Lema, umelikoroga, rudi Canada kwanza ujifikirie

CDM inamuhitaji sana Dr Slaa, semina zinahitajika kuwasaidia watu aina ya Lema kujiandaa kabla ya kupanda jukwaani.
Dr Slaa aliutangazia umma kuachana na siasa za vyama, nitamshangaa akibadili uamuzi wake huo; lakini nitawashangaa zaidi chadema kama watampokea akiamua kujiunga nao tena.
 
Dr Slaa aliutangazia umma kuachana na siasa za vyama, nitamshangaa akibadili uamuzi wake huo; lakini nitawashangaa zaidi chadema kama watampokea akiamua kujiunga nao tena.
Apokelewe mara ngapi?

Pale CDM hayupo wa kumzuia Slaa uanachama, labda akatae mwenyewe.
 
Lema ni mwanasiasa, muache afanye siasa.
Hivi ukidhajua kutujana na kudhalilisha wenzio ww ndo unakuwa tayari mwanasiasa,au kuongea kwa Jazba huku unatema Mate mpaka Mic inalowana inafanywa tu kuanikwa juani ichuruzike hayo mate ndo uana siasa huo?
 
haya tuambie mtoto wa trump aliyeajiriwa serikalini mjinga wewe unafikir wote humu ni mbulumbulu kama mlivyojazana huko ccm.
Kuna vitu mnaongea ila nadhani wala hampati muda wa kuwaza mnaongea nini na kwa wakati gani?
Embu chukua muda kidogo kaa na waza je wewe hapo mtaani kwenu mnapoishi watoto wa matajiri wanaishi maisha kama wanayoishi watoto wako au watoto wa bab yako?.
Wazazi tunapambana ili watoto wetu wasjekuishi maisha kama tunayoishi sisi ya kuangaika....So hatulingani system ya maisha.
 
Boda Boda si kazi kwa kweli ntasimama pamoja na Mheshimiwa Lema.. nina vijana watatu wa kiume sijawahi ota hata mmoja wapo aje kuwa boda boda hata iweje, ni kama kupiga debe tu hela wanapata lkn sio kazi.
Kazi ni ipi?
 
Points tupu.
 
Naona umelewa mataputapu!
 
Sukuma gang at work. Nakeambia mwaka huu mtayaita maji mma
 
Lema sasa hivi aatafuta siasa za confrontation zilizopitwa na wakati.
Angekuwa na akili angesema hao vijana wa bodaboda CHADEMA ina mpangi upi wa kuwaajiri.

Kwa vile kichwani mwa Lema kuna ombwe, anatafuta mtu wa kugombana naye.
Siyo kazi yake kuwaajiri bobaboda hiyo ni kazi ya serikali. Pindi serikali ikishindwa ndo ulitangangaze kwamba jamani tumeshundwa tunaomba msaada. Sasa msaada wetu ni kuwatoa madarakani halafu sisi tunawachukua vijana wa bodaboda tunawapa kazi nzuri za staha za kufanya wanaondokana na hiyo kadhia. Mama alisema tumuoneshe weakness za serikali basi tumeanzia hapo na makubwa yanakuja, stay optimistic and positive. Mambo haya hayahitaji hasira Bali timing tu. Lema ameshachukua point 3 muhimu katika hili
 
CDM walimpaje Dr Slaa jukwaa karatu aongee na wananchi bila kujadiliana naye na kujua motive behind hotuba yake?
Ulilisikia tamko au kauli ya mbowe baada ya hapo?!
 
Sukuma gang at work. Nakeambia mwaka huu mtayaita maji mma

Chikenpox​

JF-Expert Member
Joined Oct 15, 2022

We pimbi wa kuja juzi, soma kwanza uwaelewe members humu mtandaoni.
Unakuja hata tongotongo hazijakutoka.
 

Chikenpox​

JF-Expert Member
Joined Oct 15, 2022

We pimbi wa kuja juzi, soma kwanza uwaelewe members humu mtandaoni.
Unakuja hata tongotongo hazijakutoka.
Kwani siyo sukuma gang. I'm sorry Dr Bashiru lakini maji soon utayaita mma
 
Maneno ya vijiwe vya wanolewa gongo, Lema kalikoroga big time.
Narudia, kajamba halafu anashangaa pamoja na ninyi ushuzi unatoka wapi!
 
Ulilisikia tamko au kauli ya mbowe baada ya hapo?!
Mbowe hata kukiri kupokea RUZUKU hajasema Hadi sasa,

Lisu angalau amekiri CDM kupokea RUZUKU.

Mbowe Amesema mwanachama CDM anaweza ingia na Kutoka bila shida yoyote.

Kipi Rahisi Kwa Mbowe kati ya; KUMPOKEA Slaa au kuwasamehe COVID 19?

Kama sababu ya kuwasamehe COVID ni walitishwa, basi na Mzee yule alizidiwa mbinu na Mushumbusisi.πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ

Maridhiano ni kusameheana, ndani na nje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…