Lema, umelikoroga, rudi Canada kwanza ujifikirie

Lema, umelikoroga, rudi Canada kwanza ujifikirie

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Lema amekuwa nje ya nchi kwa muda mrefu. Karudi ana mawazo ya ajabu ajabu na bado anafikiri yupo kipindi cha Magufuli, kile cha ugomvi ugomvi na mivutano. Anachoongea sasa ni kama samaki aliyetolewa majini. Hajui siasa za Tanzania zimesonga.

Ameanza kwa kuwananga madereva wa bodoboda, ati kazi ile ni laana. Sasa hata kabla hajaomba radhi, tunasikia bado kakalia kuti lile lile la kuwalaani bodaboda, kwav ile ati watoto wa wakubwa akiwemo Majaliwa Waziri Nkuu hawaendeshi bodaboda!

Huyu bwana ana kichaa.

Anashambulia nyasi zitakazo mwunguza.
Ni kama mtoto anayejamba halafu anashangaa harufu inatoka wapi!

A powerful mass, umma wa kikundi chochote nchini ndiyo oxygen ya mwanasiasa, na kata hiyo oxygen unakufa.

Mama Samia alitumia akili kubwa kuwaondoa machinga barabarani, hakuwananga, hakuwatukana, wala hakutumia polisi kuwatoa, aliwabembeleza na wakamwelewa.

Sasa Lema kaingia kichwa kichwa kuwatukana boda boda. Najiuliza, huko Canada hakutumia muda wake kusoma vitabu vya siasa za Class Struggle?

Nashauri arudi Canada na akajiandae vizuri zaidi.
 
Mwacheni aropoke.
Akiwa moderate mnasema kalamba asali.
Akibwabwaja mnachukia
Siasa za majukwaani zimerudi tena katika ubora wake kama sio mvumilivu utazipoga ban kama hayati alivyofanya
 
Mwacheni aropoke.
Akiwa moderate mnasema kalamba asali.
Akibwabwaja mnachukia
Siasa za majukwaani zimerudi tena katika ubora wake kama sio mvumilivu utazipoga ban kama hayati alivyofanya
Lema sasa hivi aatafuta siasa za confrontation zilizopitwa na wakati.
Angekuwa na akili angesema hao vijana wa bodaboda CHADEMA ina mpangi upi wa kuwaajiri.

Kwa vile kichwani mwa Lema kuna ombwe, anatafuta mtu wa kugombana naye.
 
Lema kalewa raha za Kanada, hivyo anataka watanzania tuishi maisha kama aliyo yaona huko Kanada!!!

Mzee Lema nakushauri waombe radhi waendesha bodaboda, hakika umewakosea sana kuwaita masikini.
 
Lema sasa hivi aatafuta suasa za confrontation zilizopitwa na wakati.
Angekuwa na akili angesema hao vijana wa bidaboda CHADEMA ina mpangi upi wa kuwaajiri.

Kwa vile kichwani mwa Lema kuna ombwe, anatafuta mtu wa kugombana naye.
Chadema haiwezi kuajiri bodaboda huo ungekuwa uongo wa asubuhi.
 
Lema kalewa raha za Kanada, hivyo anataka watanzania tuishi maidha kama aliyo yaona huko Kanada!!!

Mzee Lema nakushauri waombe radhi waendesha bodaboda, hakika umewakosea sana kuwaita masikini.

Sema maafisa usafirishaji.

Unaweza msomesha mwanao aje ajiajiri kuwa bodaboda?
 
Sema maafisa usafirishaji.

Unaweza msomesha mwanao aje ajiajiri kuwa bodaboda?
huo ni mgawanyo wa kazi tu.
haiwezekani sisi site tujiajiri kwenye boda,
haiwezekani sisi sote tujiajiri kwenye kilimo.
haiwezekani sisi sote tujiajiri kwenye uvuvi.
haiwezekani sisi sote tujiajiri kwenye kuchimba madini.
haiwezekani sisi sote tujiajiri kwenye kuzibua vyoo.
lakini kila mmoja anamhitajia mwenzake, kila mmoja ana umuhimu wake.

