Kama hamna kazi zingine ulitaka bodaboda wafanyaje?
Hakuna mtu anayelazimishwa awe bodaboda ni maamuzi ya mtu binafsi..swali la kujiuliza ni kwanini hakuna ajira nchini na kulazimisha vijana wetu waendeshe bodaboda?
..ongezeko kubwa la bodaboda na wamachinga ni ushahidi kwamba sera za uchumi na ajira za Ccm ni mbaya.
..Lema amesema ukweli, ila tatizo liko ktk lugha aliyowasilisha hoja yake.
..Kama tunaitakia mema nchi yetu na haswa vijana wetu basi tujadili tatizo lao bila kujali lugha aliyoitumia Lema ktk uwasilishaji.
Hakuna mtu anayelazimishwa awe bodaboda ni maamuzi ya mtu binafsi
Atakuwa anawalaghai nyinyi, danganya toto and the like! Watoto Wote wa "wakubwa" wako Benki Kuu, TRA etc etc atatoka huko kuja kudanganya toto nyie! Basi ataanza Ridhiwani Kikwete 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀Mi najiuliza tu kwamba ikatokea Hao aloo wacuse laema ili kumprove wrong tu wakawatuma watoto wao kesho wakaendwsha bodaboda hata kama ni kwa kuzuga lakini kuiaminisha jamii tu lema atafuta kauli yake? Jamani pimeni maneno kabla hamjayatoa hadhara!!
Nayo!!!
Mkuu tusi la nn?Nitajie watano unaowafahamu wewe kima..
Boada inampa mtu mtaji wa kununulia Bajaji wewe unaongea ujinga tuu hapa.
Faida ya bodaboda
| Hasara ya bodaboda
|
Mkuu achna na CDM nahitaji maombiHuku ndiko kunaitwa kujazana ujinga, haiwezekani watoto wote wazazi wao wakawa na Uwezo wa shule za medium!, ACHA KUJAZA WATU UPUMBAVU!,
Wameshaitana kama mchwa waje watafune ruzuku yao taratibu, pia mkikosa la kuongea si lazima uongee!
Jifunzeni hekima kutoka CCM.
Yaani waache kazi zao wakafanye hizo za bodaboda ili kukuridhisha wewe? Mawazo ya kipopoma hayo! In short Lema kaongea ujinga!- Kama wanapiga Hela kwenye bodaboda,basi mtoto wa Majaliwa na Mwinyi waende nao wakapige hizo Hela.
- wewe ndiye popoma number 1Yaani waache kazi zao wakafanye hizo za bodaboda ili kukuridhisha wewe? Mawazo ya kipopoma hayo! In short Lema kaongea ujinga!
Mbona hamtaji mtoto wa Samia?Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA Lema amesema endapo atamuona mtoto wa Waziri mkuu mh Majaliwa au mtoto wa Rais Mwinyi anaendesha Bodaboda ndipo ataomba radhi.
Lema amesisitiza Kuwa Bodaboda ni Kazi isiyofaa inayouwa na kuwapa ulemavu Vijana Wengi.
Lema amenena haya kupitia ukurasa wake wa Twitter.
Mlale Unono!
======
"Nikimuona mtoto wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa au Mtoto wa Rais Mwinyi anaendesha bodaboda na kudai ni kazi ya heri nitaomba radhi. Bodaboda ni kazi ya mateso,imeumiza watu na kujeruhi watu wengi.Acheni kudanganywa na Serikali iliyo kosa mbinu za kuokoa maisha yenu. Umasikini sio sifa."
View attachment 2539929
Sio mtoto wa waziri mkuu huko mbali sana hata mtoto wa mkuu wa wilaya au katibu Tarafa hafanyi kazi ya bodabodaNamuunga mkono Mhe Lema
Duh Hadi mtoto wa Katibu tarafaSio mtoto wa waziri mkuu huko mbali sana hata mtoto wa mkuu wa wilaya au katibu Tarafa hafanyi kazi ya bodaboda
Huyu Jamaa atuambia mtoto gani wa Kiongozi ni Mwl ama Nurse huko Kijijini...Huku ndiko kunaitwa kujazana ujinga, haiwezekani watoto wote wazazi wao wakawa na Uwezo wa shule za medium!, ACHA KUJAZA WATU UPUMBAVU!,
Wameshaitana kama mchwa waje watafune ruzuku yao taratibu, pia mkikosa la kuongea si lazima uongee!
Jifunzeni hekima kutoka CCM.
Hamna kitu kama "haki sawa" kwenye dunia hii Chief.Life aint equal and nor is it fareSikiliza Raia wote wanapaswa kuwa na haki sawa, kama ni kazi za BOT basi raia wote wapate kazi, unafurahia kuona ajira za Vi memo? Wr ni mpuuzi sana yaani unafurahia kuona hakuna usawa, yaani wewe kuto kuwepo usawa kwako ni furaha
Hata shule tu kusoma ni tofauti sembuse kaziHivi lema ameona nchi gani watoto wa viongozi wanafanana level na wananchi wa hali ya chini hoja aliyoitengeneza ni ya kitoto Sana
Umeliweka vuzuri sanaSidhani kama amekuja kwa lengo la kukijenga chama chao huenda kuna ajenda ya kukidumaza hicho chama.
Je, yeye Lema amewahi muona mtoto wa Waziri mkuu anashona viatu?
Je, anaweza kutuonesha mtoto wa Rais Mwinyi ambaye ni Mwl.wa S/Msingi?
Kwa mantiki yake ni kuwa kazi zote zinazofanywa na watu wa kipato cha chini ni laana kwa kuwa hakuna watoto wa viongozi wakuu wa Nchi wanaozifanya.
Nguvu ya lema .haya usikariri lakini maisha hubadikikaNimekaa Arusha kuanzia 2007 na nilimuona Lema akipiga kampeni zake zilizomuingiza bungeni. Huyo MTU hata mumchukiaje watu wa Arusha wakiwemk hao bodaboda anaowasema lazima wampigie kura. Tatizo hamzifahamu Sasa za Arusha na nguvu ya Lema -Arusha.
Mtoto wa kwake jeMjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA Lema amesema endapo atamuona mtoto wa Waziri mkuu mh Majaliwa au mtoto wa Rais Mwinyi anaendesha Bodaboda ndipo ataomba radhi...