Lema: Nikimuona mtoto wa Waziri Mkuu Majaliwa au wa Rais Mwinyi anaendesha Bodaboda ndipo nitaomba radhi

Kama hamna kazi zingine ulitaka bodaboda wafanyaje?

..swali la kujiuliza ni kwanini hakuna ajira nchini na kulazimisha vijana wetu waendeshe bodaboda?

..ongezeko kubwa la bodaboda na wamachinga ni ushahidi kwamba sera za uchumi na ajira za Ccm ni mbaya.

..Lema amesema ukweli, ila tatizo liko ktk lugha aliyowasilisha hoja yake.

..Kama tunaitakia mema nchi yetu na haswa vijana wetu basi tujadili tatizo lao bila kujali lugha aliyoitumia Lema ktk uwasilishaji.
 
Hakuna mtu anayelazimishwa awe bodaboda ni maamuzi ya mtu binafsi
 
Hakuna mtu anayelazimishwa awe bodaboda ni maamuzi ya mtu binafsi

..SHINIKIZO la hali ngumu ya maisha, umasikini, na ukosefu wa ajira, ndio inayolazimisha vijana kuendesha bodaboda.
 
Mimi najiuliza tu kwamba ikatokea Hao aloo waaccuse Lema ili kumprove wrong tu wakawatuma watoto wao kesho wakaendesha bodaboda hata kama ni kwa kuzuga lakini kuiaminisha jamii tu lema atafuta kauli yake?

Jamani pimeni maneno kabla hamjayatoa hadhara!

Nayo!!!
 
Kwamba mzazi wake ashindwe kumnunulia mtoto wake ka paso ka milioni 8 afanye bolt?
 
Atakuwa anawalaghai nyinyi, danganya toto and the like! Watoto Wote wa "wakubwa" wako Benki Kuu, TRA etc etc atatoka huko kuja kudanganya toto nyie! Basi ataanza Ridhiwani Kikwete 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀
 
Nitajie watano unaowafahamu wewe kima..

Boada inampa mtu mtaji wa kununulia Bajaji wewe unaongea ujinga tuu hapa.
Mkuu tusi la nn?

Faida ya bodaboda
  • Kutwa elf 7 100%
  • Utasafiri haraka
  • Kula na familia
  • Kuijiona kutwa high majib yenu ya hi hi
Hasara ya bodaboda
  • Uhai rehani 100%
  • Kifo ni 100% hapohapo.
  • Huwez kuwekeza Cha maana
  • Unaeonekana mhuni
Japo wengine hatuna chama! Ila bodaboda wengi wenu ni vhadema
 
Mkuu achna na CDM nahitaji maombi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
- Kama wanapiga Hela kwenye bodaboda,basi mtoto wa Majaliwa na Mwinyi waende nao wakapige hizo Hela.
Yaani waache kazi zao wakafanye hizo za bodaboda ili kukuridhisha wewe? Mawazo ya kipopoma hayo! In short Lema kaongea ujinga!
 
Mbona hamtaji mtoto wa Samia?
 
Huyu Jamaa atuambia mtoto gani wa Kiongozi ni Mwl ama Nurse huko Kijijini...

Kwahi hizi nazo sio kazi kwakuwa hakuna mtoto wa kiongozi anafanya?????
 
Sikiliza Raia wote wanapaswa kuwa na haki sawa, kama ni kazi za BOT basi raia wote wapate kazi, unafurahia kuona ajira za Vi memo? Wr ni mpuuzi sana yaani unafurahia kuona hakuna usawa, yaani wewe kuto kuwepo usawa kwako ni furaha
Hamna kitu kama "haki sawa" kwenye dunia hii Chief.Life aint equal and nor is it fare
 
MLEMAVU WA AKILI (Lema) After kukaa kwake huko, ndio elimu yake itakuja kuwasaidia nini watanzania?. He should come with a solution, ndio tunge uona umuhimu wake. Mpuuzi mmoja 😡😡😠
 
Umeliweka vuzuri sana
 
Nimekaa Arusha kuanzia 2007 na nilimuona Lema akipiga kampeni zake zilizomuingiza bungeni. Huyo MTU hata mumchukiaje watu wa Arusha wakiwemk hao bodaboda anaowasema lazima wampigie kura. Tatizo hamzifahamu Sasa za Arusha na nguvu ya Lema -Arusha.
Nguvu ya lema .haya usikariri lakini maisha hubadikika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…