Lazima kuwepo na mgawanyoko wa majukumu.

Hata huko Kanada kuna mgawanyo wa majukumu.
 
Lema amekuwa nje ya nchi kwa muda mrefu. Karudi ana mawazo ya ajabu ajabu na bado anafikiri yupo kipindi cha Magufuli, kile cha ugomvi ugomvi na mivutano. Anachoongea sasa ni kama samaki aliyetolewa majini. Hajui siasa za Tanzania zimesonga.

Ameanza kwa kuwananga madereva wa bodoboda, ati kazi ile ni laana. Sasa hata kabla hajaomba radhi, tunasikia bado kakalia kuti lile lile la kuwalaani bodaboda, kwav ile ati watoto wa wakubwa akiwemo Majaliwa Waziri Nkuu hawaendeshi bodaboda!

Huyu bwana ana kichaa.

Anashambulia nyasi zitakazo mwunguza.
Ni kama mtoto anayejamba halafu anashangaa harufu inatoka wapi!

A powerful mass, umma wa kikundi chochote nchini ndiyo oxygen ya mwanasiasa, na kata hiyo oxygen unakufa.

Mama Samia alitumia akili kubwa kuwaondoa machinga barabarani, hakuwananga, hakuwatukana, wala hakutumia polisi kuwatoa, aliwabembeleza na wakamwelewa.

Sasa Lema kaingia kichwa kichwa kuwatukana boda boda. Najiuliza, huko Canada hakutumia muda wake kusoma vitabu vya siasa za Class Struggle?

Nashauri arudi Canada na akajiandae vizuri zaidi.
Kaja na matusi mapya ;
1.Washamba
2:Laaana
3:Mke wangu nitamkana akijiunga vicoba
3:Mimi ni mchagga
5:Arusha wanajielewa wanajua hata cafelate ni nini
 
Lema kalewa raha za Kanada, hivyo anataka watanzania tuishi maidha kama aliyo yaona huko Kanada!!!

Mzee Lema nakushauri waombe radhi waendesha bodaboda, hakika umewakosea sana kuwaita masikini.
Leo amaewaita maskini baada ya yeye binafsi kuhudumiwa na hela za walipa kodi wa CANADA ,haya ni maajabu kwa kweli
 
Je kwa Arusha wapiga kura ambao ni Boda boda wanafika 50,000?
 
Lema amekuwa nje ya nchi kwa muda mrefu. Karudi ana mawazo ya ajabu ajabu na bado anafikiri yupo kipindi cha Magufuli, kile cha ugomvi ugomvi na mivutano. Anachoongea sasa ni kama samaki aliyetolewa majini. Hajui siasa za Tanzania zimesonga.

Ameanza kwa kuwananga madereva wa bodoboda, ati kazi ile ni laana. Sasa hata kabla hajaomba radhi, tunasikia bado kakalia kuti lile lile la kuwalaani bodaboda, kwav ile ati watoto wa wakubwa akiwemo Majaliwa Waziri Nkuu hawaendeshi bodaboda!

Huyu bwana ana kichaa.

Anashambulia nyasi zitakazo mwunguza.
Ni kama mtoto anayejamba halafu anashangaa harufu inatoka wapi!

A powerful mass, umma wa kikundi chochote nchini ndiyo oxygen ya mwanasiasa, na kata hiyo oxygen unakufa.

Mama Samia alitumia akili kubwa kuwaondoa machinga barabarani, hakuwananga, hakuwatukana, wala hakutumia polisi kuwatoa, aliwabembeleza na wakamwelewa.

Sasa Lema kaingia kichwa kichwa kuwatukana boda boda. Najiuliza, huko Canada hakutumia muda wake kusoma vitabu vya siasa za Class Struggle?

Nashauri arudi Canada na akajiandae vizuri zaidi.
Hii ndio tulikuwa tunataka, tunataka watu wenye mawazo tofauti na yenu, tunataka watu wanaofikiri tofauti na nyie haiwezekani wooote tudumishe fikra za mwenyekiti.

Boda boda ni laana hata mimi naona Lema yuko sawa, watu gani hawapati pesa mpaka wakaliwe nyuma bhana. Zipo fursa nyingi za kutengeneza ajira na zina madhara machache kuliko boda boda. Haki sema laana haina maana wapo wachache wamenufaika nayo ila wengi wameumia.

Serikali na wanasiasa walaghai mnatumia shida za bodaboda kutimiza yenu hii ndio laana kubwa waliyonayo boda boda ltr 5 za petrol tu wananfanya unachowaambia wafanye.
 
Lema amekuwa nje ya nchi kwa muda mrefu. Karudi ana mawazo ya ajabu ajabu na bado anafikiri yupo kipindi cha Magufuli, kile cha ugomvi ugomvi na mivutano. Anachoongea sasa ni kama samaki aliyetolewa majini. Hajui siasa za Tanzania zimesonga.

Ameanza kwa kuwananga madereva wa bodoboda, ati kazi ile ni laana. Sasa hata kabla hajaomba radhi, tunasikia bado kakalia kuti lile lile la kuwalaani bodaboda, kwav ile ati watoto wa wakubwa akiwemo Majaliwa Waziri Nkuu hawaendeshi bodaboda!

Huyu bwana ana kichaa.

Anashambulia nyasi zitakazo mwunguza.
Ni kama mtoto anayejamba halafu anashangaa harufu inatoka wapi!

A powerful mass, umma wa kikundi chochote nchini ndiyo oxygen ya mwanasiasa, na kata hiyo oxygen unakufa.

Mama Samia alitumia akili kubwa kuwaondoa machinga barabarani, hakuwananga, hakuwatukana, wala hakutumia polisi kuwatoa, aliwabembeleza na wakamwelewa.

Sasa Lema kaingia kichwa kichwa kuwatukana boda boda. Najiuliza, huko Canada hakutumia muda wake kusoma vitabu vya siasa za Class Struggle?

Nashauri arudi Canada na akajiandae vizuri zaidi.
wajingawajinga tumewashtukia mwambien yule muongo wa taifa majaliwa awalete watoto wake kwenye bodaboda ndio tutaona kuwa ni kaz ya maana tofauti na hapo ni upumbavu kuambiwa na majambaz ya kura kuwa bodaboda ni kaz ya maana huku watoto wa kitila mkumbo na madelu wakitaftiwa kaz BOT NA TRA.
 
Lema sasa hivi aatafuta suasa za confrontation zilizopitwa na wakati.
Angekuwa na akili angesema hao vijana wa bidaboda CHADEMA ina mpangi upi wa kuwaajiri.

Kwa vile kichwani mwa Lema kuna ombwe, anatafuta mtu wa kugombana naye.
ombwe unalo wewe kichwan mwako ndio maana hujamwelewa lema aliposema kuwa serikali itengeneze mazingira mazuri ya viwanda ili vijana wafanye kaz viwandan, ccm ni hovyo kabisa mnacheza bugobogobo anaowapigia lema.
 
huo ni mgawanyo wa kazi tu.
haiwezekani sisi site tujiajiri kwenye boda,
haiwezekani sisi sote tujiajiri kwenye kilimo.
haiwezekani sisi sote tujiajiri kwenye uvuvi.
haiwezekani sisi sote tujiajiri kwenye kuchimba madini.
haiwezekani sisi sote tujiajiri kwenye kuzibua vyoo.

Lazima kuwepo na mgawanyoko wa majukumu.

Hata huko Kanada kuna mgawanyo wa majukumu.
mhawanyo wa majukumu huku watoto wa kitila mkumbo na majaliwa kaz zao ni BOT, TRA, TPA NA MASHIRIKA MENGINE, ccm ni matapel sana lema katushtua na hamtupati tena ng'o.
 
Back
Top Bottom