fake,unadhani nchi ilkuwa na usalama hii.Amepata alichokifata huko alipokuwa.?
Wewe ni mjinga sana aisee.Empty set kabisa.So ukiwa mbunge miaka 10 ndio nini[emoji23][emoji23][emoji23]... wewe utakua hujawahi kushika pesa so hizo pesa za ubunge unahisi watu wanatajirika [emoji23][emoji23]
Sawa Mo Dewji ndugu yake na Bakhresa ambae unaona hela za ubunge mshahara mil 12 kwa mwezi,kikao laki 3 kwa siku,mikopo isiyo na riba, maprivillage kibao ww kwako si chchote kwa sababu umeshika hela.So ukiwa mbunge miaka 10 ndio nini[emoji23][emoji23][emoji23]... wewe utakua hujawahi kushika pesa so hizo pesa za ubunge unahisi watu wanatajirika [emoji23][emoji23]
Wanafiki hawa na mwenzie Lissu wasifikirie tutasahau kejeli zao, utafika muda wao na wao watapata haki yao.
Acha roho mbaya wewe,unafikiri hii nchi ni ya kwako peke yako.Mh.Lema karibu nyumbani tujenge nchi yetu chini ya rais mama Samia.Tunaomba sana kusiwepo mkimbizi yeyote wa kisiasa aliyekimbia Tanzania kwa sababu za kisiasa.Tusafishe Tanzania kwa kutengeneza serikali ya umoja na mshikamano.Na huyo apeleke unafiki wake huko hana umuhimu kwa taifa hili
Toronto ya wapi? Mwambie huko poriniLema you are long done friend. Wewe una mawazo mgando sana yaani unaamini kuna mtu anakuwaza ndani ya chadema? au serikalini au CCM? you are wrong my ndugu. Fungua duka la spea hapo toronto kwani kuna shida
Yn hata huyo lissu akisema anarudi yn bado cjaona kipyaAnahisi amani itarejea tz,kama mtu amesema rais anaumwa akapigwa ndani kwa kuwa yeye sio msemaji Wa serikali,wengine tunasemea huku kwa I'd fake,unadhani nchi ilkuwa na usalama hii.
Sema tu ukweli wako ndugu,hivi kama jiwe angekuwa hajavuta box,lisu angerudi kweli akiwa na amani moyoni kuwa atakuwa salama.Yn hata huyo lissu akisema anarudi yn bado cjaona kipya
Wanafiki hawa na mwenzie Lissu wasifikirie tutasahau kejeli zao, utafika muda wao na wao watapata haki yao.
Mkumbushe na madeni aliyoyakimbia yanamsubiri kwa hamu.Rejea nyumbani Lema, hapa ndio kwenu unapotakiwa kuishi kwa amani bila kutishwa na mtu.
Rudi utumikie nchi yako.
Kuna watu hudhani hii nchi ni yao peke yao, hii nchi ni yetu sote maana tumezaliwa hapa wala hatukuomba uraia kwa kujaza makaratasi
Kifo kinachagua kumbe, akifa usiempenda wewe hufi milele....Karibu nyumbani Bwashee! sala zako na Maono yako yametimia japo sio 2020 ila 2021 kitu kimevuta
Hayo madeni ulimkopesha wewe, propaganda za uvccmMkumbushe na madeni aliyoyakimbia yanamsubiri kwa hamu.
Mwambie aje alipe la sivyo mali zake lazima zipigwe mnada. No way!Hayo madeni ulimkopesha wewe, propaganda za uvccm
Kwan wakati wa uchaguzi, kampeni alifanyia Kenya.? Magufuli hakuwepo.?Sema tu ukweli wako ndugu,hivi kama jiwe angekuwa hajavuta box,lisu angerudi kweli akiwa na amani moyoni kuwa atakuwa salama.
Sasa hii huku jf wale praise team wameanza kuwa Wapole sana.