Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,067
- 10,938
Godbless Lema ambaye ni Mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Kaskazini akieleza kushangazwa kwake mpaka sasa kwanini Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhandisi Hamad Masauni na IGP kutujiuzulu kufuatia tukio la kutekwa na kuuawa kwa Ally Mohammed Kibao.
Niliposikia Ali amekamatwa ameshushwa kwenye basi sikuhisi kwamba ni tukio ambalo lingeweza kumpotezea maisha, niliamini kwamba pengine amekamatwa na vyombo vya ulinzi na usalama pengine kwa kesi zingine za kisiasa na baada ya siku chache pengine tungemuona.
Lakini taarifa ya jana, Mh. Waziri(Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni) upo hapa baada ya kupata taarifa kwamba Ali ameokotwa Ununio, Maisha yangu yamekuwa magumu sana, Lakini Mh. Waziri nikuombe sana usiende tena kwenye msiba wa mtu mwingine ambaye ametekwa nenda kwenye msiba wa mtu ambaye ameteka”
"Nyie ambao mko serikalini mjue kuwa haya mambo (ya utekaji na mauaji ya raia) yakiendelea kuna kisasi kinaweza kikazaliwa kwa sababu damu huwa inanena"
Pia soma
Niliposikia Ali amekamatwa ameshushwa kwenye basi sikuhisi kwamba ni tukio ambalo lingeweza kumpotezea maisha, niliamini kwamba pengine amekamatwa na vyombo vya ulinzi na usalama pengine kwa kesi zingine za kisiasa na baada ya siku chache pengine tungemuona.
Lakini taarifa ya jana, Mh. Waziri(Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni) upo hapa baada ya kupata taarifa kwamba Ali ameokotwa Ununio, Maisha yangu yamekuwa magumu sana, Lakini Mh. Waziri nikuombe sana usiende tena kwenye msiba wa mtu mwingine ambaye ametekwa nenda kwenye msiba wa mtu ambaye ameteka”
"Nyie ambao mko serikalini mjue kuwa haya mambo (ya utekaji na mauaji ya raia) yakiendelea kuna kisasi kinaweza kikazaliwa kwa sababu damu huwa inanena"
Pia soma