Lema: Nikimuona mtoto wa Waziri Mkuu Majaliwa au wa Rais Mwinyi anaendesha Bodaboda ndipo nitaomba radhi

Lema: Nikimuona mtoto wa Waziri Mkuu Majaliwa au wa Rais Mwinyi anaendesha Bodaboda ndipo nitaomba radhi

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA Lema amesema endapo atamuona mtoto wa Waziri mkuu mh Majaliwa au mtoto wa Rais Mwinyi anaendesha Bodaboda ndipo ataomba radhi...
Uwezo wa kufikiri unapokuwa limited! Tajiri kama Musk ukimtupa ktk kisiwa pekeake na fedha zake bila wahudumu, madereva na wasaidizi ktk sehemu mbalimbali wa kampuni hawezi kufanya chochote. Maisha ni circle. #Brain ni resource...poleni Ndugu zangu wa bodaboda, chapeni kazi yenu halali.🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom