kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Hiyo hotuba aliandaliwa? Kama ni ndio basi hawampendi. Kama ni yeye basi arudi Canada akajipange namna ya kuongea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We una uwezo wa kua argue na Mimi kweliNimekueleza hayo mma makalioni kwako usishangae sana, ndiyo jiji
Akili ndogo huwa naipa nafasi ijiangamize yenyewe.We una uwezo wa kua argue na Mimi kweli
Lema akiri kubwa sana we popoma huwezi mwelewa kamweAkili ndogo huwa naipa nafasi ijiangamize yenyewe.
Na hujajibu hoja kwa nini mwanaiasa asiye na akili, amerudi tu anaanza kutukana masikini.
Halafu anategemea masikini hao wamwelewe au wampe kura 2025!
Huo ndo tunaita umburula!
1. Kama ni kichaa, kinachokusumbua wewe kujibizana na kichaa ni kitu gani?Lema amekuwa nje ya nchi kwa muda mrefu. Karudi ana mawazo ya ajabu ajabu na bado anafikiri yupo kipindi cha Magufuli, kile cha ugomvi ugomvi na mivutano. Anachoongea sasa ni kama samaki aliyetolewa majini. Hajui siasa za Tanzania zimesonga.
Ameanza kwa kuwananga madereva wa bodoboda, ati kazi ile ni laana. Sasa hata kabla hajaomba radhi, tunasikia bado kakalia kuti lile lile la kuwalaani bodaboda, kwav ile ati watoto wa wakubwa akiwemo Majaliwa Waziri Nkuu hawaendeshi bodaboda!
Huyu bwana ana kichaa.
Anashambulia nyasi zitakazo mwunguza.
Ni kama mtoto anayejamba halafu anashangaa harufu inatoka wapi!
A powerful mass, umma wa kikundi chochote nchini ndiyo oxygen ya mwanasiasa, na kata hiyo oxygen unakufa.
Mama Samia alitumia akili kubwa kuwaondoa machinga barabarani, hakuwananga, hakuwatukana, wala hakutumia polisi kuwatoa, aliwabembeleza na wakamwelewa.
Sasa Lema kaingia kichwa kichwa kuwatukana boda boda. Najiuliza, huko Canada hakutumia muda wake kusoma vitabu vya siasa za Class Struggle?
Nashauri arudi Canada na akajiandae vizuri zaidi.
Nani alikwambia kuwa mimi mzima kichwani?Kama ni kichaa, kinachokusumbua wewe kujibizana na kichaa ni kitu gani?
Katika situation kama hii, actually wewe Jidu La Mabambasi ndiye kichaa na chizi halisi!!
Popoma ni wewe na Lema, na tulia vizuri ili hao bodaboda ukawaombe kura mwaka 2025.Lema akiri kubwa sana we popoma huwezi mwelewa kamwe
Wewe wajua kuwa ni mzima au kichaa!!Nani alikwambia kuwa mimi mzima kichwani?
2025 lem atakuwa ambunge wa Arusha mjini. Keep this smsPopoma ni wewe na Lema, na tulia vizuri ili hao bodaboda ukawaombe kura mwaka 2025.
Kama unamjua mbunge wa Arusha 2025, tuambie na Ajaye ni nani!!2025 lem atakuwa ambunge wa Arusha mjini. Keep this sms
yupo sawa kabisa majitu kugonga raia mwenzake hayaogopi hata kwenye zebra, ndio majizi ya tatu mzuka, ndio wanaoharibu wake za watu na watoto wa shule. Ndio watumia na wasbazaji madawa ya kulevya wakuu.Hii ndio tulikuwa tunataka, tunataka watu wenye mawazo tofauti na yenu, tunataka watu wanaofikiri tofauti na nyie haiwezekani wooote tudumishe fikra za mwenyekiti.
Boda boda ni laana hata mimi naona Lema yuko sawa, watu gani hawapati pesa mpaka wakaliwe nyuma bhana. Zipo fursa nyingi za kutengeneza ajira na zina madhara machache kuliko boda boda. Haki sema laana haina maana wapo wachache wamenufaika nayo ila wengi wameumia.
Serikali na wanasiasa walaghai mnatumia shida za bodaboda kutimiza yenu hii ndio laana kubwa waliyonayo boda boda ltr 5 za petrol tu wananfanya unachowaambia wafanye.
Watu wa kaskazini walahidi(materialists),wanaabudu Mali/hadhi,akifika hatua flan anayoamini ni ya juu kimaisha Basi wa chini mtakomaLema kalewa raha za Kanada, hivyo anataka watanzania tuishi maidha kama aliyo yaona huko Kanada!!!
Mzee Lema nakushauri waombe radhi waendesha bodaboda, hakika umewakosea sana kuwaita masikini.
Anayafyatua tu maneno hii inaitwa mtajuana wenyewe.Kaja na matusi mapya ;
1.Washamba
2:Laaana
3:Mke wangu nitamkana akijiunga vicoba
3:Mimi ni mchagga
5:Arusha wanajielewa wanajua hata cafelate ni nini
Weka tusi alotoa hapa..Kwa matusi yale ndio kuchamka ?
Kwenu hayo ni matusi kumbe..!?Kaja na matusi mapya ;
1.Washamba
2:Laaana
3:Mke wangu nitamkana akijiunga vicoba
3:Mimi ni mchagga
5:Arusha wanajielewa wanajua hata cafelate ni nini
Mama for presidency till death. We huoni nchi ilivyo shwari? Furaha imeongezeka mara dufu. Bei ya vitu kushuka ni swala la mda mda tu. Subili vita ya Ukraine iishe vitashuka sequentiallyKama unamjua mbunge wa Arusha 2025, tuambie na Ajaye ni nani!!
Presidency till death unamaanisha nn?Mama for presidency till death. We huoni nchi ilivyo shwari? Furaha imeongezeka mara dufu. Bei ya vitu kushuka ni swala la mda mda tu. Subili vita ya Ukraine iishe vitashuka sequentially